Stade des Martyrs, Congo: AS Vita Club 5 - 0 Simba SC

Stade des Martyrs, Congo: AS Vita Club 5 - 0 Simba SC

Eti kwa simba hii ata ije ile barcelona yakina iniesta na xavi au buyern munich watapigwa tu. Aisee yani manara ana tofauti na raisi wa yugosilavia aliyesema akitoka yeye akuna mtu wakuweza kufanya anayoyafanya.
 
Leo tunashuka dimbani kucheza mchezo wa pili wa hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya AS Vita Club.

View attachment 999209
Kikosi cha akiba cha Simba
1. Deogratius Munish
2.Paul Bukaba
3.Moahamed Ibrahim
4.Haruna Niyonzima
5. Hassan Dilunga
6. Rashid Juma
7. Shiza Kichuya

Hiki ndio kikosi cha mauaji kitakachoshuka dimbani leo kufanya mauaji

Sent using Jamii Forums mobile app
Konkii simba
 
Nasi wakija hapa bongo lazima tutawafunga tu
 
Back
Top Bottom