Staa wa Bongo Muvi, Pastor Myamba apata ajali ya gari

Kesho utaambiwa movie mlima wa maombi imetoka.
Pole yao km kweli
 
Huyu jamaa nilikuwa nadhani ni mchungaji kweli.
Kumbe sikukosea.
 
𝐤𝐰𝐚 𝐦𝐚𝐬𝐚𝐧𝐣𝐚 𝐡𝐚𝐤𝐮𝐧𝐚 𝐬𝐚𝐝𝐚𝐤𝐚 𝐤𝐚𝐛𝐢𝐬𝐚
Lazima aache kuigiza kwani si unaona masanja na wengine sadaka sio mzaha
 
Haha..
Shem, kama waoaji wenyewe ndiyo kama hawa wa JF then am doomed..!!
Waoaji wapo, Jf ni zaidi ya mtaa ila walio serious wapo cool.
Nitakufundisha jinsi ya kumjua mtu aliye serious na ambae anakupenda kweli. Wanawake wengi hilo eneo ndio linawapa shida na huishia kuwa na majuto. Bible verses zipo za kila aina kukufundisha Ila wengi hawazijui au hawazielewi ila nitakufundisha na hautakuja kuumia tena au kuwa na mahusiano yasiyo sahihi
 
Dhibiti...Dhibitisha. Kwahiyo hapo neno thibitisha badala ya Dhibitisha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…