SSH ni hazina ya nchi - MTU asilete mzaha na chokochoko juu yake - aendae tofauti tutamlaani kwa maneno na matendo

Pia utawala wake umeleta mchango mkubwa kwenye utekaji na mauaji ya wakosoaji wake. Hili halitakiwi kuachwa kusemwa. Mchango wake kwenye hili la utekaji na mauaji ya wanaomkosoa ni wa kipekee, na hautasahaulika vizazi na vizazi.
 
Ikiwa kiongozi anashindwa kuchukua hatua kuzuia vitendo vya mauaji ya wananchi wasio na hatia, utekaji nk nk

Ofisini anabaki kufanya nn?
 
Daah, Kaka umesahau kuweka no za sim!
 
Halafu jamii forums limekuwa jukwaa la hovyo sana,mods ndo wanapenda hizi mada za hovyo hovyo, Tanzania ina kipindi kigumu mno kuliko wakati wowote kwa sababu ni kama haina Rais tu,watu wanapotea kila siku halafu juha limeibuka linaita mavi ni keki.
 
Huyu namfahamu kabisa. Ni muha mmoja wa kasulu. Hana mbele wala nyuma.ni chawa. Anatafuta umaarufu ili awe kama waha wenzake mwijaku na baba levo.
Khaaaaa!
Hongera sana kwa kumufahamu - ulipenda aandike lipi ufurahie?
 
Kwani ...Must go ,ni kupinduliwa...She must go through ballots paper!nje ya mada...hivi mzee wa kujificha kwenye kichaka chakaranga hawajakuona tu😳😳 hata U'DED
Bado tu unapenda kuajiriwa? Nawaza tofauti sana si kwangu tu hata kwa wanangu Mkuu
 
Mkuu jifunze kujenga hoja hususan kipindi hiki kigumu sana ili jamii ipate haki zote muhimu.

Huyo uliyemtaja ni muuaji. Sijui unasemaje kwenye hilo
 
Unajua watu hawajui hata upinzani wakipewa platform haitamuathiri namba moja kwa namna yeyote ile kwa tume ya uchaguzi na sheria zilizopo ni yeye tuu.
Ingetumika busara kuwaachia wapinzani wafanye yao halafu ccm inamalizia kwenye mabox ya kura basi
 
Hazina ya wizi wa raslimali!? Unaumwa kweli na utalaaniwa we na huyu mwizi unayemtetea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…