Ili ufikie makundi lazima uwaze zaidi ya hapo ili upambane zaidi. Jinsi unavyowaza kufika juu zaidi ndipo kujituma kunaongezeka zaidi. Mwanafunzi anayewaza afanyeje ili afaulu kwa wastani wa A ni tofauti na mwanafunzi anawaza apate tu BHapo zungumzia kufika makundi siyo robo fainali. Makundi unakutana na timu kubwa unashangaa wewe ndio unakuwa daraja.
Ila Yanga kapewa timu vibonde mwaka huu hivyo njia ya kwenda makundi ni rahisi ila kufika robo fainali ni muziki mwingine.
Uchambuzi tayari.Nafikiri kwa timu yoyote itayovuka kati ya hizi kukutana na yanga basi itatakiwa ifanye kazi ya ziada mara 2 kuizuia yanga, naangalia mechi yao hapa inayoendelea sijaona timu ya kuisumbua yanga, Al Hilal wanao wachezaji wazuri lakini wanakosa muunganiko kila mchezaji anacheza kwa uwezo binafsi na sio kitimu, na ndicho kilichowagharimu mpaka sasa wako nyuma kwa goli 2 bila, St George tuliyoiona ikicheza na Simba hapa Tanzania mechi ya kirafiki naiona ni ile ile akuna kilichobadilika wamefanikiwa kuwaduwaza Al hilal kwa kutumia mapungufu waliyonayo ya kutokuwa na muunganiko, Nawaona st george awana washambuliaji hatari aina ya mayele kitu ambacho safu ya ulinzi ya yanga haitokuwa na kazi ngumu ya kufanya, yote kwa yote najua tiyali kuna shushushu wa yanga ndani ya dimba pale ethiopia akifuatilia kwa ukaribu mechi hii na ninamuona kocha Nabi akifanya home work yake vizuri sana kuelekea mechi dhidi ya wapinzani wake hawa
Simba alicheza shirikisho sio Klabu Bingwa huwa mnajichanganya sana...Hivi robo fainali unaijua au unaisikia. Kwa vile simba amefanya hivyo na yanga unaona wanaweza?
Eeenh!!!Simba alicheza shirikisho sio Klabu Bingwa huwa mnajichanganya sana...
Quality inachangia sawa but hata mentality na experience unaeza kua na quality ukabutuliwa. Vbaya sanaa aminSasa kama wewe ulifika robo kwa timu yako iyo ya kuungaunga itakuwaje yanga ishindwe inayokuzidi ubora kila eneo!! Ebu leta sababu za msingi hapa zitakazofanya yanga ishindwe kufika alafu wewe na timu yako iyo ya trip shamba trip gereji ndo ifike ebu tueleze
Al hilal nd ya kocha ibenge!??Kwa akili yako st George , wataitoa Al hilal kweli??
Naungana na wewe hili la mchecheto, ingawa mimi si Kolo.Usichokujua simba ashatengeneza profile Afrika, so timu nyingi zinapokutana nao huwa na mchecheto, Kwa hiyo usitegemee yanga kufanya hayo, kama huamini subiri atachokutana nacho mbele hapo!