TANZIA SSGT Reginald Ruta wa JWTZ amejiua kwenye Kaburi la marehemu Mkewe

Fucking coward, hivi mwanajeshi unajiuaje wakati upo uraiani? Sio kama umetekwa vitani?! How can you justfy taking ur own life?

Fucking coward, jitu lina miaka 50, linajiua! Bora ujiue kama unaumwa unahofia utawapa hasara wakikuuguza kwa muda mrefu,

This is totally shit
 
Mapenzi hayana baunsa ndugu yangu hasa yanapogusa kwenye hisia halisi ndani ya moyo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dah alale salama
Pole kwa watoto, familia na wote walioguswa na msiba

Hakuna cha kulala salama hapo, hapo ni jahannam inamhusu.


وَلَا تَقْتُلُوا النَّفْسَ الَّتِي حَرَّمَ اللَّهُ إِلَّا بِالْحَقِّ ۗ وَمَنْ قُتِلَ مَظْلُومًا فَقَدْ جَعَلْنَا لِوَلِيِّهِ سُلْطَانًا فَلَا يُسْرِفْ فِي الْقَتْلِ ۖ إِنَّهُ كَانَ مَنْصُورًا


Wala msiuwe nafsi ambayo Mwenyezi Mungu amekataza isipo kuwa kwa haki. Na aliye uliwa kwa kudhulumiwa basi tumempa madaraka mrithi wake. Lakini asipite mpaka katika kuuwa. Kwani yeye anasaidiwa.
 
Unaona nyepesi wewe..sio nyepesi hata kidg
Hata kama ni nzito:
1. Haitoshi kujitoa uhai wako au wa mtu mwingine. Ni makosa tu kisheria, kidini na hata kimaadili.
2. Kwa kuwa mkewe keshakufa, matarajio ya kawaida ni kufikiria namna ya kulea watoto wake akiwa peke yake, na sio kuwapa watoto hasara na simanzi ya kupoteza mzazi mwingine tena. Ni mbinafsi.

Well, nakubaliana na wepesi au uzito ni relative. Lakini ni je uzito wa kujitoa uhai? Kweli?
 
Askari unakufaje kizembe hivyo aisee.!! Si bora angeomba aende Congo huko au Darfur akafie vitani huko.
Nao ni binadam. askari sio roboti. nje ya service. kuna familia pia. kuna maisha ambayo hayakuondolei ubinadam
 
Kimungu , kimaandiko ni kosa na kwa Mungu ni kosa ila kibinadamu wakati mgumu unaweza kuona dunia nzima umebaki mwenyewe tu
 
Sex inamuunganiko wa kiroho legacy ya mkewe imemualika kuzimu


R I P bro
 
Kimungu , kimaandiko ni kosa na kwa Mungu ni kosa ila kibinadamu wakati mgumu unaweza kuona dunia nzima umebaki mwenyewe tu
...labda kwa kuwa hatujui vitu vingi vinavyozunguka maamuzi yake.
 
Doh

Nimekumbuka mbali Sana. Picha kama hii hii ila mume yeye hakujiua bali alikufa ghafla siku mbili tu baada ya mkewe kufariki Kuna watu wanajua kupenda bhanaa nyie acheni, hii ndo ile, "nitakupenda hadi kufa kwangu"
 
Hujapenda wewe...hata mimi naweza jitoa uhai kwaajili ya mapenzi...wee acha kbs!ndo maana kasema wanaye wamsamehe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…