TANZIA SSGT Reginald Ruta wa JWTZ amejiua kwenye Kaburi la marehemu Mkewe

Mleta Uzi unaouhusiano gani na Matukio ya Vifo siku hizi?
Maana kila nikiingia nakumbana na Uzi wako juu,
Tanzia,tanzia,tanzia, unafikirisha.
 
Huu upendo umezidi viwango kabisa, RIP afande.
 
Doh

Nimekumbuka mbali Sana. Picha kama hii hii ila mume yeye hakujiua bali alikufa ghafla siku mbili tu baada ya mkewe kufariki Kuna watu wanajua kupenda bhanaa nyie acheni, hii ndo ile, "nitakupenda hadi kufa kwangu"
Hakika kabisa yaan.
 
With due respect naomba kuuliza, Kanisa Katoliki lilianza lini kuendesha Ibada ya Mazishi kwa mtu aliyejinyonga (kujiua)?
 
Sasa watoto wake kamwachia nani? hivi wahaya nao wana akili za hovyo namna hii.......nyegera waitu.
 
Wengi humu mtamlaumu lakini depression is real and inatisha sana ...Apumzike kwa amani MUNGU pekee ndo ajuae kipi alipitia mpaka kufikia maamuz ayo may his soul rest in peace
 
Kipo alichokikosa kwa mkewe huku akiamini hawezi kuishi bila yeye, na mbaya zaidi akakosa hata faraja ya walimwengu
Na si ajabu hata yeye ndio chanzo cha kifo cha mkewe akawa anafeel guilty.Who knows?
 
Sio tajiri ila walau alikuwa na kitu kwa ajili ya wanae.. Lakini kajimaliza kwa sababu nyepesi sana

Sent using Jamii Forums mobile app
Kazingua .
Yeye kaondokewa na make wengine wameondokewa na mama na wengine Bibi .kaona haitoshi kaamua kujimuvu,Isha nayeye ilinkiongeza pugo kwa wanawe na wajukuu
 
NAAM NAMI NATAFUTA MKE MPENZI NITAKAYE MPENDA KULIKO UHAI WANGU.
YEYOTE MWENYE NIA NJOO PM,

KIKUBWA UMRI 30+
KABILA LOLOTE
DINI YOYOTE
 
Na si ajabu hata yeye ndio chanzo cha kifo cha mkewe akawa anafeel guilty.Who knows?

Au ndugu wa karibu wanataka kuchukua na kumiliki mali zao, au kuna mtu wanamdai kaamua afanye yake.... yote yanawezekani
 
Huyu jamaa amekufa kifo cha kijinga sana na cha kujitakia. Wanawake wote warembo waliojaa hapa nchini ameshindwa kukamata mmoja amuoe azibe pengo la mkewe badala yake amejitoa roho? Mpuuzi mkubwa. Rest In Hell (RIH). Tazama sasa hili jinga limewaacha watoto yatima kwa 100% halafu eti linawapa wosia wawe wanasali!!! Lenyewe limeshindwa kusali limejitoa uhai kiumbwa linawaambia watoto wasali? Ni hasara kubwa sana kuwa na baba la aina hii. Bora hata limekuga!! Afu eti lianajeshi!!! Hili linaweza kuhimili vita kweli ikiwa akifa mkewe tu linajitoa roho? Pumbavu sana!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…