Mkuu nmesikia Budget ya AS VITA per year 20 Bil
Sent from Gamboshi air line
Nikisema sijafurahi nitakuwa MUONGO na kubwa la WAZANDIKI!! Sikuwaombea waingie 16 Bora kwa kuwapenda bali kwa kutaka nizipate raha mubashara kama hizi za mtu kula ngoma gwala!Watanzania wameamua kufurahia anguko letu
Namimi natafuta jezi ya stand unitedJamani wakuu natafuta jezi ya As vita sijui zinapatikana wapi anayejua tafadhali nipo tayari kutoa gharama yeyote ile ilimradi niipate
Makwasukwasu fc msijisahaulishe matatizo yenu kupitia simba...nanyie si mmefirimbwaππNikisema sijafurahi nitakuwa MUONGO na kubwa la WAZANDIKI!! Sikuwaombea waingie 16 Bora kwa kuwapenda bali kwa kutaka nizipate raha bushara kama hizi za mtu kula ngoma gwala!
Sema batoto bamecharangwa nusu ya bakumi moja!Bamutu bamepigwa bamukono
Ile bamutu nagongwa nusu ya bakumi moja ndo inayo matatizo lakini sio sisi!Makwasukwasu fc msijisahaulishe matatizo yenu kupitia simba...nanyie si mmefirimbwaππ
Wakali wa record wamepigwa 5g wenzao walipigwa 4g hivyo wamevunja record ya yangaNashauri Simba akienda Egypt kucheza na Al Alhy wiki ijayo Ni Bora kupaki basi kufungwa chache hizi 5 zisijirudie Ni aibu kwa taifa aisee
Sent using Jamii Forums mobile app
Jamani mzee wa watu amekuwa beberu tenaπKwani Mo anasemaje kuhusu kurudishwa Masoud Juma na kutimuliwa huyu beberu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mundende,wakija hapa wanakuja na kasongoDuh haya ni maneno ya Mcongo aliyeonekana akiwa ameshika vumbi la kongo
Sent using Jamii Forums mobile app
Mtaa wa Msimbazi pale utawapata, karibu na hotel ya 5 stars
Wakali wa record wamepigwa 5g wenzao walipigwa 4g hivyo wamevunja record ya yanga
Sent using Jamii Forums mobile app