Mkalukungone mwamba
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 862
- 1,755
Huko Sgr tumbili walininginia kwenye waya treni likasimama kwa muda!Sasa hii nayo imetokea usiku wa kuamkia Februari 10, 2025 huko Sri Lanka ambapo wakazi zaidi ya milioni 22 waishio nchini humo wamelala gizani, na yote sababu ya Tumbili mmoja tu. Unaambiwa Tumbili huyo aliyeruka na kuingia kwenye mfumo wa gridi ya umeme alisababisha umeme kukatika karibu eneo lote la nchi hiyo.
Waziri wa Nishati, Kumara Jayakody tayari ameshatolea ufafanuzi juu ya tatizo hilo la umeme huku akitaja sababu kubwa kuwa ni Tumbili.
Je, Mtaani kwenu, tumbili alishawahi kufanya kisanga gani hadi wote mkamchukia?”
Hili balaa aiseeHuko Sgr tumbili walininginia kwenye waya treni likasimama kwa muda!
ni kitendo cha kuingia darasani na kutafuta cha kula, kakosa akaishia kuchanachana madaftari ya wanafunzi waliyoyatelekeza darasaniSasa hii nayo imetokea usiku wa kuamkia Februari 10, 2025 huko Sri Lanka ambapo wakazi zaidi ya milioni 22 waishio nchini humo wamelala gizani, na yote sababu ya Tumbili mmoja tu. Unaambiwa Tumbili huyo aliyeruka na kuingia kwenye mfumo wa gridi ya umeme alisababisha umeme kukatika karibu eneo lote la nchi hiyo.
Waziri wa Nishati, Kumara Jayakody tayari ameshatolea ufafanuzi juu ya tatizo hilo la umeme huku akitaja sababu kubwa kuwa ni Tumbili.
Je, Mtaani kwenu, tumbili alishawahi kufanya kisanga gani hadi wote mkamchukia?”
Aliiba "kufuli" la Mke wa mjumbe, mbaya Zaidi lilikua limechanikaJe, Mtaani kwenu, tumbili alishawahi kufanya kisanga gani hadi wote mkamchukia?”
Blaza binadamu wanatunyanyapaaDuh! Tumbili wa mjini kufanya yake