Endelea kutupa updates Mkuu,wengine tupo barabaraniSimba wanamiliki mpira 54% kwa 46%. lakin goli za chap chap 2 zinauma sana dk 14 na dk 19 Vita wametupiga mabao. Sasa ni kama dak 30 hivi
Ndo mana siku hizi unakua wa mwisho kureplyWrite your reply...ASANTE SANA AS VITA UA HAO SIMBA WA MABOX... 2-0 AS VITA ANAONGOZA