St. Francis Mbeya kuna siri gani?

Ni ngumu sana kuwashawishi "sizitaki mbichi hizi"..
Pengine ni namna ya wao kujisikia faraja mioyoni mwao..


Sent from my SM-A405FN using JamiiForums mobile app
 
Mimi binafsi nakataaa hayo matokeo aisee ,hata kama Wana akili huo ufaulu wa kiasi hicho Kuna kitu cha ziada ...hio shule ichunguzwe vzuri kuanzia miezi mitatu kabla ya kufanya mtihani na siku za mitihani
Ilishachunguzwa Sana mpaka na wasiojulikana walisimamia mtihani na Askari kanzu lakini mabinti wale ni kiboko. Shule Headmistress ni Sr mmoja matata Sana Kwa Elimu. Kifupi shule za Mission ni habari nyingine kabisa.
 
Maneno ya mkosaji
St Francis chapa fimbo ileile endelea kuburuza paka maji waseme mmma!
 
Elimu ya siku hizi imekuwa mdebwedo sana! Ukitaka kujua hili waulize walimu wa vyuo na waajiri. Binafsi sio Mara moja nimewafanyia interview vijana kwenye mambo ya kazi na naishia kusikitika jinsi uelewa wao ulivo wa mashaka
Vijana wa kileo ni janga
 
Haya mambo ya kusoma kwa kufundishwa kila kitu na walimu yalinilemaza nilivyoenda A-level na kukuta hakuna walimu na kutakiwa kukomaa mwanzo mwisho kupiga msuli....ndo maana wakienda chuo wanapata shida kwenye ufaulu kwani hawajazoea independent learning........
 
Kwani Samia alipata div gani form 4?
 
Mkuu si kweli...naweza kukupa mfano....somo la History nimelifundisha sana na kila nikifundisha natoa sample questions mwaka uliopita 2021 nilitunga maswali kumi cha ajabu maswali matatu ya essay yalikuja kama nilivyotunga..
Je,nami nimeiba mtihani?
 
Wananunua kwa nani na wengine wanunue
 
Mimi binafsi nakataaa hayo matokeo aisee ,hata kama Wana akili huo ufaulu wa kiasi hicho Kuna kitu cha ziada ...hio shule ichunguzwe vzuri kuanzia miezi mitatu kabla ya kufanya mtihani na siku za mitihani
Hahahh.mkuu hvo vtu vya kawaida..sis wenyew darasa letu form 4 kulikua na 1 zote halaf 2 zilkua mbili...its a seminary..ni hivi...kutoka darasa la saba kwenda form 1 tulipigwa mchujo mkali haijawai tokea..wanafunz wa interview walikua kamaa 4000..halaf tukachkuliwa 35 pekee..sasa lile darasa letu ilikua ukiangalia kila mtu alifaulu darasa la saba shule za vipaj karib weng yaan kat ya hao 35 tuliochaguliwa...sasa unategemea nin mkuu hapo form 4...tena hzo two hao jamaa walipigwgwa suspension miez miwil kabla ya nekta...hahah..mkuu..hyo ni form 4 ya 2006
 
Imagine wa kwanza sijui nan itakua labda ana 1.7 zote🤣🤣🤣🤣
Yaani hapo inatakiwa kuangalia maksi zao,unaangalia wote waliopata 100 kwa100,ukikosa unashuka 99.9 ivyo ivyo ila mwisho wa siku wakigongana wengi na unahitaji kumpata mmoja basi wanaishia kuangalia nani mwenye hati nzuri,ama nani kwenye njia alikosea alitumia njia nyepesi....mfano wa ivyo labda
 
Namkumbuka girlfriend wangu, alikua anasoma hii shule. Alikua na akili za kuelewa haraka mpaka nikawa namshangaa. Alipoenda kusoma University Ulaya ukawa ndiyo mwisho wa mahuasiano yetu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…