Sri Lanka: Waandamanaji wavamia makazi ya Rais kushinikiza aachie madaraka

Nabado nyie watu weusi tutawanyosha mpaka akili ziwakae sawa muache kuchagua viongozi wabovu na kuwachekea viongozi wa hovyo
 
Tanzania hakuna hilo ni fikia za wapumbavu fulani waliokuwa wabinafsi #Sadist
Samahani naomba nikutukane tuu make nisipo fanya hivyo nitaumia moyo.


Huu ni upumbavu na mawazo ya kizazi chenu cha kijinga saana

Hivi huamini matone ya mvua huwa yanajaza mabwawa.

Mungu aingilie kati kizazi cha 80+ .... nicha kuogopa na hatari kwa taifa hili kuliko hata wazungu wenyewe

Ona kama hili taahira eti nchi ni kubwa kisa tuu li kijiajira ushenzi kila kitu makofi na kushangilia

Kwanza ni kizazi kisichojua umuhimu ma uchungu wa namna tulivyoipata sasa yenyewe sasa hivi kidogo tuu utasikia
Jaijawahi tokea hili toka tupate uhuru
 
Ndugu yangu hii nchi baadhi ya watu ni kama walienda shule kucheza
Ukisoma uandishi wao u just wonder mtu anashindwaje kutofautisha vitu basic kama hivyo
Hapo ndipo mambo yalopoharibikia sasa

Watu wanawinda paa hafu kuna kamwacha anakimbiza nzige kisa tuu kaziona sehemu
 
Ni kama Bandari ya Bagamoyo anavyolazimisha
 
Hiyo nchi ina Ukubwa wa mkoa wa Morogoro ila ina watu milioni 20, hiyo ni sawa na theluthi ya raia wote wa Tanzania!

Overpopulation ni bomu linalosubiri kulipuka duniani kote, hasa nchi maskini.
 
Simmekopa wenyewe MKUU au mlilazimishwa kukopa!!?
 
Wazungu ndio wanawapenda pole sana kijana
Chamsingi mkatae misaada namikopo nomata inatoka upande gani
Ukizoea zoea kusaidiwa usahau maendeleo
 
Swali la kujiuliza ni kwamba, kwa nini hao wachina na wahindi wakija kuwekeza huku Africa ndio wanakwepa kodi ila wakienda kuwekeza kwenye nchi zilizoendelea wanalipa kodi vizuri tu?

Hapo utagundua mtu hawezi kutoa rushwa kama hujamtengenezea mazingira atoe rushwa huku kwetu wanatengenezewa mazingira ya kutoa rushwa na watu wasio waaminifu kwa manufaa yao.
 
Bola mchina ,mm namkubali mchina ,kwani hana upuuzi wa kuwafitinisha watu wapigane Vita yy anatumia akili tu za kiuchumi ,Sasa kosa lake liko wapi.ukiwa mvivu mchina anatumia uvivu wako na kukutaka ukope Tena hakulazimishi Ila kwa hiari yako mwenyewe unakopa ,halafu yy anapata Cha juu na faida juu.heri mchina kuliko marekani ,wanaotaka kwanza wakulazmishe uwe shoga na uutambue ushoga ndio wakupe mkopo,si ushenzi huu!!!
 
Ukishakuwa ccm aibu unaweka kando unakuwa tu Kama Sabaya au Bashite
Haya sasa , huyu huku anakomaa tu kukopa, na akipata chance ataendelea kukopa, anaongea haya bila hata kuona aibu, yaani hata aibu mtu hana?!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…