Stade des Martyrs, Congo: AS Vita Club 5 - 0 Simba SC

Stade des Martyrs, Congo: AS Vita Club 5 - 0 Simba SC

Msitumie nafasi ya uwakilishi Wa nchi kama kigezo cha kutufedhehesha sisi wana Yanga tusio na hatia. Mtuombe radhi bwana!! Sawa najua kikosi kipana kinapanuliwa ila tundu linazidi kiwango asee
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji3516][emoji3516][emoji115][emoji115]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimeumia sanaa hilo siwezi ficha...but nasikia na nyinyi vijana wa stendi wametoa bikra....kimoja cha mkwezi..mnavunga kama hakijatokea kitu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Aliye pigwa kimoja Chooni na aliye pigwa Vitano sebuleni yupi ana afadhali.

Nenda Nchini Togo sasa hivi ulizia matokea ya KIGANJA FC watakwambia.. kila mtu barani afrika anajua kilichowatokea..[emoji1787][emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aliye pigwa kimoja Chooni na aliye pigwa Vitano sebuleni yupi ana afadhali.

Nenda Nchini Togo sasa hivi ulizia matokea ya KIGANJA FC watakwambia.. kila mtu barani afrika anajua kilichowatokea..[emoji1787][emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
Sisi tumepewa kipigo cha mbwa koko tumeumia hatukatai...vipi na nyinyi si mlikuwa mnatunza bikraaa ipoooo..wametoa 😂😂😂😂😂..mnataka kutumia kipigo chetu tulichopewa kuficha maumivu...tutakumbushana tu...kila mtu apambane na maumivu yake
 
Nyinyi mmeridhika kutolewa Bikira??mmepigwa kimoko cha mkwezi...sisi tumeumia but nanyinyi inaumaaaaaa[emoji23][emoji23][emoji23]
Kubikiriwa ukubwani haina shida sana kwa kuwa ndio utu uzima huo, tatizo wenzetu mlibikiriwa mapema sana na sasa mmekubuhu! mnagawa mpaka 5G khaa!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kubikiriwa ukubwani haina shida sana kwa kuwa ndio utu uzima huo, tatizo wenzetu mlibikiriwa mapema sana na sasa mmekubuhu! mnagawa mpaka 5G khaa!

Sent using Jamii Forums mobile app
Nyie hamjakubuhu kubikiriwa..???
bd9704fb279ee441240f5e695cc72055.jpg
..soma iyooooooooo😂😂😂😂😂😂
 
sim.PNG
.

Kocha wa AS Vita akimfariji Uchebe ,poleni sana Feb 1 tena Misri ,huko mkakaze viuno la sivyo mnaweza mkala wiki
 
Poleni watani ndio mpira lakini tutazidi kuwaombea kheri ktk game yenu ifuatayo ya tarehe 2 dhidi ya waarabu huko misri

Sent using Jamii Forums mobile app
Pole ya nini unawapa hawa! Unakumbuka siku ile walivyowafunga wale waarabu wa Kayenze.....mji ulichafuka, kwenye magroup ya whatsup ilikuwa shida....Jana wamekomeshwa.....Na bado[emoji13][emoji13][emoji13]! Nacheka mimi bila kutoa sauti

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom