Sri Lanka yaipuuza Marekani madai ya rushwa ya Adani, yasaini mkataba na Adani Group wa $553M kuendesha bandari ya Colombo

Sri Lanka yaipuuza Marekani madai ya rushwa ya Adani, yasaini mkataba na Adani Group wa $553M kuendesha bandari ya Colombo

Mkataba wa Marekani ni tofauti na ue wa Tanzania, vivyo hivyo wa Sri Lanka.
Kutoa usmuzi lazima uchambue kila mmoja uone uwezekano wa rushwa kutumika kupindisha akili ya kawaida.
 
===
Wakati kashfa dhidi yake zikiendelea Billionaire Gautam Adan amesema atatumia pesa yake ya mapato ya ndani kuijenga bandari ya Colombo Sri Lanka ikiwa ni baada ya kuachana na maombi ya Mkopo wa $553M alizoomba toka US International Development Finance Corporation (DFC) ya Marekani.

Wakati haya yakiendelea Rais Williams Ruto wa Kenya kwa shinikizo la Marekani yeye alishafutilia mbali mkataba wake wa kusambaza Umeme na Adani Group huku akisalia na Mkataba wa bima ya Afya wa STH unaotekelezwa na Adani Group.

Mamlaka za Sri Lanka zimepuuza madai ya rushwa dhidi ya Adani Gautam toka kwa Marekani na imeendelea na Utekelezaji wa Mradi wa Bandari wa zaidi ya $553 milioni wa
Colombo West International Terminal (CWIT) ambayo ni sehemu ya Bandari ya kina kirefu Cha Bandari ya Colombo nchini Sri Lanka,

Mamlaka za Tanzània ziligoma pia kuvunja mkataba wa Kuendesha Gate Namba 2 kwa kuzingatia ubora wa huduma zinazotolewa na Kampuni ya Adani Groups pamoja na sheria na miongozo ya Tanzania hata hivyo hazijasema kama zitaendelea au laa na mchakato wa kusaini mkataba wa kusamabaza Umeme wa zaidi ya TZS 3.3 utakaokuwa chini ya PPPC.

Pia soma https://www.business-standard.com/a...nding-for-colombo-project-124121001397_1.html

View attachment 3174553
Tanzania must move on
 
Kwa hiyo watasambaziwa umeme na Marekani ama
Sio waafrika tuna nini yaani usa akisema lazima tufanye hawajui kuwa wao ndio wanaofyatua dollars?
Na sisi tutaendelea kudaiwa tu na wanaotudai
Adani kama watakuwepo wa kusoma mikataba yote hata iwe na page 2000 basi wasaini tu
La sivyo mtaletewa na usa walio na maslahi nao
 
Hawa marekani sijui wanashida gani, Hata tiktok ya China wanaiwekea vikwazo sana..
 
Kwa hiyo watasambaziwa umeme na Marekani ama
Sio waafrika tuna nini yaani usa akisema lazima tufanye hawajui kuwa wao ndio wanaofyatua dollars?
Na sisi tutaendelea kudaiwa tu na wanaotudai
Adani kama watakuwepo wa kusoma mikataba yote hata iwe na page 2000 basi wasaini tu
La sivyo mtaletewa na usa walio na maslahi nao
Sahihi tunahitaji kujisimamia zaidi kuliko kuwa bendera fuata upepo
 
Sahihi tunahitaji kujisimamia zaidi kuliko kuwa bendera fuata upepo
Hawa wazungu wana lao jambo aidha kuna conflict of interest baina yao
Sasa sisi inatuhusu nini
Kwanini tujifanye bado watoto.wakati tuna Uhuru wetu wa miaka zaidi ya 60?
Kweli watuache
 
Wabongo ni bebdera fuata Upepo sana wanamwamini sana Marekani kuliko hata Viongozi wao
Kuna viongoz wenye nafuu? Record zinaonyesha wengine wana sign bila kujua content za mikataba. Likibumburuka wanaanza kukana

Ni si kwamba marekani ni special No, but when comes to mikataba ni 1000x better kwa umakini than tz
 
Kuna viongoz wenye nafuu? Record zinaonyesha wengine wana sign bila kujua content za mikataba. Likibumburuka wanaanza kukana

Ni si kwamba marekani ni special No, but when comes to mikataba ni 1000x better kwa umakini than tz
Nakubaliana na wewe kwenye hili
 
Wapi marekani kalazimisha tanzania ivunje mkataba na Adani?
 
Back
Top Bottom