lovely love
JF-Expert Member
- Dec 11, 2013
- 337
- 296
Dah mi kuwahi namba kulinitesa Sana aisee kilichokua kinanisave nisichapwe kwa vile nlikua mtoto wa mwalimu lol
Halaf nilikua natembea umbali mrefu kidogo kutoka home mpaka shule bila wasiwasi ,nashangaa sasa hivi eneo fupi tu mpaka nipande gari[emoji16][emoji16][emoji16]
Halaf nilikua natembea umbali mrefu kidogo kutoka home mpaka shule bila wasiwasi ,nashangaa sasa hivi eneo fupi tu mpaka nipande gari[emoji16][emoji16][emoji16]