St.Kayumba wote tukutane hapa Wazee wa kidumu na Maji

[emoji15] [emoji15] [emoji15] duuu ingekuwa shuleni siku hiyo ungechezea mbakora asubui mpaka jioniiii
Aiseee kulikuwa kuna ticha anaitwa"chinyama" basi jamaa anaweza kukuchapa asubui mpaka jioni jamaa anachapa balaa
 
Afu mkuu "shikamoo"
78 Mimi mama yangu ndio yko primary
Heshima yako mkuuuuuuuu
 
Nakumbuka gwaride la saa nane mchana linapigwa..... Tunaimba mtukula pole wakati mtukuka yenyewe siijui na wala sijawahifika huko..hii ni wakati wa vita ya IDD Amin Dada..... Nduli.....
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] sa si ungemuuliza ticha wako mkuu
 
ulikuwa na moyo wa kununua fagio hahahaa, sikuwahi kununua fagio
HAHAHA fagio hatununui huko, sisi siku ya kuchuma mifagio na fimbo mnajipanga baada ya kula ugali sangara home mnapitiana wavulana safari porini kwenfa kuchuma mifagio, Maana waalimu walikuwa wameweka na viwango kuna mingine haikubaliki. Nakumbuka kuna siku niliota naende kuchuma ufagio nikasimama na kutaka kufungua mlango, dogo langu huwa ananicheka hadi kesho..
 
You ntuyuuuu hahahaahah
 
Mwenye shilling siku hiyo ndiyo boss atalisha best zake wote
Ila tulikuwa tunapendana sana
Kwa kupendana nakubali a aisee tena ss kwenye UK I pig an a na mmoja ujue utachangiwa
 
bwana weeee ulimkaba mwalim
 
Wazee wa Tukuntu yu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…