Hahahaaah eti walinzi wa amani..!!!La Tanoooooo
Walinzi wetu wa amani walioko Kinshasa waingilie faster. Simba iondoke uwanjani.
Vinginevyo yatafika 15.
Sent using Jamii Forums mobile app
Msalimie ShadeeyaYule jamaa angekuwa makini lingekuwa goli la 6 lile! Daaaah
Sent from my iPhone using JamiiForums
Siku ile wanafungwa na wale waarabu wa Misri refa ndio aliwaua
Shem upo? Naona umeibukia huku...Yule jamaa angekuwa makini lingekuwa goli la 6 lile! Daaaah
Sent from my iPhone using JamiiForums
Eti kwa simba hii ata ije ile barcelona yakina iniesta na xavi au buyern munich watapigwa tu. Aisee yani manara ana tofauti na raisi wa yugosilavia aliyesema akitoka yeye akuna mtu wakuweza kufanya anayoyafanya.
Konkii simbaLeo tunashuka dimbani kucheza mchezo wa pili wa hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya AS Vita Club.
View attachment 999209
Kikosi cha akiba cha Simba
1. Deogratius Munish
2.Paul Bukaba
3.Moahamed Ibrahim
4.Haruna Niyonzima
5. Hassan Dilunga
6. Rashid Juma
7. Shiza Kichuya
Hiki ndio kikosi cha mauaji kitakachoshuka dimbani leo kufanya mauaji
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani hadi Nifah umeibuka? Duh.Yule jamaa angekuwa makini lingekuwa goli la 6 lile! Daaaah
Sent from my iPhone using JamiiForums
Siku ile wanafungwa na wale Aliokuwa waarabu wa Misri refa ndio aliwaua
Yaani hadi Nifah umeibuka? Duh.
Hii mipira ya bongo inachezwa mitandaoni na magazetini. hizo sifa timu zinapewa kabla ya mchezo sijui ndo zinalewesha wachezaji, mi sijui.
Hii ni aibu kwa Taifa
Walicheaza jana wali draw 1 - 1