lovely love
JF-Expert Member
- Dec 11, 2013
- 337
- 296
HAYA mkuu,,ila enzi zile ilikuwa raha sana kwakweli, ,,Hahahaaa mkuu primary nimeanza 95 hapo ni juzi eehh
tehe...teh.... hiii kitu mpaka leo siijui!Hahaaa dah nimekumbuka form two somo la english kuna kitu kinaitwa tag questions nikikumbuka nacheka san shenti shiiiii?
Kweli mkuu huyu dogo alitokea maeneo ya nkome sengerema, alikuwa jirani[emoji38][emoji38][emoji38]u can't be serious mkuu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ,,, Mungu nae anaona aiseee……'!!!Nakumbuka tulipewa exercise na mwalimu wa english,maswali 10 ya true na false sasa tukawa tunahangaika majibu maana kingereza chenyewe hakipandi basi mi nikakisia kisia nikajaza maswali yote nikampa shost angu agezee tukakusanya daftari sasa kuna mwenzetu akaja kuomba majibu tukampa tofauti na yetu, tulipojaza true tukamwambia jibu ni false na kwenye false tukamwambia jibu ni true.....kituko madaftari yalivorudi mwenzetu akaja kushukuru tumempa majibu na amepata yote,,,,,,tulivopewa madaftari yetu mi na shost tulijuta [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] 0/10
Yupo Kinondoni hii hii, sasa hivi ni afisa elimu. Anaishi Mapinga, juzi kati nilikutana naye kwenye daladala wote tukiwa tunarudi kujipumzisha jioni.Aisee umenikumbusha mbali. Mr chambo popote alipo Mungu ambariki..
Ile ni namba nyingine
Uwiiiiiiiiiii nimecheka mpka watu wananishangaa [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Nakumbuka tulipewa exercise na mwalimu wa english,maswali 10 ya true na false sasa tukawa tunahangaika majibu maana kingereza chenyewe hakipandi basi mi nikakisia kisia nikajaza maswali yote nikampa shost angu agezee tukakusanya daftari sasa kuna mwenzetu akaja kuomba majibu tukampa tofauti na yetu, tulipojaza true tukamwambia jibu ni false na kwenye false tukamwambia jibu ni true.....kituko madaftari yalivorudi mwenzetu akaja kushukuru tumempa majibu na amepata yote,,,,,,tulivopewa madaftari yetu mi na shost tulijuta [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] 0/10
Tuna wazeee humu01.Walimu wa enzi hizo ni walimu
haswa walioshiba namkumbuka mwalimu wa nidhamu CHIEF KASHIKI 1978 leo hii amekuwa mzee sana 02. Ukiwa mtoro unafuatwa mpaka nyumbani kwa nguvu walikuwa wanaitwa LANDROVER 119 03 . Mchakamchaka na nyimbo zenyewe ni hizi
Jembe jembe jembe mama ninapolima nalima mwenyewe ninapovuna walaji wengi nk
walimu wa siku hizi vitoto zamani ni vizee lakini zingua uone utachezea vitasa mpaka ukumbuke viazi nyumbani nakumbuka mengi sana kwa shule hizi nilizosemea KARUMO PRIMARY SCHOOL ILEKANILO PRIMARY SCHOOL nikamishiwa IPANDIKILO PRIMARY SCHOOL 1979 ndiyo nahitimu
Hahahahahahatukuntu yu???
…Acha hiyo ya kushangilia kengele, nakumbuk nlkua darasa la, tano sas muda wa mapumziko km kawaida kengel imegongw tukaanz kuishangilia,, kikapit kitot cha darasa la kwanza nyuma ya darasa letu kikapanda dirishani kikasema "yaani na nyie wakbwa ivo mnashangilia mapumziko?" ckuwai kuifikiria,kaul ya huyo mtot lkn nkiifkiria saiz najion mjinga hatari yan……!!!Halafu kuna Ile Mnasubiria kengele ya kutoka darasan saa8 mnachungulia madirishan TImE kupa apige kengele halaf anakuwa na manjonjo huyo ILE AKIPIGA tu kengele kelele zake huzo Kunasiku Tulichalazwa stik siji sahau kisa kelele zile za saa8
Mkuu hiyo nimezbua advanc mwaka juzi tu hapo, shule moja iko Mwanza……!!Tuliosoma boarding ,vyoo vikiziba,kazi ya kuzibuwa vyooo,sewage system,sitaki hata kukumbuka st kayumba.
Hahahahaah eti ili msishtukiwe kwamba mmeegezanaNakumbuka tulipewa exercise na mwalimu wa english,maswali 10 ya true na false sasa tukawa tunahangaika majibu maana kingereza chenyewe hakipandi basi mi nikakisia kisia nikajaza maswali yote nikampa shost angu agezee tukakusanya daftari sasa kuna mwenzetu akaja kuomba majibu tukampa tofauti na yetu, tulipojaza true tukamwambia jibu ni false na kwenye false tukamwambia jibu ni true.....kituko madaftari yalivorudi mwenzetu akaja kushukuru tumempa majibu na amepata yote,,,,,,tulivopewa madaftari yetu mi na shost tulijuta [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] 0/10
We sio bashite kweli.?Najuta kusoma bush! Mpaka sasa nina degree ila kingereze sijui