Chuoni Wanakutana Na Hawa Wenye Standard Zao Maisha Yanakwenda Kama Ndugai Alivyojiuzuru Nafasi Yake Kwa Mkwara Wa Hangaya
Acha Kwanza Utatutupa TabuHakufaulu
UChuoni Wanakutana Na Hawa Wenye Standard Zao Maisha Yanakwenda Kama Ndugai Alivyojiuzuru Nafasi Yake Kwa Mkwara Wa Hangaya
Sie Waswahili tumewekeza sana kwny ufaulu na si ueleawa
Hizi division one kalikali zinapoteleaga wapi hadi hazionekani tena?
Tanzania one wa form four walio graduate sambamba na Samia Suluhu miaka hiyo sijui sasa hivi yupo pori gani wakati mwenzie sasa ni Rais?
Kwa nn sasa ulimuacha/kuachana au aligegedwa na mzungu?Namkumbuka girlfriend wangu, alikua anasoma hii shule. Alikua na akili za kuelewa haraka mpaka nikawa namshangaa. Alipoenda kusoma University Ulaya ukawa ndiyo mwisho wa mahuasiano yetu.
Alikaa huko muda mrefu sana. Nikaona isiwe shida, nikavuta mwanamke wa KimakondeKwa nn sasa ulimuacha/kuachana au aligegedwa na mzungu?
ALLIANCE walikuwa wanaiba mitihanii aiseeee. Mhmmmm.Wameongoza KEMEBOS huyu muhaya anakuja juu si mchezo, Bwire naona kwa ALLIANCE alishindwa kabisa kumaintain
Waafrika umaskini umetuharibu sana akili ...hatuamini kabisa km tukiweka juhudi mambo yanawezekana jamii km wayahudi ivi vitu ni vya kawaida kbsaWatanzania tuko kinyume sana na mafanikio ya wengine......mioyo yetu na akili zetu muda wote zinatarajia habari mbaya na maanguko ya watu baada ya mafanikio......
Mafanikio ya mtu au kikundi cha watu tunazipokea kwa mshituko wa chuki na hasira ili kufurahisha mioyo yetu hasi tunatafuta namna ya kuyatia doa mafanikio hayo.......
Wengi wetu hatutambui na kuthamini juhudi za watu wengine juu ya mafanikio yao badala yake tunawapachika majina mabaya......
Ili uishi Tanzania unatakiwa kuwaelewa watanzania na hawa ndio waTanzania kwa wingi wao......
Hongereni ST FRANCIS MBEYA juhudi zenu zimeonekana na kuwaangaza kwa watu wanaoshangilia na kufurahia mafanikio ya watu.....
Chuki itakuua mkuu poleKama unataka kuaamini ,baada ya kumaliza huo mtihani ,wachukue hao watoto watungue paper la standard ya kawaida tu , then wape uone kama hao watoto wote 97 wanaweza kupata one ya point 7 .....
Unajua div 1.7 wewe ,yaani watoto wote hao wapate A 7 kwenye masomo yao ?????.....
Hao watoto ni weupe mno ,believe me ,ni vile tu hata advance wanapelekwa shule za aina hio hio ,Bado vyuoni wanaenda kupotea kwani hawaoneshagi uwezo huo kabisa ,wanaishia gpa za 2.3 na supp juu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Big no ,
Nina uhakika asimilia 100. Mitihani tu ya ndani kama vile terminal walimu walikuwa wanawapa majibu wanafunzi ili wafanye vizuri wazazi wafurahi.Una uhakika? Yule bwana alipigwa fitina
2,8 M per annumAda bei gani hapo st francis?
Nina uhakika asimilia 100. Mitihani tu ya ndani kama vile terminal walimu walikuwa wanawapa majibu wanafunzi ili wafanye vizuri wazazi wafurahi.
Ikifika NECTA sasa mhmmm niishie hapa. Hamna cha fitna wala nini.
Acha uongoAliyefaulu kiukweli bila kuiba mtihani ni huyo wa Ilboru, kipindi nimeenda advance level darasa letu lilikuwa na hao waliotoka st Francis na kila mtu aliwaogopa chakushangaza mtihani wa kwanza marks walizopata ni tofauti na hizo one zao. Huko private ni business kwa kwenda mbele na solving za paper kwa ajili ya kupata A za kutosha wakati zikija kitaa inputs yake ni zero kabisa
Hebu check wakati wa jpm matokeo Yao yalikuwaje Mana jamaa Alibana Sana wizi wa mitihani.We endelea kushabikia mpira una low IQ sijawahi kuona kwa haya uliyoandika nimeamini kuwa upo na akili ndogo sana
Hao miaka yote hayo ndo matokeo yao.Mimi binafsi nakataaa hayo matokeo aisee ,hata kama Wana akili huo ufaulu wa kiasi hicho Kuna kitu cha ziada ...hio shule ichunguzwe vzuri kuanzia miezi mitatu kabla ya kufanya mtihani na siku za mitihani
Sikusoma hapo. Nilisoma na wanafunzi wa Alevel waliosoma hapo. Walikuwa na div 1 za 14 lakini wote walikuwa weupeee ndani. Sijawahi kuona mtu anatoka shule inafaulu wakawa weupe kichwani kiasi hicho. Walituelezea shule yao kwa undani na tulishangaa sana.Nakuamini. Najua ulisoma hapo.
Wanauziwa na nani...Msonde/Necta?Mkuu hakuna ufaulu wa namna hio ,kwa hio ratio ....
Hapo ni wazi kabisa wamenunua mtihani na kusolve ...
Hakuna kitu kama hicho ,watoto wa kitanzania Mimi nawajua ,kuapata div 1.7 kaa watoto wote sio kwa uwezo wao ,japo wenye uwezo wapo lakin sio kwa hio idadi kabisa ...
Mimi nakataa kabisa [emoji1787]