Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Je triple C wa manara kucheza? Lakini najua hasira za Simba zitaishia kwa Ahly
Sent using Jamii Forums mobile app
Leo mmeamua kututolea uvivu Watanzania wenzenu! Haya bhana
Thubutu......Nasi wakija hapa bongo lazima tutawafunga tu
Huko misri simba anaenda kupigwa 9 bila na hapo ndiyo utakuwa mwisho wake
Je triple C wa manara kucheza? Lakini najua hasira za Simba zitaishia kwa Ahly
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu yani nimecheka kwa sauti tu3 - 0: first half.
Bila shaka hawa jamaa wanatumia vumbi l kongo, aka MUNDENDE.
kipindi cha kwamza wameshamaliza pakiti moja ya kondom.
Huku magol ya off side wamezima network ivyo miamala kwa refa haikufanyikaVipi kuhusu magoli ya offside huko???
Hakika kwa hii beki tulionayo ni mzigo kwa kweli, tutajipanga mwakani mungu akitujalia
Sent using Jamii Forums mobile app
Siku mbayaa sana kwa Fisi Fc!Kwa kauli hii sasa tunaanza kuelewana...maana kiburi na majivuno mlizidi mno na hasa baadhi ya viongozi wenu na magazeti yenu...kumbe sasa mnafahamu kuwa mpo hapa Tanzania...maana tambo zilizidi mno..mara sijui simba hii ni ya sayari nyingine, mara simba hii hata waje Barcelona au Man United, mara simba hii ni ya anga nyingine, mara simba hii Yanga mtapiwa nyingi, mara Simba wafanya kufuru Kongo wapangua hujuma zote, mara nyie Yanga saizi yenu sijui Stand United na Mbao na siyo Simba...kumbe wenzenu wakongo wanawasoma tu...in fact kwa maoni yangu hakuna timu rahisi kuifunga kama Simba...ina mafowadi watatu ambao ni wakali ambao ni Bocco, Okwi na Kagere...hawa hufunga mabao kwa kulishwa tu wao hawajui kutafuta...Okwi ni mviziaji hukaa peke yake , Kagere yeye ni mipira ya kutanulizziwa na vichwa, na Bocco ni opportunist kwa mipira inayozagaa...sasa wajanja wanakaba vyanzo vya pasi na Simba kwisha...hakuna cha Okwi, Bocco wala Kagere...