Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 49,759
- 118,798
π π πHalf time Vital 3-0 Simba kwako mwalimu Kashasha....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
π π πHalf time Vital 3-0 Simba kwako mwalimu Kashasha....
Hivi alikujibu hapa. Uzalendo mwisho ulikuwa kwa Ntibwa.Taifa gani la matopeni?
Hahahaaa. Msg Sent. ππππAs vita wanatikisa nyavu huku simba wakitikisa mikia
Yaani walimchamba sana Dauda. Namsubiria tu Manara akifika sehemu yenye Internet tuone ataandika kwa lugha gani huko Insta. Maana wakifungwa anapost kwa kingeredha. πππAlivyoambiwa Simba ni andadogi hawakuelewa.
Uuuwiiiiiiiii.Daaah pakti ya kwanza ya kondomu ishamalizika jamaa anajiandaa kuchana pakti nyingine[emoji27] [emoji27] [emoji27]
Hii ndo vumbi la KONGO
π π π lile Droo waliloliwazia waligeuze kapu tu. π π π
Tulibaeleza lkn abakutaka kusikia,matokeo yake bamelokota kunyavu mara hiyo π[emoji28][emoji28][emoji28] lile Droo waliloliwazia waligeuze kapu tu. [emoji28][emoji28][emoji28]
π π π NOOOMA SANAKwani Yanga mbona kama mnataka kujificha kwenye kichaka cha Simba.
Mmefungwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaaaaa. Cheeeeeeeka tu.Jamani nicheke nilieeeeeeee? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Khamsaaaaaaaa
Wapambe wenzangu mko wapiiii?
Sent from my iPhone using JamiiForums
π€£π€£π€£ Hatari sana ile SwahibaTulibaeleza lkn abakutaka kusikia,matokeo yake bamelokota kunyavu mara hiyo π
Bora hukuonaGuyz hivi Dstv zinatofautiana kulingana na location? Mbona kwangu sioni hyo mechi ya simba au nakosea wapi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Nipo ndugu wajua tena Weekend.Yani sijui yuko wapi?
Sent from my iPhone using JamiiForums
πππ ππππ
Nimeshaibuka Mkuu
Nawashangaa wale waliotuzodoa wote siwaoni hapa. πππMpira umekwishaaaaaaa
Last week tulitukanwa sana hapa, tukaambiwa tunajipendekeza hahaaaaa
Leo vipi tena? Wenyeji wenye Simba yenu mko wapiiiiiiiii?
Naona wapambe ndio tumetawala hapa.
Sent from my iPhone using JamiiForums
Mtani hapa Mtusamehe tu.Watanzania wameamua kufurahia anguko letu
Ona sasa π³ Yanga anaingiaje hapo Hahahahaaaaa. Pole sana Swahiba.
Kwani kikosi cha stand united kina gharama ya sh ngapi
Naona makwasukwasu mmejaa kwenye huu uzi mnajisahaulisha kipigo chenu mlichopataππππ
Weka na picha ya kipigo walichopewa makwasukwasu fc
POLE SANA KWA KUTESEKA MTANI. π€£π€£π€£π€£π€£ KWA HIZI POST ZAKO NAJIKUTA TU NAAMINI WACONGO SI WATU WAZURI YAANI WAMEKUVURUGA KABISAStendi united oyeeee