Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Huenda ni sinema, bongo movie hawashindwi kituPole zao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huenda ni sinema, bongo movie hawashindwi kituPole zao
Acha hizo wewe mnawaza sadaka tuu??!!ndio maana masanja kanisa lake hawataki sadaka kabisa kutokana na maneno ya masikini jeuri wengiLazima aache kuigiza kwani si unaona masanja na wengine sadaka sio mzaha
Hivyo Amani mfaume huyo ndiyo wewe.???View attachment 2159681
Mungu akuponye Pastor
Mtu mmoja mwema sana hana Makuu nilipata wasaa wakua nae karibu alipo kuja Shop [emoji120]
Hivyo Amani mfaume huyo ndiyo wewe.???
Lazima aache kuigiza kwani si unaona masanja na wengine sadaka sio mzaha
Jesus Christ,peninaaa unaolewa mara ya pili!!!!!!Ni sahihi,hata kipindi anaigiza alikuwa anaonesha hisia sana
Sawa sawa..!!Ndio mimi
Sawa sawa..!!
Sasa nataka nikupige sound nikutupie madini, upo tayari..!?
Kwani humuon masanja bdo anaigiza!?Lazima aache kuigiza kwani si unaona masanja na wengine sadaka sio mzaha
Kua na adabu bas...hii ajali ya kutungwa imekaa kama 'promo' ya kimtindo……...
Alishaacha Mambo ya sanaaHuenda ni sinema, bongo movie hawashindwi kitu
Kuna watu Wana bahati!!!Sawa sawa..!!
Sasa nataka nikupige sound nikutupie madini, upo tayari..!?
Shem I was only joking bhaana..! Haha.!Kuna watu Wana bahati!!!
😀Mmh Shem,I thought you were to be married tuje tule pilau,Shem I was only joking bhaana..! Haha.!
Haha..😀Mmh Shem,I thought you were to be married tuje tule pilau,
Waoaji wapo, Jf ni zaidi ya mtaa ila walio serious wapo cool.Haha..
Shem, kama waoaji wenyewe ndiyo kama hawa wa JF then am doomed..!!
Dhibiti...Dhibitisha. Kwahiyo hapo neno thibitisha badala ya Dhibitisha.Emmanuel Myamba almaarufu Pastor Myamba; ni staa mkongwe wa Bongo Movies ambaye alikuwa muigizaji mwenza katika filamu nyingi za marehemu Steven Kanumba.
Pastor Myamba amedhibitisha kupata ajali mbaya wikiendi iliyopita ila wakapona bila majeraha mabaya. Pastor Myamba ambaye wengi wanamfahamu kwa kuigiza kama mchungaji au mhubiri katika filamu za Kanumba kwa sasa ni mhubiri wa Kanisa la House of Victory nchini Tanzania lenye makao yake makuu Dar es Salaam.
Pastor Myamba kama anavyojiita katika huduma ya Injili, huku akiambatanisha na picha ya gari hilo ameandika: "Tunamshukuru sana Mungu atulindaye na kutupa uzima siku zote, siku ya jana tukiwa tunatoka Mlima wa Maombi kuelekea kwenye ibada, mimi pamoja na familia yangu, tulipata ajali hiyo mbaya...
"Kwa jinsi Mungu alivyomwema sana kwetu, alituokoa sote na mauti na wote tu wazima sana hakuna hata aliyechubuka kwa jereha lolote. Tunamtukuza Mungu sana sana. Ungana nami, kumshukuru Mungu kwa ajili yangu na familia yangu."
View attachment 2159283
View attachment 2159314
Chanzo: Tanzaniaweb