Mtanzanias
JF-Expert Member
- Jul 30, 2021
- 1,747
- 3,725
- Thread starter
-
- #21
Labda mechi zote zichezwe kwa mkapa!!Kivyovyote na kwa yeyote kati ya hizi timu 2 atakayepita akuna timu ya kumpa yanga ugumu kwa namna timu zenyewe zilivyo, kilichopo ni yanga kuendeleza walipoishia na kufanya marekebisho madogo madogo ya kiufundi
Tanzania ya sasa inazalisha watu wengi sana wenye matumizi kidogo sana ya akili badala yake wanatumia hisia tu kufanya mambo yao.Nafikiri kwa timu yoyote itayovuka kati ya hizi kukutana na yanga basi itatakiwa ifanye kazi ya ziada mara 2 kuizuia yanga, naangalia mechi yao hapa inayoendelea sijaona timu ya kuisumbua yanga, Al Hilal wanao wachezaji wazuri lakini wanakosa muunganiko kila mchezaji anacheza kwa uwezo binafsi na sio kitimu, na ndicho kilichowagharimu mpaka sasa wako nyuma kwa goli 2 bila, St George tuliyoiona ikicheza na Simba hapa Tanzania mechi ya kirafiki naiona ni ile ile akuna kilichobadilika wamefanikiwa kuwaduwaza Al hilal kwa kutumia mapungufu waliyonayo ya kutokuwa na muunganiko, Nawaona st george awana washambuliaji hatari aina ya mayele kitu ambacho safu ya ulinzi ya yanga haitokuwa na kazi ngumu ya kufanya, yote kwa yote najua tiyali kuna shushushu wa yanga ndani ya dimba pale ethiopia akifuatilia kwa ukaribu mechi hii na ninamuona kocha Nabi akifanya home work yake vizuri sana kuelekea mechi dhidi ya wapinzani wake hawa
HahahahahahahaNilivyoona tu umeandika "tiyali" nikajua tu ni walewale..
Wewe nawe! Kwani hiyo simba ina kipi cha ajabu! Watu wanatoa maoni na mitazamo yao! Wewe unaleta mambo ya kujimwambafai!Hivi robo fainali unaijua au unaisikia. Kwa vile simba amefanya hivyo na yanga unaona wanaweza?
Anayetumia akili na asiyetumia akili ataonekana siku sio nyingi nafikiri ni jambo la kusubili na kuonaTanzania ya sasa inazalisha watu wengi sana wenye matumizi kidogo sana ya akili badala yake wanatumia hisia tu kufanya mambo yao.
Kila timu inaweza,kwani simba ilitokea mbinguni ? KiaziHivi robo fainali unaijua au unaisikia. Kwa vile simba amefanya hivyo na yanga unaona wanaweza?
Sababu ni kwamba Yanga Ina desturi ya kutofika popote mechi za kimataifa mbali na Simba .Sasa kama wewe ulifika robo kwa timu yako iyo ya kuungaunga itakuwaje yanga ishindwe inayokuzidi ubora kila eneo!! Ebu leta sababu za msingi hapa zitakazofanya yanga ishindwe kufika alafu wewe na timu yako iyo ya trip shamba trip gereji ndo ifike ebu tueleze
Simba Haina umbali wowote kimataifa, umbali unao tambulika kimataifa ni kikombe sio porojo na kujitutumua. Hatua za robo fainali za CAF Yanga amesha cheza mara 5 Sasa Simba Hana umbali wowote.Sababu ni kwamba Yanga Ina desturi ya kutofika popote mechi za kimataifa mbali na Simba .
Kama unabisha lete takwimu zilizoshiba halafu zamu hii mkifika mbali ndo tuanzie hapo
Simba Haina umbali wowote kimataifa, umbali unao tambulika kimataifa ni kikombe sio porojo na kujitutumua. Hatua za robo fainali za CAF Yanga amesha cheza mara 5 Sasa Simba Hana umbali wowote.
Kama robo fainali ni mbali sijui fainali itakua vipiSababu ni kwamba Yanga Ina desturi ya kutofika popote mechi za kimataifa mbali na Simba .
Kama unabisha lete takwimu zilizoshiba halafu zamu hii mkifika mbali ndo tuanzie hapo
Hata huko hawawezi kwenda. Ninakuhakikishia kuwa watapanda ndege mara moja tu kwenda Sudan.Yanga wanaenda shirikisho
Tunza sms hii
Hiyo ndo uhalisia,,,Yanga wanaenda shirikisho
Tunza sms hii
Asee, Hiyo yanga unadhani itatoboa ugenini? Kama ilitolewa mafua first half na Zalan?Nafikiri kwa timu yoyote itayovuka kati ya hizi kukutana na yanga basi itatakiwa ifanye kazi ya ziada mara 2 kuizuia yanga, naangalia mechi yao hapa inayoendelea sijaona timu ya kuisumbua yanga, Al Hilal wanao wachezaji wazuri lakini wanakosa muunganiko kila mchezaji anacheza kwa uwezo binafsi na sio kitimu, na ndicho kilichowagharimu mpaka sasa wako nyuma kwa goli 2 bila, St George tuliyoiona ikicheza na Simba hapa Tanzania mechi ya kirafiki naiona ni ile ile akuna kilichobadilika wamefanikiwa kuwaduwaza Al hilal kwa kutumia mapungufu waliyonayo ya kutokuwa na muunganiko, Nawaona st george awana washambuliaji hatari aina ya mayele kitu ambacho safu ya ulinzi ya yanga haitokuwa na kazi ngumu ya kufanya, yote kwa yote najua tiyali kuna shushushu wa yanga ndani ya dimba pale ethiopia akifuatilia kwa ukaribu mechi hii na ninamuona kocha Nabi akifanya home work yake vizuri sana kuelekea mechi dhidi ya wapinzani wake hawa
Usichokujua simba ashatengeneza profile Afrika, so timu nyingi zinapokutana nao huwa na mchecheto, Kwa hiyo usitegemee yanga kufanya hayo, kama huamini subiri atachokutana nacho mbele hapo!Sasa kama wewe ulifika robo kwa timu yako iyo ya kuungaunga itakuwaje yanga ishindwe inayokuzidi ubora kila eneo!! Ebu leta sababu za msingi hapa zitakazofanya yanga ishindwe kufika alafu wewe na timu yako iyo ya trip shamba trip gereji ndo ifike ebu tueleze
Hapo zungumzia kufika makundi siyo robo fainali. Makundi unakutana na timu kubwa unashangaa wewe ndio unakuwa daraja.Wamefanya uzembe sana kuruhusu goli la away halafu dakika za mwishoni. Yanga wana timu nzuri ila kuna kitu wanakosa labda wajirekebisha. Kocha + wachezaji + uongozi wanatakiwa wayape asilimia kubwa haya mashindano kufika hata robo fainali tu. Waanze kujengwa kisaikolojia ili wajitoe. Jana watu wanapewa madodo na timu pinzani wana mbwela halafu jitu linacheka cheka kwa ujinga alilofanya.