St. Joseph University inaharibu ubora wa kozi

St. Joseph University inaharibu ubora wa kozi

tatizo ndio hilihili la kukariri, hii nchi haina viwanda na field nyingi za uhandisi ni service jobs(HUDUMA NA SI UHANDISI), hatuna professional engineering projects nchi hii ambapo ma-engineer wanaweza kwenda kupractise profesional yao zaidi ya kufanya service jobs(kutoa huduma). mathalani, katika nchi yenye ma-engineer wa electronics huku haina hata kiwanda kimoja cha electronics toka UHURU unategemea hao maprofesa waliwahi kufanya wapi field work za u-engineer wa mambo ya electronics kama akili zako ziko timamu?

hao ma-engineer wote wanaajiriwa kufanya control za mitambo ya electronic iliyokwisha tengenezwa tayari na hata ukiharibika ndo majanga yanaanzia hapo. wataalamu wetu wanafanya kazi ya HUDUMA/SERVICE(mfano mambo ya switch) just triggering something huku ukijiita ni engineer(hakuna tofauti na mtoto anaetumia remote kucontrol TV yake ama game)

ma-engineer pekee ambao naweza kusema wana unafuu na hata ma-profesa wao kwenye kupractise kazi halisi za uinjinia ni mainjia wa civil.

NISIONDOKE BILA KUTOA MFANO.

MAKAMU WA RAIS WA TANZANIA NI MTAALAM WA NYUKILIA NA ALIKUWA LECTURER PALE UDSM AKIFUNDISHA HESABU KAMA SIKOSEI.

JE UNAWEZA KUNIAMBIA GALIB BILALI ALIWAHI KUFANYA KAZI KATIKA KIWANDA KIPI CHA NYUKILIA HAPA TANZANIA? MAANA HIYO NDIO PROFESION YAKE ALIYOTAKIWA KUIPRACTISE

huo ni mfano mmoja kukuonyesha kuwa pamoja na kujiita wewe una high thinking capacity but you don't know all these mpaka unauliza uambiwe.

Na wapo lundo hawajawahi kabisa kufanyia kazi profesion zao kama jamaa alivyokwambia

tatizo lako moja kubwa ambalo unalo...ni kwamba husomi mtirirko wa mada unavoenda..huyo mtu nilikua namjibu anitajie lectrure wa ud wa civil eng hata mmoja ambaye hajawahi kupractise fani..yake,,lakin kwa kukurupuka kwako umetoa mifano ya electronics...kuhusu electronics siwez kukujibu kwa sababu sipo huko...
 
umeandika maelezo mengi sana,,ambayo kifupi una hoja nyepesi.....umeandika maneno mengi ili uonekane kwamba umeongea kitu lakin hamna ulichokiandika..
1.wew unakubaliana na mtu aliyepata F ya physics aende kusoma civil engineering mana ndio hoja ilyopo mezani hapa..tukiendelea kwa mfumo huu tutakuja hata siku moja kudahili mwanafunzi wa MD ana F ya biology..
2.mtihani ndio kipimo kinachotumika kupima uelewa wa mtu kwa kipindi hiki..kama unaona hakifai tupe kipimo chako wew..

ushauri wa kwanza kwako.

kama wewe kweli unaelewa na una uwezo mkubwa wa kufikiri kisa hukusoma st.joseph ama husomi st.joseph naomba uwe unajibu hoja zangu zote kwa kuonyesha wepesi wake na si kuishia kuziita hoja nyepesi huku huna majibu yake.

mimi huwa sikimbii mijadala na sijawahi kukimbia toka nizaliwe na humu wewe pengine ni mgeni hunielewi.

nitakuwa hapa kujibu hoja zote kama nilivyokujibu hoja zote kwa kina.

kama utashindwa kujibu hoja zote basi hakuna haja ya kujadili na wewe maana utakuwa umeonyesha uwezo mdogo sana na utakuwa umekosa hadhi ya kujadili na mimi.

1.wew unakubaliana na mtu aliyepata F ya physics aende kusoma civil engineering mana ndio hoja ilyopo mezani hapa..tukiendelea kwa mfumo huu tutakuja hata siku moja kudahili mwanafunzi wa MD ana F ya biology..

hii sio hoja ya st.joseph wala haihusiani na St.Joseph.
kama haujui taratibu zinasemaje ni bora ukauliza ukaelezwa.

kwa utaratibu uliopo. kuna aina mbili za kuruhusiwa kusoma kozi.
1.DIRECT ENTRY

moja.

-total minimum points ni 2.5 kwa vyuo vyote vya engineering ikiwemo COET YA UDSM ,ARIDH na COET za UDOM NA ST.JOSEPH.
-two principal pass. A LEVEL
-Three credit pass O LEVEL

HUU SI UTARATIBU WA ST.JOSEPH BALI NI UNIVERSAL SYSTEM(UTARATIBU UNAOKUBALIKA DUNIA NZIMA)

labda unisaidie wewe mwenzangu kabla sijatoa jibu langu, JE MWENYE F E E(P C M) NA S ya GS. hapa anakuwa hajakidhi kipengele kipi katika mashariti haya kama ana credit za O level? ukiambia kipengele ambacho hajakidhi ndio nijibu

mbili.

taratibu tatu zinabaki hivyohivyo kama hapo juu ila inaongezeka moja kuwa lazima awe ana ufaulu katika somo fulani kati ya hayo.

hapa mwanafunzi akitimiza mashariti yote iwe moja ama mbili kutegemeana basi anachaguliwa moja kwa moja

2.INDIRECT ENTRY

kwa utaratibu huu wa hapo juu ikitokea mashariti hayakufikiwa yote basi hataruhisiwa kusoma huo uhandisi na ndipo sasa hao st.joseph wanaenda kui-prement utaratibu mwingine ambao nao unakubalika wa kutoa mafunzo katika masomo husika na kutoa mtihani kupima kama atafaulu na kama akifaulu ndio anaruhusiwa kusoma.

KWA HIYO TARATIBU ZOTE ZINAKUWA ZIMEFATWA NA WAMEJIRIDHISHA KUWA ATAWEZA KUSOMA.

na kwa taarifa yako hata PCM anaweza kusoma MEDICINE , sasa kama akisoma unataka kuniambia biology ya advance atakuwa na ngapi kama siyo sawa na F maana hakusoma kabisa?



2.mtihani ndio kipimo kinachotumika kupima uelewa wa mtu kwa kipindi hiki..kama unaona hakifai tupe kipimo chako wew..

natambua lakini kipimo hiki kimewekewa terms and conditions.

kuna direct and indirect entry,
pia kuna matokeo ya O level.

HUWEZI KUNISHAWISHI KUWA MTU ALIYEFAULU SOMO HILO HILO O LEVEL NA AKAFELI FORM SIX ETI HANA KABISA UWEZO NA HILO SOMO NA HIVYO HAWEZI KUSOMA DEGREE YA SOMO HILO.

TERMS AND CONDITIONS APPLY ,WAZUNGU WANASEMA.

ndio maana nchi kama kenya haitumii kabisa matokeo ya Advance maana hawana advance.

O LEVEL DIRECT TO UNIVERSITY.

ina maana hapa wakenya Adance ni sawa na kusema wote huwa wana F F F. na kama umesoma kenya ama vitabu vyao.

O LEVEL SYLLABUS YAO NI SAWA NA YA KWETU O LEVEL NA KAMA KUNA TOFAUTI BASI NI NDOGO SANA AND ALMOST NEGLIGIBLE .

lakini wanasoma hizo degree za engineering kwa matokeo ya o level,wanasoma medicine kwa matokeo ya o level, kwa nini isiwezekane kwa matokeo ya o level ya tanzania?

changanya akili hapa maana nakushangaa kujiona unafikiri kwelikweli lakini badoooooooooooooooooooooo mambo mengi hujui na huwezi kuyajengea hoja.


NA HAO HAO WATANZANIA TUNAZIDIWA NA KENYA KWENYE UMAHIRI WA WASOMI WETU HATA KATIKA NYANJA YA AFYA JAMAA SIJAWAHI KUSIKIA ETI WANAKUJA TANZANIA KUTAFUTA VIPIMO ILA SISI NDIO HUWAFATA WAO WATUSAIDIE NA KENYA WANASOMA MAMBO YA UDAKITARI MUHIMBILI HII YA KWETU KWA MATOKEO YAO YA O LEVEL. WHY NOT TANZANIANS?
 
St.joseph ni offspring ya vyuo mbuzi nchini kama teku,kampala,sua etc.... in shortly vijana wanaosoma huko hawajitambui wao na future zao.

Hapo kwenye 'in shortly' ulimaanisha nini? Au na ww umesoma 'chuo mbuzi'?
 
tatizo lako moja kubwa ambalo unalo...ni kwamba husomi mtirirko wa mada unavoenda..huyo mtu nilikua namjibu anitajie lectrure wa ud wa civil eng hata mmoja ambaye hajawahi kupractise fani..yake,,lakin kwa kukurupuka kwako umetoa mifano ya electronics...kuhusu electronics siwez kukujibu kwa sababu sipo huko...
mwenye tatizo ni wewe kujitia unajua huku huelewi na jeuri yako ya kudharau vyuo.

ngoja nikuwekee mtiririko wote alafu uone ujinga wako.

hii hapa chini ndio mada.

unakuta mtu ana F E E ,ktk PCM anaenda kusomea CIVIL au ELECTRICAL ENG. ,hebu waige mfano UDSM mwaka huu walihitaji wanafunz wengi tu pale CoET lakin kwakua wanafunzi wengi hawakukizi vigezo hawakuforce ilimradi tu, CHEMICAL AND PROCESSING ENG ilihitaji wanafunzi 60, lakin wamechukua wanafunzi 37, kwan wengi hawakufaulu hasa PHYSICS, pia ktk hata fani nyingine .

hii mada ukiisoma na kuielewa inaongela faculty za engineering ila mtoa mada katoa mifano kwa kozi chache ila lengo lake ni kozi zote.

kwa kifupi hii si mada ya civil engineering pekee

mwisho wa siku tukutane kazini!

haya ndio majibu ya mtu alyejibu mada. na majibu haya hayakulenga kabisa CIVIL ENGINEERING.

mkuu huku ni kujidanganya civil engineering is all about designing.ukiondoa unachofundishwa darasani lazima ufanye engineering judgement na engineering judgement lazima uwe na high thinking cappacity..sasa huyo mtu aliyepata f au E form six na anaufulu hafifu form four unafikri anaweza akawa na high thinking cappacity kulinganisha na aliyefaulu vzuri.huyu mtu mwenye ufaulu hafifu hata kama atafundishwa vizuri chuo atakosa ile thinking na engineering judgement ambayo inatokana na kuwa na kichwa kizuri

haya ndio majibu yako kwa mtu aliyejibu kuwa mwisho wa siku tukutane kazini.

ukiyaangalia majibu yako ukajielekeza kwenye CIVIL ENGINEERING. hapa ndio ujinga wako unaanzia. wewe ndio hukusoma mtiririko wa mada. ukaibadili iwe ya civil engineering pekee alafu unatuambia tusome mtiririko wa mada

sisi tunatoa mfano wowote ili mradi uwe ni wa uinjinia lakini mfano huo hauwezi kubalili mada wala majibu ya mtu.

WEWE NDIO HUKUELEWA ULICHOPASWA KUFANYA NA UNAJITIA AKILI KUMBE NI BICHWA MAJI KWENYE KUJENGA HOJA.


Ndio maana hata hao walimu wa udsm utakuta ana masters au phd ya engineering lakin hajawahi ata kufanya kaz ktk prfesional yake na anakwambia anauzoefu wa kufundisha, elimu ya chuo kikuu na kuweza kutumia maarifa na ujuzi katika kuzalisha na sio kupata A ya physics tubadilike st joseph iwe mfano wa kuigwa,tunafanya interview na hao udsm graduates wanashindwa vtu vdogo mpaka unawaonea huruma



huyu mtu akaja akajibu kujibu mada kuu.

haya majibu yake hayakuhusu civil engineering. yalihusu fani za uinjinia kwa ujumla wake na hao walimu ama wakufunzi hakuwataja kuwa ni wa civil engineering.

sasa wewe unapata wapi hoja kuwa the discusion is/was all about civil engineering?

nachojua mimi wewe ulitoa majibu katika sehemu uliyo na uelewa nayo lakini huwezi kuzuia wachangiaji kukupa mifano inayojulikana na haina ubishi kwenye hoja kuu iliyokuwa inahusu walimu ama ma-lecturer kutofanyia kazi fani zao.

majibu yangu yalitoa mfano wa Galib bilali kama mtaalam wa nyukilia na alikuwa anafundisha pale lakini hakuwahi kuifanya kazi kwenye kiwanda chochote faani yake.

na niko sahihi na nilikuwa sahihi kwa kuwa hoja ya ma-lecturer iliwalenga wote na hakusema kuwa ni wa civil pekee ila kwa ujinga wako unataka iwe ni civil pekee



taja mwalimu mmoja ambaye hajawahi kupractise proffessional yake wa udsm

haya ndio yalikuwa majibu yako kwa hoja ya jamaa pale juu.

mimi nimekupa huo mfano badala yake.

hapa hukutaja kabisa CIVIL ENGINEERING NA MTIRIRIKO WA SWALI LAKO ULIHUSU MTU ALIYECHANGIA KWENYE MADA KUU/TOPIC ON TOP KWA KUSEMA MA-LECTURER HAWA-PRACTISE FANI ZAO , UKIANGALIA KWA MAKINI HUYU MTU HAKUKUJIBU WEWE ILA ALIMJIBU MTOA MADA NA WEWE UKAAMUA KUMJIBU NA KATIKA SWALI LAKO NA HATA MAELEZO YA JAMAA HAKUNA SEHEMU YOYOTE INAONYESHA MLIKUWA MNAJADILI CIVIL ENGINEER. maelezo ya civil engineer uliyaingiza ulipokuwa unamjibu mtu aliyesema MWISHO MKUTANE KAZINI AMBAYE NI MWINGINE KABISA NA HAKUKUJIBU TENA ULIPOMJIBU NA MAMBO YA CIVIL ENGINEER SIJUI ANAHITAJI THINKING KUBWA.

HAPA UMEONYESHA KIWANGO CHA HALI YA JUU CHA UJINGA NA KAMA UNABISHA NIONYESHE HUO MTIRIRIKO UKO WAPI WA MAMBO YA CIVIL ENGINEERING.

dogo be smart as there are more smart guys who never touched UDSM as you prove low thinking capacity.

natamani ungekutana na mimi ndio ungejua how smart i am japo nimesoma katika chuo kisicho na jina.

dogo acha dharau UBONGO TUMEZALIWA NAO NA HAUPATIKANI MLIMANI COET.


hawa ndio wanafunzi mnajiita mna high thinking capacity.

kwa taarifa yako i have several times seen udsm students underperforming in different areas. lakini siwezi kulaumu chuo bali ndio uwezo wao.
 
St.joseph ni offspring ya vyuo mbuzi nchini kama teku,kampala,sua etc.... in shortly vijana wanaosoma huko hawajitambui wao na future zao.

Wewe ndo hamnazo kabisa,inawezekana wewe pia ni mbuzi kwa kutokuelewa.Mtu tayar principal 2 ambapo ni kigezo tayari, labda kama kaharib phys. Bado tunalia na wanafunz kukosa nafasi sababu ya uhaba wa vyuo we unatuletea drama zako hapa,Bila shaka we product ya enzi za kina Mungae.Lia na wivu wako at end of the day mnakula ofisi moja.
 
mkuu huku ni kujidanganya civil engineering is all about designing.ukiondoa unachofundishwa darasani lazima ufanye engineering judgement na engineering judgement lazima uwe na high thinking cappacity..sasa huyo mtu aliyepata f au E form six na anaufulu hafifu form four unafikri anaweza akawa na high thinking cappacity kulinganisha na aliyefaulu vzuri.huyu mtu mwenye ufaulu hafifu hata kama atafundishwa vizuri chuo atakosa ile thinking na engineering judgement ambayo inatokana na kuwa na kichwa kizuri

Sina hakika kama mtu mwenye ufaulu mkubwa ndio anakuwa na high thinking capacity. Unauhakika kila anaefaulu alisoma kwa bidii au ni anaejiweza kielimu? Au mtu aliyefeli ni kilaza?
Jipange.
 
kumekuwepo na wimbi kubwa la watu na hata mada zikibeza na kutilia shaka uwezo na ubora wa vyuo vya binafisi kiasi cha wengine kuviita majina ya ajabu ajabu.

kwa mkutadha huo nimeona bora niwaeleweshe wote wanaojigamba kwa majina ya vyuo vyao na si ubora wao kuwa elimu waliyoipata bado haijawasaidia na hawajakombolewa na kuwajengewa uwezo wa kufikiria,kung'amua na kutambua ukweli halisi ulivyo na nitawashauri warudi darasani wakasome upya ili wapate uwezo wa kuona mambo kwa usahihi wake.

BACK TO TOPIC.
napenda kuweka wazi ukweli huu na watu waniambie kama ni sahihi kwa wanavyofikiria.

1.mfumo wa elimu ya tanzania kuanzia form one mpaka form six unazipendelea shule za serikali kwa kuzipa nafasi ya kuchagua wanafunzi waliofaulu tu na makapi wanaachiwa ndugu zangu wa private.


-shule za serikali form one zinachukua wanafunzi walio na ufaulu wa juu na kwa kiasi kikubwa wanafunzi wanaokosa kuchaguliwa kwa sababu ya marks zao kuwa za chini wanaenda kujaribu bahati yao private.

-matokeo ya form two necta yakitoka shule za private pamoja na kwamba ziliachiwa wanafunzi wengi wenye marks za kawaida zinaibuka kidedea dhidi ya shule za serikali ambazo zilichagua wanafunzi wazuri tu

-matokeo ya kidato cha nne yakitoka shule za private zinafanya vizuri tena kuliko za serikali pamoja na kwamba shule za serikali zilichagua wanafunzi wazuri tu.


MAELEZO HAYA YANATOA FUNDISHO KUWA ELIMU YA SERIKALI SI BORA KULIKO YA PRIVATE NA SERIKALI KAZI YAO NI KUHARIBU FUTURE ZA WATOTO ALAFU WANAWAACHA ILI TENA WAOKOLEWE NA PRIVATE SCHOOLS KIDATO CHA TANO NA SITA BAADA YA KUACHWA.

mimi mwenyewe ni mwathirika maana darasa zima tulikula za uso kwenda form one hakuna hata mmoja aliyepenya,ndipo wanafunzi watano tukaokolewa na private ya huko home na kati ya hao ni mmoja tu ndio alishia form four ila wengine walichanja mbuga mpaka vyuoni.


SABABU ZA UBOVU WA ELIMU SERIKALINI ZINAJULIKANA NA SITAZITAJA ILA ITOSHE TU KUSEMA KUWA SABABU NYINGI ZINAZOATHIRI ELIMU SEKONANDARI HATA KWENYE VYUO VIKUU VYA SERIKALI SABABU HIZO ZIPO NA ZINAFANYA KAZI YA KUPUNGUZA UFAULU WA WANAFUNZI HUKO ALAFU WENYE KUKOSA MAARIFA YA KUFIKIRI WANASEMA WAKIPATA GPA NDOGO NDO ELIMU ILIKUWA NZURI KUMBE WAMEATHIRIKA NA MAZINGIRA MABOVU ZIKIWEMO TARATIBU.

-wanafunzi wanaofeli form four kwa kupata angalau three ya mwisho na four za mwanzo serikali inawaacha ambao wengi wao ni wa shule za serikali na ndio hao serikali ilituambia ndio waliostahili kusoma ilipowachagua form one,hawa wanafunzi inabidi waende private kutafuta bahati yao huko, wengi wao kati ya hawa huwa wanafaulu tena na kuthibitisha kumbe wanaweza kufaulu ila walifeli kulingana na kusoma serikalini na si ajabu tena hawa serikali ikawataka.


KIFUPI NI KWAMBA PRIVATE SECTORS WAMEONYESHA UWEZO MZURI WA KUWAFUNDISHA WATOTO NA KUFAULU NA HAPA HAKUNA ANAEBISHA KWA SABABU WANAFUNZI WOTE WANASOMA KWA SYLLABUS MOJA NA MITIHANI NI ILE ILE ILA TATIZO LINAKUJA VYUONI AMBAPO WATU HAWANA SAME SYLLABUS NA MITIHANI YAO NI TOFAUTI NA NDIPO UNAANZA KUSIKIA MAJINA YA AJABU AJABU KWA HIVI VYUO KISA WANAFUNZI WAKE WANA GPA KUBWA.

mfano wanafunzi wanalundikwa lecture hall ukute wapo 400,humo wapo hawasikii kabisa najua maana wanafunzi wengi wanakimbilia mbele ili angalau wasikie na wakichelewa wanakaa nyuma na kusikia ndo inakuwa utata,wengine hawaelewi lakini hawawezi kusema hawaelewi na inabidi wakaushe tu nk nk alafu wakipata GPA ndogo wanalalamika wanapoona wale wa vyuo vya vitongoji wamepata GPA kubwa wakati wenzao walifundishwa darasani wanafunzi 40 tu,wasipoelewa wanauliza na wote wanasikia,lecturer akizingua ama haeleweki analipotiwa na kubadilishwa ama kutimulimuliwa.


mbona hamsemi mashule ya private yanavyofanya vizuri kwenye mitihani ya kitaifa ambapo kuna mtihani mmoja?


ama huko hamuoni kama wanapata one na two wengi na hata one kali kali kiasi hata cha tanzania one wengi kutokea huko?

nini tofauti ya mifumo ya shule za private na vyuo vya private katika ufanisi?nini tofauti ya shule za serikali na vyuo vya serikali katika ufanisi?

mbona pia hamuulizi kwa nini shule za serikali pamoja na kujichagulia wanafunzi wazuri lakini bado zinafelisha badala ya kufaulisha?

ingekuwaje kama siku moja shule za private zichague wanafunzi waliofaulu alafu makapi yaende serikalini?watu wangetoka kweli?haki ya nani itakuwa kiama,naamini hata division four zinaweza kukosa kabisa kwenye necta na wanafunzi wote kubaki na zero.


ingekuwaje kama mfumo wa elimu ungetaka kuwa wanafunzi wa shule za binafisi waendelee kuwa wa binafisi mpaka vyuoni?kwa kuwa wanafunzi wa shule za serikali ndio wanaongoza kufeli je mpaka kufikia form six kuingia chuoni serikali ingebaki na asilimia ngapi ya wanafunzi ilioanza nao na je ingeonekanaje kama ubora ungeangaliwa kwa ufaulu tu kama wanavyofanya watu wetu wenye uwezo mdogo wa kufikiri?hizo one nyingi leo sizingekuwa private universities?



2.udahili wa vyuoni na hoja za wanaosema vyuo vya watu binafisi havina ubora.

-kwanza vyuo hivi vinadahili wanafunzi wenye marks za chini sana mpaka hata three za 17 lakini mwisho wanapata GPA kubwa za 4 na kuendelea(si maneno yangu bali ni hoja ya watu hao)

MAJIBU KWA HOJA HII.

kabla hujafikiri chochote kuhusu majibu kwa hili unapaswa kujua pia kwa nini shule za private zinachukua wanafunzi hata waliofeli la saba lakini wanaibuka na one?

unapaswa pia kujua kwa nini shule za private zinachukua wanafunzi wenye three za mwisho na div four kusoma advance alafu wanaibuka na division one na two na hata three kwa combination zote hata za sayansi?


HAPA SITAKI KUPIGIA DEBE SHULE NINAYOIJUA ILA NAJUA KAMA WATU NI WAJASIRI WATAKUJA HAPA KUTOA USHAHIDI KUWA WAO WALIPATA FOUR O LEVEL SHULE ZA SERIKALI ILA WAKAENDA PRIVATE NA KUIBUKA NA ONE AMA TWO YA FORM SIX NECTA NA WALIENDA UDSM AMA UDOM AMA MZUMBE AMA SUA.

UKISHAPATA MAJIBU HAYO NI VYEMA UKAJARIBU KUYAUNGANISHA TENA KWA MATOKEO YA GPA KUBWA ZA VYUO VYA BINAFISI.

JE UMEWAHI KUJIULIZA INGEKUWAJE KAMA VYUONI KUNGEKUWA NA PAPER MOJA KWA VYUO VYOTE?JE PRIVATE WANGEONEKANA MABOYA AMA WANAWEZA?hayo majibu kila mtu anayo yake.

-UBORA WA WANAFUNZI WA CHUONI UNAPATIKANA KWA VIGEZO VIPI HASA?

nimefatilia kwa kiasi kikubwa kwa wenye hoja hizi nikabaini wanaangalia matokeo ya wanafunzi ya kidato cha sita tu huku mengine wakiyaacha kabisa kuyaangalia.

NASEMA KUNA MAKOSA MAKUBWA SANA HAPA NA WATU HAWATAACHA KULALAMIKIA VYUO VYA BINAFISI KWA SABABU YA UFINYU WAO WA KUFIKIRI NA NDIO MAANA NIMESHAURI HAWA WARUDISHWE TENA SHULE UPYA WAKAJENGEWE UWEZO WA KUFIKIRIA.

MAPUNGUFU KATIKA HOJA YA MATOKEO KAMA KIPIMO CHA UBORA WA MWANAFUNZI.
-kwanza matokeo yanayotazamwa na wengi ni ya form six pekee,hawajui kuna wanafunzi wana one na two za form six na wapo udsm ama udom ama mzumbe ama sua ila form four walikuwa na four ama three za kuchechemea na waliokolewa na private, ama hawajui kuna wanafunzi wana three za 17 form six ila wana wana one za single digit O level ila kisa wapo vyu vya kitongoji ni tatizo.

SASA JE TUTUMIE MATOKEO YAPI KUSEMA HUYU MWANAFUNZI NI BORA?TUKITUMIA YA SIX NI MWAKE ATAONEKANA ALIFAULU VIZURI LAKINI TUKITUMIA YA O LEVEL NANI ATASEMA HUYU NI MWANAFUNZI BORA?
swali kwa nini mnatumia hasa matokeo ya kidato cha sita tu na mnasahau kuchukua historia ya matokeo yote mpaka ya form four?

mbona udsm ina watu walikuwa na four O Level ama nacho ni chuo cha kitongoji? NAJUA WATU WATASHANGAA HAPA LAKINI NDIO UKWELI WENYEWE.

KIDOGO NINGEPENDA KUELEZA KWA NINI UDSM INACHUKUA WANAFUNZI WENGI WENYE MATOKEO MAZURI YA FORM SIX.

kwanza udsm ni chaguo na ndoto za wanafunzi wengi kusoma hapo(ila haikuwa mimi) na sababu ni za kihistoria,mpaka leo ndicho chuo kinachojulikana na wengi hasa watu wa zamani ambao ni wazazi wetu kwa hiyo wengi tumejengwa tokea mwanzo kuwa hicho ndio chuo kikuu,ukisema kwingine wazee wanakushangaa sawa na watakavyomshangaa mtu atakaekuja hapa aseme yeye ni engineer wa kemikali mana wao wanajua injia ni yule wa civili engineering tu.

kwa hiyo udsm inapata request nyingi sana na wote tunajua utaratibu wa kuchagua ni kuanza na aliye bora zaidi kushuka chini,japo nao udsm wanaangalia sana matokeo ya six na ndio mana hawajali sana kama o level uligonga four ama three ya mwisho.

na sababu nyingine ni kwamba udsm ina uwezo mdogo wa kuchukua wanafunzi wanaostahili kusoma degree,na ninawahakikishia kuwa hata wanafunzi wenye div three za 17 wapo eligible kusoma udsm kama tu wana C tatu O level na principle mbili Advance ila kutokana na uwezo mdogo wa udsm ku accomodate wanafunzi ndio inawaacha.



-sababu zilizopelekea hawa wanafunzi waliofeli kufeli hazizingatiwi katika kuangalia ubora wa wanafunzi,mtu katoka shule ya serikali haina hata walimu amekomaa mwenyewe akapata three yake ya 17 alafu unasema hana uwezo wa kupata GPA ya 4.5 kumbe anao uwezo kama akifundishwa na kupewa kila kinachostahili. na wanapofika vyuo vya private elimu inaonekana kumbe ni nyepesi maana wanafundishwa vizuri,sasa kwa ni nini wasifaulu na kupata GPA ya 4?

ngoja nitoe mfano mmoja,kuna shule moja kali ya private arusha nilimtembelea rafiki yangu ambaye ni sister(katoliki) na yeye ndo alikuwa mkuu wa shule ile,ilikuwa kipindi cha kuchagua wanafunzi wa kuingia kidato cha kwanza.
kwa kuwa ananiamini sana akaniambia nisahishe mitihani ya kiingereza nikakataa,baadae akaniambia nisahishe ya hesabu nikakataa ila akanilazimisha,ikabidi nikubali,nikasahisha na marks za wanafunzi wote zikawa tayari.

sasa vigezo vya shule ile kuchagua wanafunzi ndio vilinishangaza ila nikajifunza kitu baada ya kuelekezwa.

-kwanza wanaangalia mwanafunzi katoka wapi?na shule ipi?na kukoje huko?hapa wanaweza kumchukua mwanafunzi hata mwenye marks ndogo kabisa ila ameonyesha uwezo fulani baada ya kuangalia alikotoka na kubaini kuwa huyu katoka eneo ambalo elimu iko chini sana na hivyo atakuwa mzuri ila mazingira ndio yanamfanya asijue. ama wanaweza kumuacha mwanafunzi mwenye ufaulu wa wastani aliyetoka shule bora kabisa japo amefikisha marks kwa kuangalia kuwa amepata marks za kawaida sana pamoja na kuwa katika mazingira bora zaidi na shule bora zaidi.

sister akanipa mfano wa mwanafunzi aliyekuwa form three wakati ule 2012 ambaye ndio alikuwa akiongoza darasani,akaniambia yule mwanafunzi alipata marks ndogo sana ila walilazimika kumchukua kwa kuwa waliona katokea ndani kabisa maporini huko arusha kwa wamasai ambako elimu ni kitendawili na walihisi atakuwa mzuri sema tu huko elimu ni mbovu kupindukia,alipoanza form one wakadili nae kumfundisha english kwa ukaribu zaidi na baada ya mwezi wa sita tu akaanza kuongoza mitihani ya shuleni licha ya mwanzo kuanza na namba za mwishomwisho,aliongoza necta ya form two na hata form three bado alikuwa moto.


NADHANI PIA MMEJIFUNZA KITU HAPA JUU YA UBORA WA MWANAFUNZI KUWA UNATEGEMEA MAMBO MENGI SANA NA HATA UFAULU WA MWANAFUNZI UNATEGEMEA MAMBO MENGI SANA IKIWEMO YEYE MWENYEWE NA MAZINGIRA YA SHULE AMA CHUO

MWISHO NINGESHAURI WATU MJIPAMBANUE KWA MAFANIKIO YENU BAADA YA KUMALIZA VYUO KAMA UBORA WA ELUMU YENU NA SI KULAZIMISHA KUPATA SIFA KISA UMESOMA CHUO FULANI AMA KUMUBEZA MWINGINE KISA KASOMA CHUO FULANI.

tunataka akina Stive Jobs hapa,tunataka kina Newton hapa,tunataka kina Eisten hapa,tunataka kina GALILEO GALILEI hapa na wengine wengi,hatutaki majina ya vyuo ama shule. show your quality of education to innovations and is when we shall appriate your quality.

 
Unakuta mtu ana FEE , katika PCM anaenda kusomea civil au electrical. Hebu waige mfano UDSM mwaka huu walihitaji wanafunzi wengi tu pale CoET lakin kwakua wanafunzi wengi hawakukizi vigezo hawakuforce ilimradi tu

CHEMICAL AND PROCESSING ENG ilihitaji wanafunzi 60, lakin wamechukua wanafunzi 37, kwan wengi hawakufaulu hasa PHYSICS, pia ktk hata fani nyingine .

Kuna wengine walianza Advanced level PCM wakiwa na A zote walipomaliza form six wakapata F E E
Na wengine waliimgia A Level wakiwa. credit tatu tu Physics. c,Chemistry C maths D na credit nyingine ilikuwa ni Civics lakini Form Six walitoka na B flat.Kwa hiyo usishangae hilo ila angalia ubora wa mainjinia wanaowatoa.
 
UnapozungumZia CoET pale ndipo ma engineer quality wanatoka huku cjui st joseph,udom ,saut, kiu na kwngineko wanazalisha poor engineers ndo hao kla cku watu wanawalalamikia

SJU imeanza juzijuzi tu na maengineer wao bado hawajawa popular kushika hizo tenda kubwa.Kwa akili ya haraka haraka unafikiri hao wanaolalamikiwa wametoka wapi?
 
FEE ktk Pcm , Unampeleka bsc in CIVIL ENG,ni SJU ndio wanafanya uchafu huu, Kwan faculty nyingine hakuna? Ni kuharibu ubora wa kozi, ndio maana mim huwa nakikubali MUHAS ktk udahil wake, huna cut off point 7, Utaisikia au utafika ukiwa mgonjwa, pia UDSM hata ukikuta Div 3 bas haina F au S, na inategemea na matokeo, mf. Mwaka 2013 E ya Physics ilikuwa LULU, mim mwenyewe nina dv 3 lakin si ya ukilaza kama za SJU ,dde

Kumbe una three bado wewe ni chongo ndani ya vipofu!!!
 
Unakuta mtu ana FEE , katika PCM anaenda kusomea civil au electrical. Hebu waige mfano UDSM mwaka huu walihitaji wanafunzi wengi tu pale CoET lakin kwakua wanafunzi wengi hawakukizi vigezo hawakuforce ilimradi tu

CHEMICAL AND PROCESSING ENG ilihitaji wanafunzi 60, lakin wamechukua wanafunzi 37, kwan wengi hawakufaulu hasa PHYSICS, pia ktk hata fani nyingine .

kimatifa ili usome digrii unatakiwa uwe na Principal mbili ,minimum sasa unalalamika nini?, wewe soma Udsm yeye asome huko. Then Mukutane kazini ndiyo utajua chuo gani kinaharibu ubora wa Elimu.
 
Mbona DIT tena wamesoma physics ya o-level lakini wanawatoa nockout ugumu wa elimu sio sifa ya ubora ndicho kinachotuponza Watanzania mtu akisoma masomo magumu akafaulu basi anajiona kichwa balaaa.

Ukimuambia ahamishe alichonacho kichwani kwenye uhalisia anabaki kushangaa tu.well ST.Joseph hawawafikii COET ila wanawashinda kimoja their graduate a well conteted practically and very discpline.

Dunia nzima msingi wa mafanikio ni Discpline.ila nakuhakikishia some 5yrs to come wale wahindi watatisha.Niliskia makelele wamegundua gari la umeme Ud vipi jamani Coet mnatuangusha

Naomba nikusahihishe kidogo: Huwezi kugundua gari. Utakuwa umechanganya "invention" na "discovery". They may have invented but not discovered an electric car.
 
kumekuwepo na wimbi kubwa la watu na hata mada zikibeza na kutilia shaka uwezo na ubora wa vyuo vya binafisi kiasi cha wengine kuviita majina ya ajabu ajabu.

kwa mkutadha huo nimeona bora niwaeleweshe wote wanaojigamba kwa majina ya vyuo vyao na si ubora wao kuwa elimu waliyoipata bado haijawasaidia na hawajakombolewa na kuwajengewa uwezo wa kufikiria,kung'amua na kutambua ukweli halisi ulivyo na nitawashauri warudi darasani wakasome upya ili wapate uwezo wa kuona mambo kwa usahihi wake.

BACK TO TOPIC.
napenda kuweka wazi ukweli huu na watu waniambie kama ni sahihi kwa wanavyofikiria.

1.mfumo wa elimu ya tanzania kuanzia form one mpaka form six unazipendelea shule za serikali kwa kuzipa nafasi ya kuchagua wanafunzi waliofaulu tu na makapi wanaachiwa ndugu zangu wa private.


-shule za serikali form one zinachukua wanafunzi walio na ufaulu wa juu na kwa kiasi kikubwa wanafunzi wanaokosa kuchaguliwa kwa sababu ya marks zao kuwa za chini wanaenda kujaribu bahati yao private.

-matokeo ya form two necta yakitoka shule za private pamoja na kwamba ziliachiwa wanafunzi wengi wenye marks za kawaida zinaibuka kidedea dhidi ya shule za serikali ambazo zilichagua wanafunzi wazuri tu

-matokeo ya kidato cha nne yakitoka shule za private zinafanya vizuri tena kuliko za serikali pamoja na kwamba shule za serikali zilichagua wanafunzi wazuri tu.


MAELEZO HAYA YANATOA FUNDISHO KUWA ELIMU YA SERIKALI SI BORA KULIKO YA PRIVATE NA SERIKALI KAZI YAO NI KUHARIBU FUTURE ZA WATOTO ALAFU WANAWAACHA ILI TENA WAOKOLEWE NA PRIVATE SCHOOLS KIDATO CHA TANO NA SITA BAADA YA KUACHWA.

mimi mwenyewe ni mwathirika maana darasa zima tulikula za uso kwenda form one hakuna hata mmoja aliyepenya,ndipo wanafunzi watano tukaokolewa na private ya huko home na kati ya hao ni mmoja tu ndio alishia form four ila wengine walichanja mbuga mpaka vyuoni.


SABABU ZA UBOVU WA ELIMU SERIKALINI ZINAJULIKANA NA SITAZITAJA ILA ITOSHE TU KUSEMA KUWA SABABU NYINGI ZINAZOATHIRI ELIMU SEKONANDARI HATA KWENYE VYUO VIKUU VYA SERIKALI SABABU HIZO ZIPO NA ZINAFANYA KAZI YA KUPUNGUZA UFAULU WA WANAFUNZI HUKO ALAFU WENYE KUKOSA MAARIFA YA KUFIKIRI WANASEMA WAKIPATA GPA NDOGO NDO ELIMU ILIKUWA NZURI KUMBE WAMEATHIRIKA NA MAZINGIRA MABOVU ZIKIWEMO TARATIBU.

-wanafunzi wanaofeli form four kwa kupata angalau three ya mwisho na four za mwanzo serikali inawaacha ambao wengi wao ni wa shule za serikali na ndio hao serikali ilituambia ndio waliostahili kusoma ilipowachagua form one,hawa wanafunzi inabidi waende private kutafuta bahati yao huko, wengi wao kati ya hawa huwa wanafaulu tena na kuthibitisha kumbe wanaweza kufaulu ila walifeli kulingana na kusoma serikalini na si ajabu tena hawa serikali ikawataka.


KIFUPI NI KWAMBA PRIVATE SECTORS WAMEONYESHA UWEZO MZURI WA KUWAFUNDISHA WATOTO NA KUFAULU NA HAPA HAKUNA ANAEBISHA KWA SABABU WANAFUNZI WOTE WANASOMA KWA SYLLABUS MOJA NA MITIHANI NI ILE ILE ILA TATIZO LINAKUJA VYUONI AMBAPO WATU HAWANA SAME SYLLABUS NA MITIHANI YAO NI TOFAUTI NA NDIPO UNAANZA KUSIKIA MAJINA YA AJABU AJABU KWA HIVI VYUO KISA WANAFUNZI WAKE WANA GPA KUBWA.

mfano wanafunzi wanalundikwa lecture hall ukute wapo 400,humo wapo hawasikii kabisa najua maana wanafunzi wengi wanakimbilia mbele ili angalau wasikie na wakichelewa wanakaa nyuma na kusikia ndo inakuwa utata,wengine hawaelewi lakini hawawezi kusema hawaelewi na inabidi wakaushe tu nk nk alafu wakipata GPA ndogo wanalalamika wanapoona wale wa vyuo vya vitongoji wamepata GPA kubwa wakati wenzao walifundishwa darasani wanafunzi 40 tu,wasipoelewa wanauliza na wote wanasikia,lecturer akizingua ama haeleweki analipotiwa na kubadilishwa ama kutimulimuliwa.


mbona hamsemi mashule ya private yanavyofanya vizuri kwenye mitihani ya kitaifa ambapo kuna mtihani mmoja?


ama huko hamuoni kama wanapata one na two wengi na hata one kali kali kiasi hata cha tanzania one wengi kutokea huko?

nini tofauti ya mifumo ya shule za private na vyuo vya private katika ufanisi?nini tofauti ya shule za serikali na vyuo vya serikali katika ufanisi?

mbona pia hamuulizi kwa nini shule za serikali pamoja na kujichagulia wanafunzi wazuri lakini bado zinafelisha badala ya kufaulisha?

ingekuwaje kama siku moja shule za private zichague wanafunzi waliofaulu alafu makapi yaende serikalini?watu wangetoka kweli?haki ya nani itakuwa kiama,naamini hata division four zinaweza kukosa kabisa kwenye necta na wanafunzi wote kubaki na zero.


ingekuwaje kama mfumo wa elimu ungetaka kuwa wanafunzi wa shule za binafisi waendelee kuwa wa binafisi mpaka vyuoni?kwa kuwa wanafunzi wa shule za serikali ndio wanaongoza kufeli je mpaka kufikia form six kuingia chuoni serikali ingebaki na asilimia ngapi ya wanafunzi ilioanza nao na je ingeonekanaje kama ubora ungeangaliwa kwa ufaulu tu kama wanavyofanya watu wetu wenye uwezo mdogo wa kufikiri?hizo one nyingi leo sizingekuwa private universities?



2.udahili wa vyuoni na hoja za wanaosema vyuo vya watu binafisi havina ubora.

-kwanza vyuo hivi vinadahili wanafunzi wenye marks za chini sana mpaka hata three za 17 lakini mwisho wanapata GPA kubwa za 4 na kuendelea(si maneno yangu bali ni hoja ya watu hao)

MAJIBU KWA HOJA HII.

kabla hujafikiri chochote kuhusu majibu kwa hili unapaswa kujua pia kwa nini shule za private zinachukua wanafunzi hata waliofeli la saba lakini wanaibuka na one?

unapaswa pia kujua kwa nini shule za private zinachukua wanafunzi wenye three za mwisho na div four kusoma advance alafu wanaibuka na division one na two na hata three kwa combination zote hata za sayansi?


HAPA SITAKI KUPIGIA DEBE SHULE NINAYOIJUA ILA NAJUA KAMA WATU NI WAJASIRI WATAKUJA HAPA KUTOA USHAHIDI KUWA WAO WALIPATA FOUR O LEVEL SHULE ZA SERIKALI ILA WAKAENDA PRIVATE NA KUIBUKA NA ONE AMA TWO YA FORM SIX NECTA NA WALIENDA UDSM AMA UDOM AMA MZUMBE AMA SUA.

UKISHAPATA MAJIBU HAYO NI VYEMA UKAJARIBU KUYAUNGANISHA TENA KWA MATOKEO YA GPA KUBWA ZA VYUO VYA BINAFISI.

JE UMEWAHI KUJIULIZA INGEKUWAJE KAMA VYUONI KUNGEKUWA NA PAPER MOJA KWA VYUO VYOTE?JE PRIVATE WANGEONEKANA MABOYA AMA WANAWEZA?hayo majibu kila mtu anayo yake.

-UBORA WA WANAFUNZI WA CHUONI UNAPATIKANA KWA VIGEZO VIPI HASA?

nimefatilia kwa kiasi kikubwa kwa wenye hoja hizi nikabaini wanaangalia matokeo ya wanafunzi ya kidato cha sita tu huku mengine wakiyaacha kabisa kuyaangalia.

NASEMA KUNA MAKOSA MAKUBWA SANA HAPA NA WATU HAWATAACHA KULALAMIKIA VYUO VYA BINAFISI KWA SABABU YA UFINYU WAO WA KUFIKIRI NA NDIO MAANA NIMESHAURI HAWA WARUDISHWE TENA SHULE UPYA WAKAJENGEWE UWEZO WA KUFIKIRIA.

MAPUNGUFU KATIKA HOJA YA MATOKEO KAMA KIPIMO CHA UBORA WA MWANAFUNZI.
-kwanza matokeo yanayotazamwa na wengi ni ya form six pekee,hawajui kuna wanafunzi wana one na two za form six na wapo udsm ama udom ama mzumbe ama sua ila form four walikuwa na four ama three za kuchechemea na waliokolewa na private, ama hawajui kuna wanafunzi wana three za 17 form six ila wana wana one za single digit O level ila kisa wapo vyu vya kitongoji ni tatizo.

SASA JE TUTUMIE MATOKEO YAPI KUSEMA HUYU MWANAFUNZI NI BORA?TUKITUMIA YA SIX NI MWAKE ATAONEKANA ALIFAULU VIZURI LAKINI TUKITUMIA YA O LEVEL NANI ATASEMA HUYU NI MWANAFUNZI BORA?
swali kwa nini mnatumia hasa matokeo ya kidato cha sita tu na mnasahau kuchukua historia ya matokeo yote mpaka ya form four?

mbona udsm ina watu walikuwa na four O Level ama nacho ni chuo cha kitongoji? NAJUA WATU WATASHANGAA HAPA LAKINI NDIO UKWELI WENYEWE.

KIDOGO NINGEPENDA KUELEZA KWA NINI UDSM INACHUKUA WANAFUNZI WENGI WENYE MATOKEO MAZURI YA FORM SIX.

kwanza udsm ni chaguo na ndoto za wanafunzi wengi kusoma hapo(ila haikuwa mimi) na sababu ni za kihistoria,mpaka leo ndicho chuo kinachojulikana na wengi hasa watu wa zamani ambao ni wazazi wetu kwa hiyo wengi tumejengwa tokea mwanzo kuwa hicho ndio chuo kikuu,ukisema kwingine wazee wanakushangaa sawa na watakavyomshangaa mtu atakaekuja hapa aseme yeye ni engineer wa kemikali mana wao wanajua injia ni yule wa civili engineering tu.

kwa hiyo udsm inapata request nyingi sana na wote tunajua utaratibu wa kuchagua ni kuanza na aliye bora zaidi kushuka chini,japo nao udsm wanaangalia sana matokeo ya six na ndio mana hawajali sana kama o level uligonga four ama three ya mwisho.

na sababu nyingine ni kwamba udsm ina uwezo mdogo wa kuchukua wanafunzi wanaostahili kusoma degree,na ninawahakikishia kuwa hata wanafunzi wenye div three za 17 wapo eligible kusoma udsm kama tu wana C tatu O level na principle mbili Advance ila kutokana na uwezo mdogo wa udsm ku accomodate wanafunzi ndio inawaacha.



-sababu zilizopelekea hawa wanafunzi waliofeli kufeli hazizingatiwi katika kuangalia ubora wa wanafunzi,mtu katoka shule ya serikali haina hata walimu amekomaa mwenyewe akapata three yake ya 17 alafu unasema hana uwezo wa kupata GPA ya 4.5 kumbe anao uwezo kama akifundishwa na kupewa kila kinachostahili. na wanapofika vyuo vya private elimu inaonekana kumbe ni nyepesi maana wanafundishwa vizuri,sasa kwa ni nini wasifaulu na kupata GPA ya 4?

ngoja nitoe mfano mmoja,kuna shule moja kali ya private arusha nilimtembelea rafiki yangu ambaye ni sister(katoliki) na yeye ndo alikuwa mkuu wa shule ile,ilikuwa kipindi cha kuchagua wanafunzi wa kuingia kidato cha kwanza.
kwa kuwa ananiamini sana akaniambia nisahishe mitihani ya kiingereza nikakataa,baadae akaniambia nisahishe ya hesabu nikakataa ila akanilazimisha,ikabidi nikubali,nikasahisha na marks za wanafunzi wote zikawa tayari.

sasa vigezo vya shule ile kuchagua wanafunzi ndio vilinishangaza ila nikajifunza kitu baada ya kuelekezwa.

-kwanza wanaangalia mwanafunzi katoka wapi?na shule ipi?na kukoje huko?hapa wanaweza kumchukua mwanafunzi hata mwenye marks ndogo kabisa ila ameonyesha uwezo fulani baada ya kuangalia alikotoka na kubaini kuwa huyu katoka eneo ambalo elimu iko chini sana na hivyo atakuwa mzuri ila mazingira ndio yanamfanya asijue. ama wanaweza kumuacha mwanafunzi mwenye ufaulu wa wastani aliyetoka shule bora kabisa japo amefikisha marks kwa kuangalia kuwa amepata marks za kawaida sana pamoja na kuwa katika mazingira bora zaidi na shule bora zaidi.

sister akanipa mfano wa mwanafunzi aliyekuwa form three wakati ule 2012 ambaye ndio alikuwa akiongoza darasani,akaniambia yule mwanafunzi alipata marks ndogo sana ila walilazimika kumchukua kwa kuwa waliona katokea ndani kabisa maporini huko arusha kwa wamasai ambako elimu ni kitendawili na walihisi atakuwa mzuri sema tu huko elimu ni mbovu kupindukia,alipoanza form one wakadili nae kumfundisha english kwa ukaribu zaidi na baada ya mwezi wa sita tu akaanza kuongoza mitihani ya shuleni licha ya mwanzo kuanza na namba za mwishomwisho,aliongoza necta ya form two na hata form three bado alikuwa moto.


NADHANI PIA MMEJIFUNZA KITU HAPA JUU YA UBORA WA MWANAFUNZI KUWA UNATEGEMEA MAMBO MENGI SANA NA HATA UFAULU WA MWANAFUNZI UNATEGEMEA MAMBO MENGI SANA IKIWEMO YEYE MWENYEWE NA MAZINGIRA YA SHULE AMA CHUO

MWISHO NINGESHAURI WATU MJIPAMBANUE KWA MAFANIKIO YENU BAADA YA KUMALIZA VYUO KAMA UBORA WA ELUMU YENU NA SI KULAZIMISHA KUPATA SIFA KISA UMESOMA CHUO FULANI AMA KUMUBEZA MWINGINE KISA KASOMA CHUO FULANI.

tunataka akina Stive Jobs hapa,tunataka kina Newton hapa,tunataka kina Eisten hapa,tunataka kina GALILEO GALILEI hapa na wengine wengi,hatutaki majina ya vyuo ama shule. show your quality of education to innovations and is when we shall appriate your quality.

asante san kwa heshima. TUPU PAMOJA.
 
Back
Top Bottom