Spy App

Spy App

Sijui kwa ambao hawana access na email za wenzao, mie nimeefanya nusu na ikakubali, uzuri email yake naijua na Gmail account yake iko katika simu, so nilipoji"register" kule, walipotuma ile link ya kuconfirm ikaja nikaipa tiki, akaunti ikawa valid, kuna process chache mnoo nikafanya, ila ikazingua katika kuipakuwa ikabidi niipakue kwa simu yangu then nikairusha ile APK katika simu yake, nika install, kule nilikuwa naifungua ikawa inataka kudownload faili lenyewe, nikapigiwa simu ya haraka nikachomoka, sikumalizia, nikafuta ile icon yake sababu APK ipo katika simu baadae nitamalizia.
Sasa kama umetumia email yake, na yeye si anaweza kusoma hiyo email yenye instructions na password ya kudukua simu yake, akajiuliza kulikoni? Kwa nini usitumie email address yako ?
 
Sasa kama umetumia email yake, na yeye si anaweza kusoma hiyo email yenye instructions na password ya kudukua simu yake, akajiuliza kulikoni? Kwa nini usitumie email address yako ?
Ujumbe katika email yake nimeufuta! Kutumia email yake ndio sahihi zaidi.
 
Sasa anaweza kufungua email yake kabla ya wewe. It is a unnecessary risk you're taking. Unaweza kusahau ku empty junk folder.
Hawezi kuhangaika na huko!! Nimefanya hivyo nikijua na uwezo na utundu wake katika mambo haya.
 
Shukrani kwa wote!!

1. Wale mlionielekeza
Nimefanikiwa kuihifadhi katika simu kilichobaki ni kusubir matokeo, nipo kwenye giza namchora aliye kwenye mwanga, baada ya hapo nichukue hatua stahiki km ni ndoa ama nipige chini, km ni ndoa tutalikana kwenye mnuso

2.wale mliokuwa mnanikataza
Ahsanteni nanyi pia, ila kwenye maamuzi ya msingi sikiliza akili usisikilize moyo.
Hauwi na mtu sababu tu unampenda, unakuwa na mtu kwa sababu anakupa sababu za kuwa nae, hata umpende mtu vipi, km hakuna sababu za kuwa nae chapa lapa.
Binafsi yangu mara nyingi huwa sianzi kupenda, huwa naanza kutamani, kwangu mapenz hujengeka taratibu kutokana na yale atendayo mwenzangu, mie hata kwa washikaji huwa hivyo hivyo, upendo utapanda na kushuka kwa jinsi rafiki anatenda kwangu..

So tutolee mfano niseme kwenye mahusiano huwa naanza na 50% huwa inapanda na kushuka kutegemea na yeye mwenyewe, wakat huwa mimi naplay party yangu ipasavyo akiwa miyeyusho upendo unashuka zinaweza kubaki hata 5% za salaam tu, sababu siwez kumnunia mtu.
Akiwa sio miyeyusho upendo kwake unapanda na mwisho wa siku yeye anakuwa kila kitu.. inagota kwenye 90% huko.

Changanya akili ya kuelezwa na unachokifahamu vyema, ukweli uwe mchungu kumeza na uwe mtamu kutema..

Watu mnaogopa saana mapenzi na ndio maana mnaishia kujinyonga, kufa kwa presha, mapenzi hayakuumbwa yaje kutupa tabu, mapenzi ni raha, faraja na kuhurumiana! Kama mtu anakuzingua sogea mbele yeye sio wa mwanzo na hawezi kuwa wa mwisho!! Hatukuumbwa kwa pair kwamba fulani wake fulani akimkosa fulani basi hatopata mpenz tena maisha yake yooote!

Siku njema.
 
Hawezi kuhangaika na huko!! Nimefanya hivyo nikijua na uwezo na utundu wake katika mambo haya.
Maka email address uanayo weka ni ya KWAKO wewe usi tumie yake

Ukiwa umesha i set ww una enda sasa kweny website ya mobile tracker log in credentials username uta tumia iyo email address yako ambayo uli register kweny ile spy app ya bibie kisha una log in na kuanza kupata izo details unazo zihitaj
Calls
Sms
Location
Messenger
Etc.....
 
Maka email address uanayo weka ni ya KWAKO wewe usi tumie yake

Ukiwa umesha i set ww una enda sasa kweny website ya mobile tracker log in credentials username uta tumia iyo email address yako ambayo uli register kweny ile spy app ya bibie kisha una log in na kuanza kupata izo details unazo zihitaj
Calls
Sms
Location
Messenger
Etc.....
Ngoja nione hivi nilivyofanya italeta matokeo gani, ikigoma nitafanha hivyo chief!!

Shukrani ndugu yangu.
 
Mkuu japo sijafanya ila naamini anamaanidha hivi!!
Ile application inakuwa kwenye simu ya muathirika, email yake inakuwa ipo pale so inakusanya habari zote katika simu ile!!

We unapokuja kulog in huku taarifa zake zote unakuwa nazo wewe... kifupi hiyo app inakuwa inakusanya habari zooote inaweka kumbukizi, so email inakuwa inakupa uwezo wa kuingia katika ile account ikiyohifadhiwa hayo mambo

Sijui kama nimeelewa sahihi!!
Email hata ikiwa ya kwako ww its okay... siyo lazima iwe email ya mwenye simu...
 
Muache tu mkuu
Nahakika unchokitafuta utakipata
Je unaubavu wa kuhimili?

Hakuna malaika just live with it
 
Ngoja nione hivi nilivyofanya italeta matokeo gani, ikigoma nitafanha hivyo chief!!
Shukrani ndugu yangu.
Huo ndiyo uanaume. Naona wengi wanaogopa mapenzi sana. Kuwa na msimamo sababu mapenzi ni sehemu ya maisha na ukiruhusu mapenzi yakupelekeshe utaishia kulia kila siku. Humu watu wanasema usimdukue lakini wengi wanachepuka sana ndiyo maana hawataki kusikia hii kitu spy app sababu wanajua penzi lao litaota miiba. Mimi siwezi kuwa na mwanamke halafu anagongwa nje napiga chini siku hiyo hiyo kwasababu huyo siyo mke bali unafuga jini.
 
Muache tu mkuu
Nahakika unchokitafuta utakipata
Je unaubavu wa kuhimili?
Hakuna malaika just live with it
Mtoto wa kiume hautakiwi kuogopa mapenzi. Hayo yakuogopa mapenzi waachie wanawake ila kwa mtoto wa kiume haifai. Ukitaka kuishi kwa raha, mapenzi yaweke kwenye akili maana utafurahia sana. Kama simu ya mpenzi wako unaogopa kushika, ukikuta mke wako anagongwa si utajiua kabisa. Wanawake wapo wengi sana wala haina haja ya kuwaza wanawake. Kutongozwa kwa mwanamke ni jambo la kawaida sana ila kugongwa nje siyo jambo la kawaida. Nyie ndiyo huwa mnalea watoto wa wanaume wenzako kisa hautaki kujua yaliyonyuma ya mke wako.
 
Back
Top Bottom