Chinese dont speak English πππWhat were the Tanzanians writing and they can't understand English?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chinese dont speak English πππWhat were the Tanzanians writing and they can't understand English?
Hehehe sasa mbona mliambulia uvuvi wa dagaa tu kama mlikua makini na nayo makaratasi.Yani mtu mzima afike hapo aanze kuchora chora nyumba, una wazimu wewe
30 kilometers!!?...is it serious?!!!. [emoji23][emoji23]Hehehe sasa mbona mliambulia uvuvi wa dagaa tu kama mlikua makini na nayo makaratasi.
chinese don't use english in their official meetings. they use translators.What were the Tanzanians writing and they can't understand English?
Hii inafaa kukupa hasira ukishajua ni pesa ngapi za Kenya.new updates from the official twitter handle of tanzania embassy offices in china
mtajua hamjui...wasee wa 30 kilometers.
View attachment 859110View attachment 859111
chinese don't use english in their official meetings. they use translators.
huko shule ulienda kusomea ujinga?.
Chinese dont speak English πππ
[emoji16][emoji16]Tofauti ni kwamba Waswahili mumebeba makalamu na madaftari ya kuzuga tu, utakuta kwenye kikao mtu kachora chora nyumba na vikatuni huku amekunja uso utadhani yuko serious na makini vinoma, maana haiingii akilini kwa zuga zote hizo mliambulia Mchina kuja kuwasaidia kuvua samaki. Wakati wa kwetu bila zuga za makaratasi lakini wakachomoka na deals kali kali.
Hebu angalia gesi hadi rais mwenyewe amekiri mnaliwa tu, mlitia saini wazembe wa kusoma. Ukitaka kumficha Mtanzania chochote, kitie kwenye vitabu.
Yaani nchi hii hadi kichefuchefu. Wanasheria wa serikali na wabunge wa ccm wanatupeleka kisiko. Kazi yao kubwa nikugonga meza tu.Rais Magufuli: Mabepari wametunyang'anya gesi yetu hatuwezi kuitumia kwa uhuru
Rais John Pombe Magufuli akihutubia leo Musoma amesema gesi asili ya Tanzania tayari mabepari wameshaigawana kwa mikataba yao kwa sababu tu walishiriki kuivumbua.
Akiongea hayo mjini Musoma leo amesema bomba la gesi ya Mtwara lililojengwa mpaka Dar es Salaam linatumika kwa 30%, huku asilimia nyingine zilizo baki zikienda kwa mabepari.
Amesema pia kuwa aliamua kupambana yeye kama yeye kupata fedha kwa ajili ya kujenga Stigler's Gauge ambao ni mradi wa umeme mwingi ili kukwepa matumizi ya gesi asilia kutoka Mtwara kwa kuwa tayari gesi wakubwa wamegawana tayari.
Pia ameongeza kuwa Uranium iliyoko Mkoa wa Ruvuma haiwezi kutumika kwa manufaa ya Taifa kwa kuwa tayari nayo wakubwa washaigawana kwa kuwa tu waliivumbua wao katika tafiti, na hata kama akisema serikali itumie fedha kuinunua bado wataigomea.
Kauli hii ya Rais Magufuli imethibitisha kauli ya Dr Wilbrod Slaa aliyoitoa mjini Iringa mwaka 2014 kuwa " Tunaambiwa mabomba ya gesi ya Mtwara yanaelekea Dar, kumbe yameelekezwa Ulaya, wanachukukua gesi yetu."
Rais Magufuli: Mabepari wametunyang'anya gesi yetu hatuwezi kuitumia kwa uhuru - JamiiForums
To swahiliπππTranslators who translate to English. Hii St. Kayumba elimu bure.
Also our Prime minister gave his speech in Swahili while in China. It was translated into ChineseπππThey use English translators.
Dili kali kali za kujengewa balabala 30km mmeitia aibu east Africa na ndo maana mmetapeliwa kwenye sgrTofauti ni kwamba Waswahili mumebeba makalamu na madaftari ya kuzuga tu, utakuta kwenye kikao mtu kachora chora nyumba na vikatuni huku amekunja uso utadhani yuko serious na makini vinoma, maana haiingii akilini kwa zuga zote hizo mliambulia Mchina kuja kuwasaidia kuvua samaki. Wakati wa kwetu bila zuga za makaratasi lakini wakachomoka na deals kali kali.
Hebu angalia gesi hadi rais mwenyewe amekiri mnaliwa tu, mlitia saini wazembe wa kusoma. Ukitaka kumficha Mtanzania chochote, kitie kwenye vitabu.
Hawa chori ila anawaona ni ma monkey! Yule dogo akirudi china watamwambia kwanini ume waambia ukweli nakumpa kazi nzuri zaidi.To swahili[emoji23][emoji23][emoji23]
Also our Prime minister gave his speech in Swahili while in China. It was translated into Chinese[emoji23][emoji23][emoji23]
Endeleeni kutukuza kizungu. Mchina ana wachora
Watch this Chinese to Swahili translation to our Prime minister.πππππ They told him they like Magufuli.πππThey use English translators.
Bado wanatukuza English ya mkoloniπππππ Hawajui kuwa hata China wanafundisha Kiswahili kwenye vyuo.Hawa chori ila anawaona ni ma monkey! Yule dogo akirudi china watamwambia kwanini ume waambia ukweli nakumpa kazi nzuri zaidi.
Kama ulikua hujui ni kwanini Tanzania inafunguliwa kesi moja ya sababu ni kufuta mikataba ambayo iliingiwa kimakosa wakati waliotupa hiyo mikataba wakikataa kuja mezani kurekebisha. Dawa yao ni kuwafutia na kwenda kupambana nao mahakamani tukitumia baadhi ya vifungu vinavyosapoti kurudi mezani kuongea endapo maslahi ya upande Fulani hayatofikiwa au sababu nyinginezo za msingi. Magufuli is Genius nyie mnaliwa lakini hamuambiwi mnabaki kuchekacheka tuRais Magufuli: Mabepari wametunyang'anya gesi yetu hatuwezi kuitumia kwa uhuru
Rais John Pombe Magufuli akihutubia leo Musoma amesema gesi asili ya Tanzania tayari mabepari wameshaigawana kwa mikataba yao kwa sababu tu walishiriki kuivumbua.
Akiongea hayo mjini Musoma leo amesema bomba la gesi ya Mtwara lililojengwa mpaka Dar es Salaam linatumika kwa 30%, huku asilimia nyingine zilizo baki zikienda kwa mabepari.
Amesema pia kuwa aliamua kupambana yeye kama yeye kupata fedha kwa ajili ya kujenga Stigler's Gauge ambao ni mradi wa umeme mwingi ili kukwepa matumizi ya gesi asilia kutoka Mtwara kwa kuwa tayari gesi wakubwa wamegawana tayari.
Pia ameongeza kuwa Uranium iliyoko Mkoa wa Ruvuma haiwezi kutumika kwa manufaa ya Taifa kwa kuwa tayari nayo wakubwa washaigawana kwa kuwa tu waliivumbua wao katika tafiti, na hata kama akisema serikali itumie fedha kuinunua bado wataigomea.
Kauli hii ya Rais Magufuli imethibitisha kauli ya Dr Wilbrod Slaa aliyoitoa mjini Iringa mwaka 2014 kuwa " Tunaambiwa mabomba ya gesi ya Mtwara yanaelekea Dar, kumbe yameelekezwa Ulaya, wanachukukua gesi yetu."
Rais Magufuli: Mabepari wametunyang'anya gesi yetu hatuwezi kuitumia kwa uhuru - JamiiForums
Jamaa wa kusifia PPP, bagamoyo itakua vivyo hivyo... hii habari inafaa thread yake tuijadili vizuri. Only 30% ndo inaenda kwa watz, the rest inaenda nje... alafu kila siku wanajisifu kwa FDI kubwa kumbe ikifika wakati wa Mapato, 70% inarudi huko ilikotoka.Rais Magufuli: Mabepari wametunyang'anya gesi yetu hatuwezi kuitumia kwa uhuru
Rais John Pombe Magufuli akihutubia leo Musoma amesema gesi asili ya Tanzania tayari mabepari wameshaigawana kwa mikataba yao kwa sababu tu walishiriki kuivumbua.
Akiongea hayo mjini Musoma leo amesema bomba la gesi ya Mtwara lililojengwa mpaka Dar es Salaam linatumika kwa 30%, huku asilimia nyingine zilizo baki zikienda kwa mabepari.
Amesema pia kuwa aliamua kupambana yeye kama yeye kupata fedha kwa ajili ya kujenga Stigler's Gauge ambao ni mradi wa umeme mwingi ili kukwepa matumizi ya gesi asilia kutoka Mtwara kwa kuwa tayari gesi wakubwa wamegawana tayari.
Pia ameongeza kuwa Uranium iliyoko Mkoa wa Ruvuma haiwezi kutumika kwa manufaa ya Taifa kwa kuwa tayari nayo wakubwa washaigawana kwa kuwa tu waliivumbua wao katika tafiti, na hata kama akisema serikali itumie fedha kuinunua bado wataigomea.
Kauli hii ya Rais Magufuli imethibitisha kauli ya Dr Wilbrod Slaa aliyoitoa mjini Iringa mwaka 2014 kuwa " Tunaambiwa mabomba ya gesi ya Mtwara yanaelekea Dar, kumbe yameelekezwa Ulaya, wanachukukua gesi yetu."
Rais Magufuli: Mabepari wametunyang'anya gesi yetu hatuwezi kuitumia kwa uhuru - JamiiForums
Mbona thread yako umeikimbia πππJamaa wa kusifia PPP, bagamoyo itakua vivyo hivyo... hii habari inafaa thread yake tuijadili vizuri. Only 30% ndo inaenda kwa watz, the rest inaenda nje... alafu kila siku wanajisifu kwa FDI kubwa kumbe ikifika wakati wa Mapato, 70% inarudi huko ilikotoka.