Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kesho nitaelezea, hii app hawezi kuiona kabisa.iv kuna namna yoyote ya kufanya kwa simu yake ili asigundue kuwa unamdukua??..
maana anaweza ku un-install hiyo app ili usiweze kumpata.
Mkuu nilikuwa naandika! Ghafla simu ikazima chaji, mniwie radhi kesho inshaallah nitaleta feedbackfeedback?
mtoa mada na mpenzi wake wameamua kuyaweka sawa na sasa hakuna ugomvi tena ndio Maka amekaa kimyaaaaa.
Hahaa.. we acha tumkuu pole sana.....najua una mazito ila huo ndio uanaume sasa..ila mwenzio sasa kifua kidogo umeona mpaka hospital mmefika mkuu
Kabisa mkuusometimes inatakiwa tuchunguzane ili tujuane vizuri unaweza kuishi na mtu ukajua ni mwenza wako kumbe ni watu wasiojulikana.
Basi sasa tukuchangie😊😊Kabisa mkuu
Nihivi kuhusu e-mail hata yako unaweza ukaitumia.
Ingia kwenye browser ya muhusika na andika mobile tracker free. Utaidownload na utafuata maelezo kila hatua utayoelezwa inapofika hatua ya kuweka e-mail ikiwa yakwake unaijua unaiweka ikiwa huijui unaweka yakwako na password yoyote unayotaka yenye mchanganyiko mfano hk76.oir badaye utaistall hapohapo kw kufuata maelezo kwa kina.
Ukimaliza process Kuna code utapewa hizo zinatumika unapoihitaji hiyo app kutaka kuitumia labda settings. Ukimaliza tu app inakuwa imejificha na code ni ya kufichua. Zen unam pá sim yake
Sasa hapo unapotaka kujua yanayoendelea unaingia kwenye sim yako Ingia kwenye browser yako na uandike mobile tracker free na unalogin kwa e-mail uliyoisajilia kwenye simu ya muhusika hapo utaona uwanja WA mambo yenye calls,SMS, na mambo mengine.
Mimi nimejidukua fresh mpka Leo nakomaa.
Mkuu hii app unaingia katika website yao, unajiregister unatia email yako na password, kisha utalog in kabla ya kuipakuwa unapewa maelezo ya kufanya unafunga Google play protect katika simu ya mlengwa kisha utaipakua app, ukishaiweka kwenye simu ya mlengwa, itadownload yenyewe file la siri wenye wameipa jina la wi-fi, kisha baada ya hapo ile application yenyewe unaifuta, kisha itabaki ile app ambayo haionekani, kisha we huku utakuwa unajitizamia tu..iv kuna namna yoyote ya kufanya kwa simu yake ili asigundue kuwa unamdukua??..
maana anaweza ku un-install hiyo app ili usiweze kumpata.
Hapo mbona sijaona kosa la kumuacha? Ingekuwa keshatoa mzigo nje hapo ungepiga chini. Oa huyo yupo vizuri japo bado anavitamaa ila kutokana na hilo jambo la kumdukua atakuwa mwema sana. Mpaka amepata pressure huyo anakupenda sana tena zaidi ya sana.Wazee wenzangu nimejitahidi kuandika kwa ufupi kwenye namna gani tutaulizana.
Shukrani mkuu, sijamuacha nimempa kadi za njano 2, nikiwa na maana nimemwambia apumzike kwanza, hapo namjambisha zaidi, awe makini zaidi.Hapo mbona sijaona kosa la kumuacha? Ingekuwa keshatoa mzigo nje hapo ungepiga chini. Oa huyo yupo vizuri japo bado anavitamaa ila kutokana na hilo jambo la kumdukua atakuwa mwema sana. Mpaka amepata pressure huyo anakupenda sana tena zaidi ya sana.
Angekuwa anakitembeza ungekuta list ya watu 10 na wote wamepita naye.
Hajaachwa mkuu!! 1. Lazima uchunguzi yakonifu uwepo, 2. Lazima ajambishwe ashike adabu, ukimchekea msala, suala la kula pesa ya mwanaume mwingine haijengi picha zuri, alishindwa nini kusema kama fulani anamsumbua mbona wanaume wengine wanaomtongoza huqa anasema!? Pili kilichomfanya apige simu kuwasiliana na jamaa ni nini!?Kuna kosa gani hapa la kumuacha??
Hakuna tabu mkuu!I'm sorry mkuu, nimerudia kusoma nilichoandika,nakiri nimeandika bila utulivu