Sri Lanka yaipuuza Marekani madai ya rushwa ya Adani, yasaini mkataba na Adani Group wa $553M kuendesha bandari ya Colombo

Sri Lanka yaipuuza Marekani madai ya rushwa ya Adani, yasaini mkataba na Adani Group wa $553M kuendesha bandari ya Colombo

===
Wakati kashfa dhidi yake zikiendelea Billionaire Gautam Adan amesema atatumia pesa yake ya mapato ya ndani kuijenga bandari ya Colombo Sri Lanka ikiwa ni baada ya kuachana na maombi ya Mkopo wa $553M alizoomba toka US International Development Finance Corporation (DFC) ya Marekani.

Wakati haya yakiendelea Rais Williams Ruto wa Kenya kwa shinikizo la Marekani yeye alishafutilia mbali mkataba wake wa kusambaza Umeme na Adani Group huku akisalia na Mkataba wa bima ya Afya wa STH unaotekelezwa na Adani Group.

Mamlaka za Sri Lanka zimepuuza madai ya rushwa dhidi ya Adani Gautam toka kwa Marekani na imeendelea na Utekelezaji wa Mradi wa Bandari wa zaidi ya $553 milioni wa
Colombo West International Terminal (CWIT) ambayo ni sehemu ya Bandari ya kina kirefu Cha Bandari ya Colombo nchini Sri Lanka,

Mamlaka za Tanzània ziligoma pia kuvunja mkataba wa Kuendesha Gate Namba 2 kwa kuzingatia ubora wa huduma zinazotolewa na Kampuni ya Adani Groups pamoja na sheria na miongozo ya Tanzania hata hivyo hazijasema kama zitaendelea au laa na mchakato wa kusaini mkataba wa kusamabaza Umeme wa zaidi ya TZS 3.3 utakaokuwa chini ya PPPC.

Pia soma https://www.business-standard.com/a...nding-for-colombo-project-124121001397_1.html

View attachment 3174553
Hatuna Cha kujifunza Bali Sri Lanka ndio wamejifunza kwetu.

Tulishatoa taarifa mapema kabisa kwamba tunaendelea na uwekezaji wa Adani Dar Port.

Tanzania sio wapumbavu Wala vibaraka wa USA kama Wakenya.
 
===
Wakati kashfa dhidi yake zikiendelea Billionaire Gautam Adan amesema atatumia pesa yake ya mapato ya ndani kuijenga bandari ya Colombo Sri Lanka ikiwa ni baada ya kuachana na maombi ya Mkopo wa $553M alizoomba toka US International Development Finance Corporation (DFC) ya Marekani.

Wakati haya yakiendelea Rais Williams Ruto wa Kenya kwa shinikizo la Marekani yeye alishafutilia mbali mkataba wake wa kusambaza Umeme na Adani Group huku akisalia na Mkataba wa bima ya Afya wa STH unaotekelezwa na Adani Group.

Mamlaka za Sri Lanka zimepuuza madai ya rushwa dhidi ya Adani Gautam toka kwa Marekani na imeendelea na Utekelezaji wa Mradi wa Bandari wa zaidi ya $553 milioni wa
Colombo West International Terminal (CWIT) ambayo ni sehemu ya Bandari ya kina kirefu Cha Bandari ya Colombo nchini Sri Lanka,

Mamlaka za Tanzània ziligoma pia kuvunja mkataba wa Kuendesha Gate Namba 2 kwa kuzingatia ubora wa huduma zinazotolewa na Kampuni ya Adani Groups pamoja na sheria na miongozo ya Tanzania hata hivyo hazijasema kama zitaendelea au laa na mchakato wa kusaini mkataba wa kusamabaza Umeme wa zaidi ya TZS 3.3 utakaokuwa chini ya PPPC.

Pia soma https://www.business-standard.com/a...nding-for-colombo-project-124121001397_1.html

View attachment 3174553
adani sio fisadi ni mikwara tu ya wamarekani
 
===
Wakati kashfa dhidi yake zikiendelea Billionaire Gautam Adan amesema atatumia pesa yake ya mapato ya ndani kuijenga bandari ya Colombo Sri Lanka ikiwa ni baada ya kuachana na maombi ya Mkopo wa $553M alizoomba toka US International Development Finance Corporation (DFC) ya Marekani.

Wakati haya yakiendelea Rais Williams Ruto wa Kenya kwa shinikizo la Marekani yeye alishafutilia mbali mkataba wake wa kusambaza Umeme na Adani Group huku akisalia na Mkataba wa bima ya Afya wa STH unaotekelezwa na Adani Group.

Mamlaka za Sri Lanka zimepuuza madai ya rushwa dhidi ya Adani Gautam toka kwa Marekani na imeendelea na Utekelezaji wa Mradi wa Bandari wa zaidi ya $553 milioni wa
Colombo West International Terminal (CWIT) ambayo ni sehemu ya Bandari ya kina kirefu Cha Bandari ya Colombo nchini Sri Lanka,

Mamlaka za Tanzània ziligoma pia kuvunja mkataba wa Kuendesha Gate Namba 2 kwa kuzingatia ubora wa huduma zinazotolewa na Kampuni ya Adani Groups pamoja na sheria na miongozo ya Tanzania hata hivyo hazijasema kama zitaendelea au laa na mchakato wa kusaini mkataba wa kusamabaza Umeme wa zaidi ya TZS 3.3 utakaokuwa chini ya PPPC.

Pia soma https://www.business-standard.com/a...nding-for-colombo-project-124121001397_1.html

View attachment 3174553

Wala rushwa tu ndiyo watamkubali huyu jamaa aka 10%
 
===
Wakati kashfa dhidi yake zikiendelea Billionaire Gautam Adan amesema atatumia pesa yake ya mapato ya ndani kuijenga bandari ya Colombo Sri Lanka ikiwa ni baada ya kuachana na maombi ya Mkopo wa $553M alizoomba toka US International Development Finance Corporation (DFC) ya Marekani.

Wakati haya yakiendelea Rais Williams Ruto wa Kenya kwa shinikizo la Marekani yeye alishafutilia mbali mkataba wake wa kusambaza Umeme na Adani Group huku akisalia na Mkataba wa bima ya Afya wa STH unaotekelezwa na Adani Group.

Mamlaka za Sri Lanka zimepuuza madai ya rushwa dhidi ya Adani Gautam toka kwa Marekani na imeendelea na Utekelezaji wa Mradi wa Bandari wa zaidi ya $553 milioni wa
Colombo West International Terminal (CWIT) ambayo ni sehemu ya Bandari ya kina kirefu Cha Bandari ya Colombo nchini Sri Lanka,

Mamlaka za Tanzània ziligoma pia kuvunja mkataba wa Kuendesha Gate Namba 2 kwa kuzingatia ubora wa huduma zinazotolewa na Kampuni ya Adani Groups pamoja na sheria na miongozo ya Tanzania hata hivyo hazijasema kama zitaendelea au laa na mchakato wa kusaini mkataba wa kusamabaza Umeme wa zaidi ya TZS 3.3 utakaokuwa chini ya PPPC.

Pia soma https://www.business-standard.com/a...nding-for-colombo-project-124121001397_1.html

View attachment 3174553
Nawapongeza sana
 
Kitendo Cha Sri Lanka kuibishia Marekani kunaonesha wanajitambua
Lakini pia yawezekana wakubwa wamepewa chao, usipuuze kila kitu. Hivi DP World imeshaanza kuleta mgao?
 
===
Wakati kashfa dhidi yake zikiendelea Billionaire Gautam Adan amesema atatumia pesa yake ya mapato ya ndani kuijenga bandari ya Colombo Sri Lanka ikiwa ni baada ya kuachana na maombi ya Mkopo wa $553M alizoomba toka US International Development Finance Corporation (DFC) ya Marekani.

Wakati haya yakiendelea Rais Williams Ruto wa Kenya kwa shinikizo la Marekani yeye alishafutilia mbali mkataba wake wa kusambaza Umeme na Adani Group huku akisalia na Mkataba wa bima ya Afya wa STH unaotekelezwa na Adani Group.

Mamlaka za Sri Lanka zimepuuza madai ya rushwa dhidi ya Adani Gautam toka kwa Marekani na imeendelea na Utekelezaji wa Mradi wa Bandari wa zaidi ya $553 milioni wa
Colombo West International Terminal (CWIT) ambayo ni sehemu ya Bandari ya kina kirefu Cha Bandari ya Colombo nchini Sri Lanka,

Mamlaka za Tanzània ziligoma pia kuvunja mkataba wa Kuendesha Gate Namba 2 kwa kuzingatia ubora wa huduma zinazotolewa na Kampuni ya Adani Groups pamoja na sheria na miongozo ya Tanzania hata hivyo hazijasema kama zitaendelea au laa na mchakato wa kusaini mkataba wa kusamabaza Umeme wa zaidi ya TZS 3.3 utakaokuwa chini ya PPPC.

Pia soma https://www.business-standard.com/a...nding-for-colombo-project-124121001397_1.html

View attachment 3174553
Nasikia yule Mwanasheria wao kasepa
 
===
Wakati kashfa dhidi yake zikiendelea Billionaire Gautam Adan amesema atatumia pesa yake ya mapato ya ndani kuijenga bandari ya Colombo Sri Lanka ikiwa ni baada ya kuachana na maombi ya Mkopo wa $553M alizoomba toka US International Development Finance Corporation (DFC) ya Marekani.

Wakati haya yakiendelea Rais Williams Ruto wa Kenya kwa shinikizo la Marekani yeye alishafutilia mbali mkataba wake wa kusambaza Umeme na Adani Group huku akisalia na Mkataba wa bima ya Afya wa STH unaotekelezwa na Adani Group.

Mamlaka za Sri Lanka zimepuuza madai ya rushwa dhidi ya Adani Gautam toka kwa Marekani na imeendelea na Utekelezaji wa Mradi wa Bandari wa zaidi ya $553 milioni wa
Colombo West International Terminal (CWIT) ambayo ni sehemu ya Bandari ya kina kirefu Cha Bandari ya Colombo nchini Sri Lanka,

Mamlaka za Tanzània ziligoma pia kuvunja mkataba wa Kuendesha Gate Namba 2 kwa kuzingatia ubora wa huduma zinazotolewa na Kampuni ya Adani Groups pamoja na sheria na miongozo ya Tanzania hata hivyo hazijasema kama zitaendelea au laa na mchakato wa kusaini mkataba wa kusamabaza Umeme wa zaidi ya TZS 3.3 utakaokuwa chini ya PPPC.

Pia soma https://www.business-standard.com/a...nding-for-colombo-project-124121001397_1.html

View attachment 3174553
Merry Christmas
 
===
Wakati kashfa dhidi yake zikiendelea Billionaire Gautam Adan amesema atatumia pesa yake ya mapato ya ndani kuijenga bandari ya Colombo Sri Lanka ikiwa ni baada ya kuachana na maombi ya Mkopo wa $553M alizoomba toka US International Development Finance Corporation (DFC) ya Marekani.

Wakati haya yakiendelea Rais Williams Ruto wa Kenya kwa shinikizo la Marekani yeye alishafutilia mbali mkataba wake wa kusambaza Umeme na Adani Group huku akisalia na Mkataba wa bima ya Afya wa STH unaotekelezwa na Adani Group.

Mamlaka za Sri Lanka zimepuuza madai ya rushwa dhidi ya Adani Gautam toka kwa Marekani na imeendelea na Utekelezaji wa Mradi wa Bandari wa zaidi ya $553 milioni wa
Colombo West International Terminal (CWIT) ambayo ni sehemu ya Bandari ya kina kirefu Cha Bandari ya Colombo nchini Sri Lanka,

Mamlaka za Tanzània ziligoma pia kuvunja mkataba wa Kuendesha Gate Namba 2 kwa kuzingatia ubora wa huduma zinazotolewa na Kampuni ya Adani Groups pamoja na sheria na miongozo ya Tanzania hata hivyo hazijasema kama zitaendelea au laa na mchakato wa kusaini mkataba wa kusamabaza Umeme wa zaidi ya TZS 3.3 utakaokuwa chini ya PPPC.

Pia soma https://www.business-standard.com/a...nding-for-colombo-project-124121001397_1.html

View attachment 3174553
Sasa Sri Lanka inatusaidiaje sisi?
 
===
Wakati kashfa dhidi yake zikiendelea Billionaire Gautam Adan amesema atatumia pesa yake ya mapato ya ndani kuijenga bandari ya Colombo Sri Lanka ikiwa ni baada ya kuachana na maombi ya Mkopo wa $553M alizoomba toka US International Development Finance Corporation (DFC) ya Marekani.

Wakati haya yakiendelea Rais Williams Ruto wa Kenya kwa shinikizo la Marekani yeye alishafutilia mbali mkataba wake wa kusambaza Umeme na Adani Group huku akisalia na Mkataba wa bima ya Afya wa STH unaotekelezwa na Adani Group.

Mamlaka za Sri Lanka zimepuuza madai ya rushwa dhidi ya Adani Gautam toka kwa Marekani na imeendelea na Utekelezaji wa Mradi wa Bandari wa zaidi ya $553 milioni wa
Colombo West International Terminal (CWIT) ambayo ni sehemu ya Bandari ya kina kirefu Cha Bandari ya Colombo nchini Sri Lanka,

Mamlaka za Tanzània ziligoma pia kuvunja mkataba wa Kuendesha Gate Namba 2 kwa kuzingatia ubora wa huduma zinazotolewa na Kampuni ya Adani Groups pamoja na sheria na miongozo ya Tanzania hata hivyo hazijasema kama zitaendelea au laa na mchakato wa kusaini mkataba wa kusamabaza Umeme wa zaidi ya TZS 3.3 utakaokuwa chini ya PPPC.

Pia soma https://www.business-standard.com/a...nding-for-colombo-project-124121001397_1.html

View attachment 3174553
Tanzània tunalakujifunza
 
Back
Top Bottom