Sri Lanka yaipuuza Marekani madai ya rushwa ya Adani, yasaini mkataba na Adani Group wa $553M kuendesha bandari ya Colombo

Hawa ni wanaume au na wao wamelungulwa?
 
Sri Lanka walikatazwa au walitishwa na Marekani wasiingie mkataba na Adani Group?
 
Wabongo ni bebdera fuata Upepo sana wanamwamini sana Marekani kuliko hata Viongozi wao
Vijana wa Kafulila mmeamua kuja kivingine.
Wapi Marekani ilitoa maaggizo kwa nchi zenu juu ya nini cha kufanya kuhusiana na hilo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…