St. Francis Mbeya kuna siri gani?


Ushawahi pata wasaa wa kuhudhuria interview zao kwa ajiri ya selection?! Nikutaarifu tu hao 92 wanatokana na watoto zaidi ya 500 katika interview ya mchuzo sasa ! So obviously wanapata watoto cream wao kazi yao kuwasimamia tu! Halafu mwisho wa siku NECTA inakuja toa mtihani sawa na hawa wa Mpelangwasi sec school?! Unfair
 
Fuatilia msichana aliyeongoza kwa GPA UDSM mwaka jana.. halafu uje useme alisoma shule gani o level na advance
 

ilibidi nifanye uandakava, nikazama social media kuwatafuta hao wadada waliopiga division one mwaka 2003.

baadhi yao nimewakuta instagram, ni watu wazima kwa sasa na wengine wameolewa.

wote wapo vizuri kimaisha, kurasa zao za social media hazidanganyi, wengine ni wanasheria, wachumi, wahandisi na madaktari wa kutegemewa ktk hospitali wanazofanyia kazi.

jamani tusibeze elimu ya saint francis, hakuna binti anayepita hiyo shule halafu akawa kilaza mtaani.
 
Hii ya likizo hamna kwenda na daftari nimeisikia,lengo au fairs yake ni nini?
 
Ila msisahau maisha yanaegemea Sana kwenye bahati kuliko juhudi
 
Kweli usome St Francis usijue uandishi wa sentensi ?!. Huna cha herufi kubwa, koma wala nukta !!. Halafu lugha upate 'A'

Acha kutafuta misifa
 

unaijua Ada ya St. Francis au unaongea tu? ni sh ngapi? eti unaweza kula mwaka mzima usiongee kitu usichokijua ada yao ya kawaida sana ndiyo maana watu huwa wanaikimbilia sema wanakosa sababu mtoto lazima awe vizuri kichwani.


Watanzania tuna roho mbaya sana hatupendi kuona mtu anafanikiwa wala kufanya vizuri!!! umekomaliiia kuongea uongo, jistukie na ona aibu!!!
 
Hahaaa hizo ni division one za michongo tu ....
 
Wewe Mbona muongo hivyo??. Rekodi si zipo Mzee??.Leta ushahidi hapa.
 
Ulisoma nao shule ipi huko A-level??.
 
Maandalizi ndio kila kitu wabongo wengi kwa bahati mbaya hupenda zimamoto na kutegemea matokeo yawe mazuri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…