St.Kayumba wote tukutane hapa Wazee wa kidumu na Maji

Mmenimbusha kupiga chabo Yan English jaman Yan nikipewa pepa tu mi najua So.. that,, either... or na neither ... nor.. nimemaliza mtihani hizo ABC sasa mbona zilinikoma nilikuwa nakaa na mtoto mkali alikuwa anaitwa sophia anajua english balaa BAC MI NIKIPIGA JICHO MOJA nashameza abc za swali la 1-7 yan nukigeuka mara mbili tu nishafaulu mtihan RAHA SANA JAMAN CHABO YA PRIMARY TEH TEH[emoji28] [emoji4] [emoji4]
 
Mmenikumbusha nikiwa darasa la tano tulichaguliwa kwenda kusaga mahindi ya shule tukikuwa wavulana na wasichna, baada ya kupeleka mahindi mashine wakati yakisagwa sisi tkaenda mtoni kuogelea bahati mbaya mwalimu wetu wa hesabu akatuona, alochofanya akachukua nguo zetu akaenda nazo shuleni tukarudi na vichupi vyetu sa mwenzetu mmoja visenti sa hizi yupo UK alikuwa hajavaa chupi akarudi kajifunga majani ya mgomba..duu it was so funny ila tulipigwa na kulimishwa shamba la shule mwezi mzima.
 
Soksi za pundamilia zilikuwa maarufu na kibegi chako cha sport. Mimi shule niliyosoma umoja, imezungukwa na kota za jeshi mabibo, sasa usiombee umechelewa alafu umekuta wapo mstarini wanaimba, nyimbo ya taifa, alafu ww unajifanya mjanja unanyata ili usionekane, aiseeeeeeee siku hiyo utaimba aleluya.
 
Darasa la 1 & 2 hiyo, ukimaliza tu ile "Kwaheri Mwalimu kwaheeri, tutaonana keshooo..." hapo mbio huoni mtu, utaona tu mifuko ya Sports ikipepea mgongoni.
 
Hahahaah,kumbe bado yapo haya mambo,duh
yapo bdo yapo.mkuu,, yaan inaboa unakuta umeconcentrate na kusom class anakuja kiongoz kuwatoa mkazbue vyoo,, unatok class umemind utafny nn lkn lazm uend tuu…!!!
 

Heshima yako mkuu79 umehitimu primary si mchezo
 
Darasa la 1 & 2 hiyo, ukimaliza tu ile "Kwaheri Mwalimu kwaheeri, tutaonana keshooo..." hapo mbio huoni mtu, utaona tu mifuko ya Sports ikipepea mgongoni.

Jmn[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
 
Mkuu daake 1979 ndiyo nahitimu darasa la saba IPANDIKILO PRIMARY SCHOOL MWAKA 1985 Huyu mkuu wa nchi tulikutana naye huko kwao alikuwa anachuuza samaki na dagaa na baiskeli yake aina SWALA NA TENGA sasa nashangaa jamaa kaula kama mzaha tu wakati ananizidi miaka miwili
 
Ndo hivyo ten alopewa kapewa
 
Mmmh,,,shikamoo BABA……!!!
 
Tooknt it..
 
Hizo shule ziko maeneo gani. Safi sana mkulu inatakiwa akuite siku moja hapo magogoni angalau mtie story za zamani.
Heshima yako legend.
 
Uwiiiiiiiiiii nimecheka mpka watu wananishangaa [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
da mimi nakumbuka darasa la 2 na la 3... tulikuwa tunaimba table ya kwanza hadi ya 12...
 
Shule niliyosoma ilinifundisha stadi za kazi mapema nikiwa std5, nimebeba sana Matofali na viroba vya mchanga kwa kweli sitasahau imenifundisha kujua maisha mapema sana ingawa imenikomaza mpaka leo sirefuki lakini pesa si haba!
Umedumaa[emoji23] [emoji23]
 
Aisee [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Darasa la 1 & 2 hiyo, ukimaliza tu ile "Kwaheri Mwalimu kwaheeri, tutaonana keshooo..." hapo mbio huoni mtu, utaona tu mifuko ya Sports ikipepea mgongoni.
Tena ukiwa wa asubuhi mkifika mlangoni unawaona wa mchana unawazomea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…