Patra31
JF-Expert Member
- Apr 24, 2020
- 6,918
- 13,885
Ni huyo tu mahaba yalimzidia. Kuna watu wapo hai kwa sababu pembeni yao kuna mtu anaefanya waone thamani ya maisha duniani inapotokea yule mtu akatoweka nao wanapoteza matumaini na hawaioni tena thamani ya uhai wala ya watu wanao wazunguka.Watani zangu ' Wahaya ' mmeniaibisha.