Kabende Msakila
JF-Expert Member
- Oct 7, 2020
- 1,809
- 1,692
Kwani ...Must go ,ni kupinduliwa...She must go through ballots paper!nje ya mada...hivi mzee wa kujificha kwenye kichaka chakaranga hawajakuona tu😳😳 hata U'DEDWana Jf,
Salaàm!
Nawaambia kuwa CCM tuko tayari kufanya kusikiliza wenzetu wanataka nn lkn siyo suala la Samia Must Go.
Rais wetu yupo kikatiba - hatutaacha atoke kabla ya muda wake kuisha - yeyote mwenye fikra hizo aache mara moja.
* Mchango wa SSH ktk elimu, afya, madini, siasa, Kilimo, biashara nk nk ni mkubwa na lzm tumpe muda zaidi wa kutuletea maendeleo.
Una nafasi gani hapo ccm?Wana Jf,
Salaàm!
Nawaambia kuwa CCM tuko tayari kufanya kusikiliza wenzetu wanataka nn lkn siyo suala la Samia Must Go.
Rais wetu yupo kikatiba - hatutaacha atoke kabla ya muda wake kuisha - yeyote mwenye fikra hizo aache mara moja.
* Mchango wa SSH ktk elimu, afya, madini, siasa, Kilimo, biashara nk nk ni mkubwa na lzm tumpe muda zaidi wa kutuletea maendeleo.
Wana Jf,
Salaàm!
Nawaambia kuwa CCM tuko tayari kufanya kusikiliza wenzetu wanataka nn lkn siyo suala la Samia Must Go.
Rais wetu yupo kikatiba - hatutaacha atoke kabla ya muda wake kuisha - yeyote mwenye fikra hizo aache mara moja.
* Mchango wa SSH ktk elimu, afya, madini, siasa, Kilimo, biashara nk nk ni mkubwa na lzm tumpe muda zaidi wa kutuletea maendeleo.
Ndicho alichotaka kusema, wamezoea kuua watu sasa maneno yanawaponyoka tu.We ungesema tutawauweni ungeeleweka. Unajificha kwenye kivuli Cha laana.
The blood sucker MUST Go or else-----!Wana Jf,
Salaàm!
Nawaambia kuwa CCM tuko tayari kufanya kusikiliza wenzetu wanataka nn lkn siyo suala la Samia Must Go.
Rais wetu yupo kikatiba - hatutaacha atoke kabla ya muda wake kuisha - yeyote mwenye fikra hizo aache mara moja.
* Mchango wa SSH ktk elimu, afya, madini, siasa, Kilimo, biashara nk nk ni mkubwa na lzm tumpe muda zaidi wa kutuletea maendeleo.
Wana Jf,
Salaàm!
Nawaambia kuwa CCM tuko tayari kufanya kusikiliza wenzetu wanataka nn lkn siyo suala la Samia Must Go.
Rais wetu yupo kikatiba - hatutaacha atoke kabla ya muda wake kuisha - yeyote mwenye fikra hizo aache mara moja.
* Mchango wa SSH ktk elimu, afya, madini, siasa, Kilimo, biashara nk nk ni mkubwa na lzm tumpe muda zaidi wa kutuletea maendeleo.
Unamuona hazina huyo? Umerogwa. Haupo Sawa kichwani na ni hasara kwa nchi hii. Tafuta dawa mapema kabla ya kuwa zombie na msukule kamiliWana Jf,
Salaàm!
Nawaambia kuwa CCM tuko tayari kufanya kusikiliza wenzetu wanataka nn lkn siyo suala la Samia Must Go.
Rais wetu yupo kikatiba - hatutaacha atoke kabla ya muda wake kuisha - yeyote mwenye fikra hizo aache mara moja.
* Mchango wa SSH ktk elimu, afya, madini, siasa, Kilimo, biashara nk nk ni mkubwa na lzm tumpe muda zaidi wa kutuletea maendeleo.
Kwani ana miaka mingapi si 8 sasa inatosha bwana na itakuwa 10. Kwani hakuna wengine?Wana Jf,
Salaàm!
Nawaambia kuwa CCM tuko tayari kufanya kusikiliza wenzetu wanataka nn lkn siyo suala la Samia Must Go.
Rais wetu yupo kikatiba - hatutaacha atoke kabla ya muda wake kuisha - yeyote mwenye fikra hizo aache mara moja.
* Mchango wa SSH ktk elimu, afya, madini, siasa, Kilimo, biashara nk nk ni mkubwa na lzm tumpe muda zaidi wa kutuletea maendeleo.