Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Kuna siku nilikuwa nachat na Fake P mara tukaona watu 5 ndio tupoMnaangalia picha zangu PM?
Kuna picha fulani nilipewa PM,
Niliifungua mara moja tu, tokea hapa ikawa inagoma.
Na mpaka sasa inasoma 8 views.
Mnavunja faragha sio?
Sema tu au watafuta uzi
Basi itakuwa ni uzee ndio maaana .Paw na Cookie kitambo mno toka nipo 22 floor mpaka leo nipo 35+ floor bado wapo tu
Sasa nikimuwahi shida ipo wapi Fake akee?Tumekusikiliza, anaonekana ni mrembo ook Fine.
Halafu tena, Umemuwahi?
Vipi nikujudge? Chululu yako🥹
Mpaka amekushangaaa mbona huyo ndio Mod bora zaidiNakataaa
Hakuna shida. Fine Senk you madam.Sasa nikimuwahi shida ipo wapi Fake akee?
Endelea kusoma na replies zake kwenye comments zangu,.Mpaka amekushangaaa mbona huyo ndio Mod bora zaidi
Walizingua sanaWaliisha lielezea tukalimeza kama lilivyo.
Sababu Yao ilikua na mashiko 🤣🤣Walizingua sana
Mie mwaka jana niliweka na screenshoot ya ushahidi Mods karibu nane wote walikuwa kwenye Convo moja tena bila kualikwa nikaishia kulimwa Ban
Haaa eti wanaitana...Hawajai kunijiibu kwa wakati nikiwa na changamoto mpaka niwatukane ndio waitane wote waje kujibu pm yangu kwa pamoja
Hawa nataka siku niende kwenye HQ Yao pale kawe tupige supu 😎Sababu Yao ilikua na mashiko 🤣🤣
Id zao zitaendelea kuwepo kila siku, ikitokea ameacha kazi au amekufa atakayekuja atapewa hio idBasi itakuwa ni uzee ndio maaana .
Max awapumzishe hawa watu