Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utakatifu wa Nyerere unatoka wapi?
Nyerere anataka kupewa ''Utakatifu''!, ajulikane kama "Saint Nyerere"!?
Jee, utakatifu huu unatokana na nini?
anataka kutokea wapi? source yako ni nini kuwa Marehemu Nyerere anataka kupewa utakatifu? Manake mara ya mwisho kuangalia Nyerere bado yeye ni "hayati" wa kudumu.
anataka kutokea wapi? source yako ni nini kuwa Marehemu Nyerere anataka kupewa utakatifu? Manake mara ya mwisho kuangalia Nyerere bado yeye ni "hayati" wa kudumu.
Utakatifu wa Nyerere unatoka wapi?
Nyerere anataka kupewa ''Utakatifu''!, ajulikane kama "Saint Nyerere"!?
Jee, utakatifu huu unatokana na nini?
Utakatifu wa Nyerere unatoka wapi?
Nyerere anataka kupewa ''Utakatifu''!, ajulikane kama "Saint Nyerere"!?
Jee, utakatifu huu unatokana na nini?
Abdulhalim,
Mbona umepakimbia hapa? Nasubiri majibu yako ya post # 73.
Waulize wenyewe wakatoliki, watakwambia utaka-tifu kaupata vipi!Utakatifu wa Nyerere unatoka wapi?
Nyerere anataka kupewa ''Utakatifu''!, ajulikane kama "Saint Nyerere"!?
Jee, utakatifu huu unatokana na nini?
Dar es Salaam said:Utakatifu wa Nyerere unatoka wapi?
Nyerere anataka kupewa ''Utakatifu''!, ajulikane kama "Saint Nyerere"!?
Jee, utakatifu huu unatokana na nini?
Waulize wenyewe wakatoliki, watakwambia utaka-tifu kaupata vipi!
Damn rightKwenda haja aende mwingine..kutawadha utawadhe wewe, inakujaje?
Utakatifu wa Nyerere unatoka wapi?
Nyerere anataka kupewa ''Utakatifu''!, ajulikane kama "Saint Nyerere"!?
Jee, utakatifu huu unatokana na nini?
Ndo hapo sasa!! Maana hili wala halina uhusiano wowote na yoyote yule kisiasa. Haya ni mambo ya kidini tena ya Katoliki.Wao ndo wanatakiwa kuchanganua uhalali wa nyerere kuwa mwenye heri au laa kadri ya taratibu zao zilivyo. Pilipili usioila haiwezi kukuwasha bwana.Kwenda haja aende mwingine..kutawadha utawadhe wewe, inakujaje?
Ndo hapo sasa!! Maana hili wala halina uhusiano wowote na yoyote yule kisiasa. Haya ni mambo ya kidini tena ya Katoliki.Wao ndo wanatakiwa kuchanganua uhalali wa nyerere kuwa mwenye heri au laa kadri ya taratibu zao zilivyo. Pilipili usioila haiwezi kukuwasha bwana.
Soma post # 111 kwa uelewa zaidi wa nature ya jinsi ninavyotaka kutoa msaada kwako.
Ndugu sijaomba msaada kwako tambua hilo, wewe ulitaka tulete hoja ujibu na siyo kutoa msaada.
Unaruhusiwa pia kusema kuwa supu imekuwa ya pilipili kwahiyo unatimua mbio.
Tafadhali usiweke mlingano wowote kati ya Mtume Muhammad(S.A.W) na Dikteta, katili, mkandamizaji, muuwaji, dhalimu na mwenye roho mbaya na mbovu kama Julius Kambarage Nyerere.Dar es salaam...
Utume wa Muhamad unatoka wapi? Ni hivyo hivyo kwa Nyerere.