Otorong'ong'o
JF-Expert Member
- Aug 17, 2011
- 37,957
- 26,414
Mungu wangu kumbe ndo palikuwa hivi...?
Hebu tupieni na picha ya sasa tuone..
Hebu tupieni na picha ya sasa tuone..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mie kanikera mpaka basi, alikuwa best yangu inabidi nikale tu pilau la ijumaa msibani, hivi unakumbuka kile kipub kilikuwa juu ya hilo kanisa? sijui kalikuwa kanaitwaje vile, kilivuma saaanaaa.
Wote mliochangia hoja hii mnakaribishwa kanisani St James j,pili ijayo
haule anayefanya kazi ofisi ya engineer wa manispaa au?Sawa kaka kama ni kweli! Lakini ngoja nikamtafute jamaa yangu mmoja anaitwa Haule anipe hii tafsiri!
hivi hiyo nursery bado ipo?...wa kunyumba unamjua dida? alikuwa baunsa wa crystal, khaa naambiwa kajinyonga mie kushoka kabisa, yaani jamaa amenikera japo kashakuwa marehemu,
Yaani ww ulikuwa kiddo na unajua pub? Kha! Hufai kabisaa.
Kwao wapi huyo baunsa? Nije tukale pilau la maana, lol
Wee! Didaa aka didasheee! Kafariki lini? He was my classmate Meru Primary aisee cjackia hebu toa info kidogo aisee
Ile kwaya wanaimba beatrice muhone na mumewe ipo? Nimetafuta cd yao ina wimbo wa usinipite mwokozi hadi nimechina.
mie kanikera mpaka basi, alikuwa best yangu inabidi nikale tu pilau la ijumaa msibani, hivi unakumbuka kile kipub kilikuwa juu ya hilo kanisa? sijui kalikuwa kanaitwaje vile, kilivuma saaanaaa.
leo leo, na wameshampeleka kwenye nyumba yake ya milele, nafunga mdomo kilichomfanya afanye alichofanya,:shut-mouth:, sema kanikera sana, misiba inanigusaga but huu wa best nilikuwa mkavuuuu, khaa amenikumbusha alykesh sana.
Duh Nyamayao hicho kipub kilikiwa kinaitwa Massawe nakumbuka mkitoka disco mnamalizia starehe kwenye hiyo pub.Massawe ni marehemu kale kaugonjwa ka kisasa kalimchukua yapata miaka zaidi ya kumi iliyopita.
ningeshangaa kukukosa kwenye hii thread, Ngongo mbona jina kama sio vile, wewe unamzungumzia mmiliki nadhani, sasa kulikuwa kuna kajina kanaitwa jamani,
Wote mliochangia hoja hii mnakaribishwa kanisani St James j,pili ijayo
Wote mliochangia hoja hii mnakaribishwa kanisani St James j,pili ijayo
mie kanikera mpaka basi, alikuwa best yangu inabidi nikale tu pilau la ijumaa msibani, hivi unakumbuka kile kipub kilikuwa juu ya hilo kanisa? sijui kalikuwa kanaitwaje vile, kilivuma saaanaaa.
Wee! Didaa aka didasheee! Kafariki lini? He was my classmate Meru Primary aisee cjackia hebu toa info kidogo aisee