Staa wa "Movie" Kutoka India, Sanjay Dutt atua nchini Kufanya Royal Tour kuitangaza Tanzania

Staa wa "Movie" Kutoka India, Sanjay Dutt atua nchini Kufanya Royal Tour kuitangaza Tanzania

Rais Samia amakaribishe Ikulu huyu Ku boost utalii
Itakuwa vizuri sana akikutana na mama, wakafanye India Presidential Tour badala ya Royal Tour, itiwe manjonjo ya Bollywood, Rais Samia aonekane anapanda simba badala ya gari.


Sanjay Dutt alipewa balozi wa Utalii wa Zanzibar zamani kiasi, Tanzania anaipenda sana na imekuwa ni nchi yake ya pili kama asemavyo mwenyewe:

sanjay dutt zanzibar tourism ambassador

Popular actor Sanjay Dutt enjoys a humongous fan following. The actor who is quite active on social media loves to share his day to day updates with fans. Sanjay Dutt is appointed Zanzibar’s Tourism Ambassador and shared the news on social media. Dutt sharing the good news also shared pictures of himself with Hussein Mwinyi, President of Zanzibar.
 
Hivi ile kesi yake ya mwaka 1993 ya kuhusika kwenye ugaidi Bombay(kwa sasa Mumbai) aliachiwa achiwaje na wakati alihusika moja kuhifadhi silaha nyumbani kwake zilizotumika kwenye tukio?! Huyu gaidi isije ikawa ni mhusika mkubwa wa usafirishani wa pembe za ndovu hapa nchini, hivyo vitalu anavyowinda isije ikawa zuga tu
Tusubiri kama atakaribishwa Lumumba st
 
Hivi ile kesi yake ya mwaka 1993 ya kuhusika kwenye ugaidi Bombay(kwa sasa Mumbai) aliachiwa achiwaje na wakati alihusika moja kuhifadhi silaha nyumbani kwake zilizotumika kwenye tukio?! Huyu gaidi isije ikawa ni mhusika mkubwa wa usafirishani wa pembe za ndovu hapa nchini, hivyo vitalu anavyowinda isije ikawa zuga tu
🤣🤣🤣Ohooo🏌️🏊🤺
 
Hivi ile kesi yake ya mwaka 1993 ya kuhusika kwenye ugaidi Bombay(kwa sasa Mumbai) aliachiwa achiwaje na wakati alihusika moja kuhifadhi silaha nyumbani kwake zilizotumika kwenye tukio?! Huyu gaidi isije ikawa ni mhusika mkubwa wa usafirishani wa pembe za ndovu hapa nchini, hivyo vitalu anavyowinda isije ikawa zuga tu
Tanzania kuwinda na kuchukuwa mabaki ya mnyama uliyemuwinda na kumlipia kihalali ni halali na kuna vibali vya kutoka nae akiwa amekaushwa. Hii inahusisha wanyama wote wanaowindwa kwa kulipiwa, ikiwemo na tembo.
 
Tanzania kuwinda na kuchukuwa mabaki ya mnyama uliyemuwinda na kumlipia kihalali ni halali na kuna vibali vya kutoka nae akiwa amekaushwa. Hii inahusisha wanyama wote wanaowindwa kwa kulipiwa, ikiwemo na tembo.
Sidhani kama tembo na faru wapo katika list ya wanyama wanaoruhusiwa kuwindwa katika vitalu vya uwindaji! Fuatilia data vizuri
 
Rais Samia amakaribishe Ikulu huyu Ku boost utalii
Sio akutane na kina Diamond; Mdude na Jyoti na kina Wema Sepetu - Hao ndio industry yake;

Wengine wanapenda kuja huku sababu ni siri na wanapumzika kutoka kwenye heka heka za dunia; sasa kubadilisha vacation ya mtu na kuifanya kama Circus ya watu kuchukua autograph na photoshoot kuna wengine watakuwa hawaji....

Watu wapo tofauti kuna kipindi wanakuja wapate me - time...
 
Hivi ile kesi yake ya mwaka 1993 ya kuhusika kwenye ugaidi Bombay(kwa sasa Mumbai) aliachiwa achiwaje na wakati alihusika moja kuhifadhi silaha nyumbani kwake zilizotumika kwenye tukio?! Huyu gaidi isije ikawa ni mhusika mkubwa wa usafirishani wa pembe za ndovu hapa nchini, hivyo vitalu anavyowinda isije ikawa zuga tu
Kesi ya mchongo.
Ndiyo maana alikuwa anapewa dhamana na kukamatwa zaidi ya mara 3. Mwisho wa siku wakamfunga nadhani miaka 5 kwa kumiliki silaha (Pistol AK-56) kinyume na sheria.
Behind the scenes zilikiwa sababu za kumdhiofisha kisiasa baba yake Sunil Dutt.
 
Sidhani kama tembo na faru wapo katika list ya wanyama wanaoruhusiwa kuwindwa katika vitalu vya uwindaji! Fuatilia data vizuri
Kifaru marufuku, wengine ruksa:

Elephant Hunting in Tanzania: Tanzania allows Elephant hunting only if the client obtains a CITIES import permit from his/her country. Only Elephants with the heaviest tusk weighing 15kg or the longest measuring 1.50m may be shot.

Hunting of Lion, Leopard and Greater Antelopes: Two cats may only be hunted on a 21 day safari and under the following conditions as per Tanzanian Wildlife Regulations:

1X1 Safari: Client may hunt one Lion and one Leopard.
2X1 Safari: Clients must share one Lion and one Leopard.
2X2 Safari: Clients will hunt one Lion and one Leopard each.
3X2 Safari: Clients must share two Lions and two Leopards.
4X2 Safari: Clients must share two Lions and two Leopards.

Please Note: While clients are guaranteed one of each species relevant to the safaris that they have booked, the multiple animals of certain species that are allowed on these safaris are subject to quota availability.
Daily Rate Include:
The service of a Professional Hunter(s) specified in the quotation and the safari crew including cook, mess steward, trackers, gun bearers, skinners, and general assistants.
Transport - one hunting vehicle per Professional Hunter.
All meals, water, sodas and local beers.
Full accommodation, including insect and snake-proof sleeping tents, toilet and shower on suite 12 V and 220 V lighting (Generator). Mess tent and kitchen equipment, utensils, refrigerator and freezer.
Medicine chest.
Skinning and preservation of trophies in the field.

Daily Rate Exclude:
Trophy handling fee, Hunting licenses, Conservation fee (See Trophy Fees).
Transport to and from the hunting area.
Hotel accommodation before and after the safari.
The cost of transporting equipment and personnel to places beyond our concessions for specific purposes as requested.
Gratuities to staff and Professional Hunters.
Taxidermist fees, shipment of trophies and personal items.
Safari Video.
Temporary firearm, import permits.


Pitia tovuti ya TAWA.
 
Hawa wala Choroko iko ongo ongo mingi sana.
Ukiacha yule aliyepiga Maaskari na bunduki zai, akapiga watu wote eneo kama la Kariakoo lakini akaja kukutwa amefia kwenye maua, kuna mwingine alipepesuka na kuanguka baada ya kupulizwa na upepo wa kope kutoka kwenye jicho lilikonyezwa na demu.
Wewe cholo pana jua tu, choroko iko tamu na zuli sana tia kidogo uwatu, pilipili wacha kabisa pia kitu ngine watu Pana jua, korosho iko ogeza sana guvu ya tendo, veve panajua hii.
 
Daah 🤣🤣🤣
Msanii maarufu duniani kwenye eneo la filamu kutoka nchini ambaye ana zaidi ya wafuasi milioni mia mbili katika mitandao yake, Sanjay Dutt leo Septemba 18, 2023 ametua kuanza Royal Tour hapa nchini.

Mara baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere na kupokewa na Mkurugenzi wa Utalii nchini Dkt. Thereza Mugobi na Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Utalii Tanzania (TTB) Damasi Mfugale, bwana Dutt amesema ameamua kuja kutembelea vivutio vya utalii nchini kufuatia Filamu ya The Royal Tour iliyochezwa na Rais Samia Suluhu Hassan kuonyesha hazina ya utajiri wa vivutio vya utalii nchini.

"Naipenda sana Tanzania, naiona niifanye Tanzania kuwa nyumba yangu ya pili sasa baada ya kuitazama filamu ya The Royal Tour" amesisitiza Dutt

Aidha, amesema ameamua kuwa balozi wa kujitolea kuitangaza Tanzania kimataifa kupitia mitandao yake kutokana na mapenzi yake kwa Taifa la Tanzania.

Mkurugenzi wa Utalii nchini Dkt Thereza Mugobi amefafanua kuwa Tanzania imefarijika kupata ugeni wa msanii huyo maarufu duniani kutoka India eneo ambalo lina idadi kubwa ya watu takribani bilioni 1.4 ambao ni soko la kimkakati la Tanzania.

"Ujio wa Dutt ni faraja kwetu kwa vile tunatambua itasaidia kuwa vuta wageni wengi kutoka bara la Asia ambako yeye anawafuasi wengi" ameongeza Dkt. Mugobi

Kwa upande wake Mkurugenzi Mkuu wa TTB, Damasi Mfugale amesema Serikali itaendelea kuwakaribisha watu maarufu duniani ili wasaidie kufikia azma ya kufikisha wageni milioni tano ifikapo 2025 na kuliingizia Taifa dola bilioni Sita za kimarekani.

View attachment 2753774
 
Kesi ya mchongo.
Ndiyo maana alikuwa anapewa dhamana na kukamatwa zaidi ya mara 3. Mwisho wa siku wakamfunga nadhani miaka 5 kwa kumiliki silaha (Pistol AK-56) kinyume na sheria.
Behind the scenes zilikiwa sababu za kumdhiofisha kisiasa baba yake Sunil Dutt.

Hata Career yake iliumia vibaya sana, Wakati anakwenda ndani 1993 alikuwa ndio No 1 Star in Bollywood.
 
Inavyoonekana mama yetu kipenzi chief hangaya anapenda sana movies.Inabidi ajiunge na bendi ya koff Olomide au hadija kopa
 
Back
Top Bottom