SSH ni hazina ya nchi - MTU asilete mzaha na chokochoko juu yake - aendae tofauti tutamlaani kwa maneno na matendo

Kabende Msakila

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2020
Posts
1,809
Reaction score
1,692
Wana Jf,
Salaàm!
Nawaambia kuwa CCM tuko tayari kufanya kusikiliza wenzetu wanataka nn lkn siyo suala la Samia Must Go.

Rais wetu yupo kikatiba - hatutaacha atoke kabla ya muda wake kuisha - yeyote mwenye fikra hizo aache mara moja.
* Mchango wa SSH ktk elimu, afya, madini, siasa, Kilimo, biashara nk nk ni mkubwa na lzm tumpe muda zaidi wa kutuletea maendeleo.
 
Kwani ...Must go ,ni kupinduliwa...She must go through ballots paper!nje ya mada...hivi mzee wa kujificha kwenye kichaka chakaranga hawajakuona tu😳😳 hata U'DED
 
Una nafasi gani hapo ccm?
 

Mbona mnapanic sana
 
The blood sucker MUST Go or else-----!
 
 
Unamuona hazina huyo? Umerogwa. Haupo Sawa kichwani na ni hasara kwa nchi hii. Tafuta dawa mapema kabla ya kuwa zombie na msukule kamili
 
Kwani ana miaka mingapi si 8 sasa inatosha bwana na itakuwa 10. Kwani hakuna wengine?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…