Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila Simba sio saizi yenu Kimpira wana Yanga2 b honest mie ni Yanga damu ila kwa hiki kipigo kimeniumiza hata mm daaah!
Mtu akufumue marinda na bado akutie na vidude vinne tena vya kuwashawasha!!!
Aibu hii isikieni tu ndugu zanguni!!
Nahisi hata ule uchungu wa STAND UNITED umeyeyuka kabisaaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Hao ndio mikia wenye kikosi kipana kwenye ubora waoHamsa...a.k.a tano
Msimu ujao anakuja SimbaKuna jamaa kiungo wa kati wa as vita aisee yule fundi ana asali miguuni
Chekeni lakini Simba sio type yenuBamutu bamepigwa bamukono
Mshaanza tayari matusi yenuBamutu bamepigwa bamukono
Naona shafidauda aliongea kwel sasa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kama namwona Haji alivyokuwa mwekundu kama nyaya.
Watanzania wameamua kufurahia anguko letuSikukosea siku nilipowaambia washikaji kwamba naombea Simba waingie 16 bora, manina!
Yule mshika kibendera ni mpumbavu kukataa goli la sita kwa hakika ameniuzi kweli.
Sent using Jamii Forums mobile app
Matokeo ya mpira kuna kushinda na kushindwa mimi kama mwana simba wala siwezi kuumia kivile, ni matokeo ya mpira, tugange yajayo
Sent using Jamii Forums mobile app
Kabsa sio kwa 5 hii ni underdog kawa wana simba inabd tukubal tuKwamba! underdog 😂😂😂