Utajua mwenyewe, Manake huwa mnasema ninyi ndio wababe hasa Wa mashindano makubwa. Mwisho Wa siku mnaishia kutumia uwakilishi Wa nchi kama nafasi ya kutudhalilisha sisi wengine tusio na hatia. Mmefedhehesha sana kwa kweli
Bikra imetolewa na mpiga debe wa stendi inauma sanaaa.Ni sahihi ila Hizi 5 zimefuta maumivu yote na hayapo tena
Hata wewe una nini?Hata mimi
Msitumie nafasi ya uwakilishi Wa nchi kama kigezo cha kutufedhehesha sisi wana Yanga tusio na hatia. Mtuombe radhi bwana!! Sawa najua kikosi kipana kinapanuliwa ila tundu linazidi kiwango asee
Lakini inauma eeeh??😂😂...sasa mbona mnajikausha kama hakijatokea kitu mnajificha nyuma ya kipigo cha mbwa koko tulichokipata simbaHiyo kawaida Mtani sababu hata msimu uliopita nyie mliitunza wee mwishowe Kagera wakafanya yao.
Hahaaah maumivu ya kutolewa bikiraKiganja[emoji113]
Sisi tumeumia kwa kipigo cha mbwa koko...na nyie kubalini kuwa imeumaaa ili twende sawaHata nyie wenyewe mko tayari maumivu ya Yanga yajifiche nyuma yenu asee, TANO!!!! Aaaah mmetudhalilisha sana
Hakuna kitu kama hicho...bikraaa imetolewa..na bikraaa inavyotolewa huwa inaumaaaMmeyafuta na kuyabeba maumivu yetu
Hakuna yapo...bikraaa inavyotolewa lazima maumivu yaingie sawasawa😂😂😂😂😂😂Ni sahihi ila Hizi 5 zimefuta maumivu yote na hayapo tena
Msitumie nafasi ya uwakilishi Wa nchi kama kigezo cha kutufedhehesha sisi wana Yanga tusio na hatia. Mtuombe radhi bwana!! Sawa najua kikosi kipana kinapanuliwa ila tundu linazidi kiwango asee
Ninyi mlipenda hela za wauza mbao mkakabidhi bikra yenu kiroho safi. Sasa mmeshakuwa madangaji yaliyokubuhu ili mfikishwe kileleni lazima vumbi la Kongo litumike. Sasa mnakwenda uarabuni na kule nasikia KY jelly hutumiwa kisawasawaMmetunza Bikra imekuja kutolewa na wahuni wa stendi inachoma kama pasiiiiii
Sent using Jamii Forums mobile app
Kimoja cha nguruweee kinakutoa povu tuliza mtoriiiiNinyi mlipenda hela za wauza mbao mkakabidhi bikra yenu kiroho safi. Sasa mmeshakuwa madangaji yaliyokubuhu ili mfikishwe kileleni lazima vumbi la Kongo litumike. Sasa mnakwenda uarabuni na kule nasikia KY jelly hutumiwa kisawasawa
Aloo watu mnachekesha kwa kweli. Japo nami Simba, ila kwa komenti hii umenichekesha sana.
Mkono huu wamekupa AS Vita. Kila siku tumia kidole kimoja kwa muda wa siku 5. [emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji23]View attachment 999317
Sent using Jamii Forums mobile app
Awww we jamaa umenichekesha.
Hahahaaha alooo! Watu mna maneno hahahaha
Ukweli mtupu!Simba ni timu nzuri lakini wanacheza mpira ambao sio wa kasi, wanapiga pasi ambazo kwenye mashindano hazina faida, wanapoteza muda mwingi kupiga pasi za hapa na pale badala ya kwenda mbele kutafuta nafasi. Sisi tunarudi nyuma tukipata mpira tunacheza kwa speed.”
Jana kikapanuliwa hasa!Hapana ni ndoto tu ndugu yangu na ukisikia habari zozote zinazofanana na hiyo ndoto yako zipuuze vikali, Simba ina kikosi kipana sana na ni wazoefu Wa mashindano ya kimataifa haiwezi fungwa hivyo. Kwanza mechi yenyewe ni Leo wala haikuchezwa Jana labda ndoto inabashiri tu