Sri Lanka: Waandamanaji wavamia makazi ya Rais kushinikiza aachie madaraka

Sri Lanka: Waandamanaji wavamia makazi ya Rais kushinikiza aachie madaraka

Haya sasa , huyu huku anakomaa tu kukopa, na akipata chance ataendelea kukopa, anaongea haya bila hata kuona aibu, yaani hata aibu mtu hana?!!
Huyu anakopa WB na IMF hao huwa hawakukabi kama ukikopa China
 
Ingekuwa kila niliyemkopa naandikiana nae kuwa ataacha kitu kama dhamana leo ningekuwa naliliwa na familia nyingi

Subirini tu mda sio mrefu Vilio kila kona ya dunia kwa Mchina na hana mchezo kajipanga huyo
 
Unataka kusemaje chief? Naona unazunguka sana...btw nasikia zimbabwe tayari wachina wana hold baadhi ya taasisi kama dhamana ya madeni.

Naona kwenye news eti wanaanza kutumia gold coins kwa transaction zao
Nimeongezea tu hii
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]


Hii mpya
 
Hivi kweli waafrica tunashindwa kopeshana wenye mwa wenyewe mpaka tukakope kwa wachina?
Tatizo kubwa la Afrika ni kwamba asilimia kubwa ya mikopo inayochukuliwa haifanyi kazi iliyokusudiwa bali watawala wanagawana kwa dhamana ya nchi yao......kwa lugha ya kawaida huku afrika hatuna viongozi bali tuna mashetani yenye sura za kibinadamu kutunyonya damu.......

Kimsingi hakuna nchi isiyokopa duniani lakini Wenzetu wanailekeza mikopo yao kwenye uzalishaji wakati huku kwetu watawala wanaiba na kuwanunulia vimada magari ya kifahari na kumiliki ukwasi wa dhurum..........

Nadhani watu weusi tuna laana inayotembea kwenye mishipa yetu ya damu na fahamu.......
 
Ndio shida ya kuasini mikataba mahotelini huko ulaya kama anachokifanya yule anayeupiga mwingi.
Soon hii nchi itapigwa manada naona wameshaanza kugawa vipande kule loliondo na ngorongoro.

Ogopa sana wachina,wahindi na waarabu..hawajawahi kuwa na undugu na mwafrika...wanatuchekea usini ila moyoni wanatamani watuuue kabisa.

Sio wakucheka nao kabisa..wakija kuwekeza ndio wakwepa kodi wakubwa nchi hii..wanatoa rushwa balaa ili wasilipe kodi.

#MaendeleoHayanaChama
 
Rais wa Sri Lanka kakimbia baada ya kutangaza nchi yake imefirisika

Maelfu ya Waandamaji katika Mji Mkuu wa Nchi hiyo, Colombo wamevamia Makazi rasmi ya Rais Gotabaya Rajapaksa. Maandamano hayo kushinikiza Kiongozi huyo aachie madaraka yanatajwa kuwa makubwa zaidi mwaka huu

Inaripotiwa kuwa Rais Rajapaksa alishaondolewa eneo hilo na kupelekwa mahali salama zaidi. Polisi walifyatua risasi kadhaa kujaribu kuwazuia waandamanaji, lakini jitihada zao ziligonga mwamba

=====

Thousands of protesters have stormed President Gotabaya Rajapaksa's residence in the capital of Sri Lanka.

Demonstrators from all over the country marched to Colombo demanding his resignation after months of protests over mismanagement of the country's economic crisis.

Reports say he has already been moved to a safer location.

The country is suffering rampant inflation and is struggling to import food, fuel and medicine
.
Thousands of anti-government protesters travelled in cars, vans and buses to the capital, with officials telling AFP news agency that some had even "commandeered" trains to get there.

They swarmed into Colombo's government district, shouting slogans against the president and breaking through several police barricades to reach President Rajapaska's house, a witness told Reuters.

Police fired shots in the air to try and prevent angry crowds from overrunning the residence, but were unable to stop some of the crowd from entering.

Authorities had attempted to stop the demonstration from taking place by imposing a curfew on Friday night. But protesters were undeterred, and the curfew was lifted after civil society groups and opposition parties strongly objected to it.

Sri Lanka has run out of foreign currency reserves and is struggling to import essential goods. Many blame the country's dire economic situation on President Rajapaksa, and demonstrations have been taking place since March demanding he quit.
Maombi yanahitajika maana kuna siku tutaisikia kwetu[emoji22]
 
Tatizo kubwa la Afrika ni kwamba asilimia kubwa ya mikopo inayochukuliwa haifanyi kazi iliyokusudiwa bali watawala wanagawana kwa dhamana ya nchi yao......kwa lugha ya kawaida huku afrika hatuna viongozi bali tuna mashetani yenye sura za kibinadamu kutunyonya damu.......

Kimsingi hakuna nchi isiyokopa duniani lakini Wenzetu wanailekeza mikopo yao kwenye uzalishaji wakati huku kwetu watawala wanaiba na kuwanunulia vimada magari ya kifahari na kumiliki ukwasi wa dhurum..........

Nadhani watu weusi tuna laana inayotembea kwenye mishipa yetu ya damu na fahamu.......
Huu ndio ukweli

Tunamashetani yaliyovaa ngozi za watu

Kama Munu alimtuma Yesu christo na Mtume MSW kuja kuukomboa ulimwengu kutoka mikononi mwa shetani

Basi shetani alituma mwafirika kuja kumkomboa mwafrika kutoka mikononi mwa Mungu

Inatia hasira saana haya ma viongozi ya Afrika asee

Nilikuwa nafuatilia kampeni zinazoendelea +254 nilijifunza ma baba wa mataifa hawakuwa na kazi kuupata uhuru kutoka kwa weupe
Ila kazi ipo kuzikomboa nchi za Afrika kutoka mikononi mwa hii mitume ya shetani
 
da inauma sana ,ee Mungu epusha hili baraa lisitokee Tz
 
Hiki ndicho kilichomuua ghadafi
Inatakiwa kwanza Afrika ifanye maazimisho ya siku ya Ghadafi Afrika

Halafu pale alipoishia tuendelee hapo

Kwanza tufute huu ujinga unaitwa demokrasia
Tuondoe ujinga unaitwa sijui misaada

Halafu tuondoe neno bara la africa ili tuzifute nchi zoote ziwe majimbo halafu iwe jumuia ya afrika

Haki za binadam zibaki zile haki kweli kweli
 
FW59fOdWQAAtBV1.jpeg
 
Back
Top Bottom