IWAMBI
JF-Expert Member
- Dec 5, 2018
- 730
- 624
Nyingi na tumeumia sana...but na nyinyi mmeumia but mmeamua kuficha maumivu yenu nyuma ya kipigo cha simbaIla goli 5 nyingi sana aiseee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyingi na tumeumia sana...but na nyinyi mmeumia but mmeamua kuficha maumivu yenu nyuma ya kipigo cha simbaIla goli 5 nyingi sana aiseee
Mkuu! Leo kweli tumeumia nimekubali kwa upande wangu.
Pole sana Mtani. Kwa wingi ule wa mabao kuvurugwa lazima.Kweli wamenivuruga sanaa..vipi na wewe kipigo chako cha stendi jana hujavurugwa???
Yaani ingekuwa mmepata hata droo tusingekunywa maji leo.Nyingi na tumeumia sana...but na nyinyi mmeumia but mmeamua kuficha maumivu yenu nyuma ya kipigo cha simba
Nyinyi mmeridhika kutolewa Bikira??mmepigwa kimoko cha mkwezi...sisi tumeumia but nanyinyi inaumaaaaaa😂😂😂Ile bamutu nagongwa nusu ya bakumi moja ndo inayo matatizo lakini sio sisi!
Nimeumia sanaa hilo siwezi ficha...but nasikia na nyinyi vijana wa stendi wametoa bikra....kimoja cha mkwezi..mnavunga kama hakijatokea kitu😂😂😂😂😂Pole sana Mtani. Kwa wingi ule wa mabao kuvurugwa lazima.
Kilinivuruga pia ila baada ya zile 5G basi kidonda kikapoa. 😃😃😃
Goli tano nyingi sana aiseeNyingi na tumeumia sana...but na nyinyi mmeumia but mmeamua kuficha maumivu yenu nyuma ya kipigo cha simba
Sawa sisi tumepewa kipigo cha mbwa koko na inauma kwa kweli..but kuna watu wametolewa bikra huko wanavunga😂😂😂Yaani ingekuwa mmepata hata droo tusingekunywa maji leo.
Nyingi na zinauma...but bikra imetolewa na vijana wa stendi huko nasikiaGoli tano nyingi sana aisee
Hiyo kawaida Mtani sababu hata msimu uliopita nyie mliitunza wee mwishowe Kagera wakafanya yao.Sawa sisi tumepewa kipigo cha mbwa koko na inauma kwa kweli..but kuna watu wametolewa bikra huko wanavunga😂😂😂
Utajua mwenyewe, Manake huwa mnasema ninyi ndio wababe hasa Wa mashindano makubwa. Mwisho Wa siku mnaishia kutumia uwakilishi Wa nchi kama nafasi ya kutudhalilisha sisi wengine tusio na hatia. Mmefedhehesha sana kwa kweliSomeni hapo tusipigazane makelele yasiyo na msingi [emoji847]View attachment 999625View attachment 999626View attachment 999627
Sent using Jamii Forums mobile app
Sijui ni mtoto au ndio ameongea pumba kwa sababu ndio uwezo wake hata sijuiKumiliki mpira kumewasaidiaje kuepua goli 5 mkuu?
Kiganja[emoji113]Nyingi na zinauma...but bikra imetolewa na vijana wa stendi huko nasikia
Hata nyie wenyewe mko tayari maumivu ya Yanga yajifiche nyuma yenu asee, TANO!!!! Aaaah mmetudhalilisha sanaNyingi na tumeumia sana...but na nyinyi mmeumia but mmeamua kuficha maumivu yenu nyuma ya kipigo cha simba
Hata mimiPole sana Mtani. Kwa wingi ule wa mabao kuvurugwa lazima.
Kilinivuruga pia ila baada ya zile 5G basi kidonda kikapoa. [emoji2][emoji2][emoji2]
Mmeyafuta na kuyabeba maumivu yetuNyinyi mmeridhika kutolewa Bikira??mmepigwa kimoko cha mkwezi...sisi tumeumia but nanyinyi inaumaaaaaa[emoji23][emoji23][emoji23]
Ni sahihi ila Hizi 5 zimefuta maumivu yote na hayapo tenaNyingi na zinauma...but bikra imetolewa na vijana wa stendi huko nasikia