Staili ya Makonda katika ziara yake inatakiwa kukemewa

Staili ya Makonda katika ziara yake inatakiwa kukemewa

koryo1952

JF-Expert Member
Joined
Mar 7, 2023
Posts
948
Reaction score
1,627
Nimefanikiwa kuona clip ya mkutano wa Makonda katika Wilaya ya Longido kwenye Shule ya Wasichana wa Mama Samia. Kwanza nimpongeze Mwalimu Mkuu wa Shule hiyo kwa taarifa nzuri na matumizi mazuri ya fedha katika ujenzi wa shule hiyo. Staili ya Makonda katika ziara yake inatakiwa kukemewa. Kwanza, mtalaam anapoeleza mradi au suala linaloulizwa anatakiwa akae kimya mpaka mwisho wa maelezo ya suala husika. Kila mtalaam akiendelea kueleza yeye anaingilia kati kwa maswali yasiyokuwa na tija. Pili, udhalilishaji anoufanya kwa Wataalam unatakiwa kukemewa. Ziara zake nyingi anawadhalilisha watalaam mfano Mkurugenzi wa Manispaa ya Arusha, Meneja wa TARURA Mkoa wa Arusha na yule Dada aliyekuwa anatoa maelezo mazuri na kumueleza kuwa ana mke mzuri kuliko yeye. Hivi ni vitendo vinavyodhalilisha sana. Mpe nafasi mtalaam aeleze mpaka mwisho ndo uanze kumuuliza maswali na siyo kila mara kuingilia kati katika maelezo yake. Anayeteua tunakupa angalizo hili.
 
Nimefanikiwa kuona clip ya mkutano wa Makonda katika Wilaya ya Longido kwenye Shule ya Wasichana wa Mama Samia. Kwanza nimpongeze Mwalimu Mkuu wa Shule hiyo kwa taarifa nzuri na matumizi mazuri ya fedha katika ujenzi wa shule hiyo. Staili ya Makonda katika ziara yake inatakiwa kukemewa. Kwanza, mtalaam anapoeleza mradi au suala linaloulizwa anatakiwa akae kimya mpaka mwisho wa maelezo ya suala husika. Kila mtalaam akiendelea kueleza yeye anaingilia kati kwa maswali yasiyokuwa na tija. Pili, udhalilishaji anoufanya kwa Wataalam unatakiwa kukemewa. Ziara zake nyingi anawadhalilisha watalaam mfano Mkurugenzi wa Manispaa ya Arusha, Meneja wa TARURA Mkoa wa Arusha na yule Dada aliyekuwa anatoa maelezo mazuri na kumueleza kuwa ana mke mzuri kuliko yeye. Hivi ni vitendo vinavyodhalilisha sana. Mpe nafasi mtalaam aeleze mpaka mwisho ndo uanze kumuuliza maswali na siyo kila mara kuingilia kati katika maelezo yake. Anayeteua tunakupa angalizo hili.

Makonda tunaye hadi 2030.

Utaratibu wa kudhiaki,kudharau,kuaibisha,kutukana tumemtuma sisi tuliomteua.Tuendelee kuzoea labda tutafika.
 
Nasema kweli ndg, zangu. MAKONDA HANA ADABU. Wewe chukulia yule dada anaye mumewe palepale (tuseme mimi ni mume wa yule dada mzuri ndo maana nimemuoa). Halafu anakuja mpuuzi mmoja ati anasema kuwa mke wake mzuri kulilo mke wangu!!!. Pumbaaavu kabisa. TUHESHIMIANE.
 
Nimefanikiwa kuona clip ya mkutano wa Makonda katika Wilaya ya Longido kwenye Shule ya Wasichana wa Mama Samia. Kwanza nimpongeze Mwalimu Mkuu wa Shule hiyo kwa taarifa nzuri na matumizi mazuri ya fedha katika ujenzi wa shule hiyo. Staili ya Makonda katika ziara yake inatakiwa kukemewa. Kwanza, mtalaam anapoeleza mradi au suala linaloulizwa anatakiwa akae kimya mpaka mwisho wa maelezo ya suala husika. Kila mtalaam akiendelea kueleza yeye anaingilia kati kwa maswali yasiyokuwa na tija. Pili, udhalilishaji anoufanya kwa Wataalam unatakiwa kukemewa. Ziara zake nyingi anawadhalilisha watalaam mfano Mkurugenzi wa Manispaa ya Arusha, Meneja wa TARURA Mkoa wa Arusha na yule Dada aliyekuwa anatoa maelezo mazuri na kumueleza kuwa ana mke mzuri kuliko yeye. Hivi ni vitendo vinavyodhalilisha sana. Mpe nafasi mtalaam aeleze mpaka mwisho ndo uanze kumuuliza maswali na siyo kila mara kuingilia kati katika maelezo yake. Anayeteua tunakupa angalizo hili.
Mpaka Makonda anatoka madarakani mtakuwa mmeishachanganyikiwa.
 
Nimefanikiwa kuona clip ya mkutano wa Makonda katika Wilaya ya Longido kwenye Shule ya Wasichana wa Mama Samia. Kwanza nimpongeze Mwalimu Mkuu wa Shule hiyo kwa taarifa nzuri na matumizi mazuri ya fedha katika ujenzi wa shule hiyo. Staili ya Makonda katika ziara yake inatakiwa kukemewa. Kwanza, mtalaam anapoeleza mradi au suala linaloulizwa anatakiwa akae kimya mpaka mwisho wa maelezo ya suala husika. Kila mtalaam akiendelea kueleza yeye anaingilia kati kwa maswali yasiyokuwa na tija. Pili, udhalilishaji anoufanya kwa Wataalam unatakiwa kukemewa. Ziara zake nyingi anawadhalilisha watalaam mfano Mkurugenzi wa Manispaa ya Arusha, Meneja wa TARURA Mkoa wa Arusha na yule Dada aliyekuwa anatoa maelezo mazuri na kumueleza kuwa ana mke mzuri kuliko yeye. Hivi ni vitendo vinavyodhalilisha sana. Mpe nafasi mtalaam aeleze mpaka mwisho ndo uanze kumuuliza maswali na siyo kila mara kuingilia kati katika maelezo yake. Anayeteua tunakupa angalizo hili.
Makonda yupo sahihi, watumishi kama ninyi wa michongo lazima kiwaingie vizuri.
 
Nimefanikiwa kuona clip ya mkutano wa Makonda katika Wilaya ya Longido kwenye Shule ya Wasichana wa Mama Samia. Kwanza nimpongeze Mwalimu Mkuu wa Shule hiyo kwa taarifa nzuri na matumizi mazuri ya fedha katika ujenzi wa shule hiyo. Staili ya Makonda katika ziara yake inatakiwa kukemewa. Kwanza, mtalaam anapoeleza mradi au suala linaloulizwa anatakiwa akae kimya mpaka mwisho wa maelezo ya suala husika. Kila mtalaam akiendelea kueleza yeye anaingilia kati kwa maswali yasiyokuwa na tija. Pili, udhalilishaji anoufanya kwa Wataalam unatakiwa kukemewa. Ziara zake nyingi anawadhalilisha watalaam mfano Mkurugenzi wa Manispaa ya Arusha, Meneja wa TARURA Mkoa wa Arusha na yule Dada aliyekuwa anatoa maelezo mazuri na kumueleza kuwa ana mke mzuri kuliko yeye. Hivi ni vitendo vinavyodhalilisha sana. Mpe nafasi mtalaam aeleze mpaka mwisho ndo uanze kumuuliza maswali na siyo kila mara kuingilia kati katika maelezo yake. Anayeteua tunakupa angalizo hili.

Majambazi, mafisadi, matapeli na mala rushwa mna umoja sana kenge nyie.

Makonda chapakazi
 
Huyo k.enge ana hasira na Makonda sijui alimfanyaje!?, Jana kaleta Uzi hapa eti ana tetesi Makonda atatumbuliwa watu wakawa wanamchora tu..
Hawa ndio wachelewesha maendeleo.
Ni waoga tokana na maovu wanayofanya wanapoona kiongozi ana msimamo wanaanza majungu kutetea wezi wenzao kwa sababu wanajua na wao ni hawana tofauti.

Hii nchi usisikilize fisi wala kenge, lala nao mbele kwa mbele wakikuua na sumu aje mwingine analala nao mbele kwa mbele hadi ushenzi utokomee.

Ukiogopa hawa washenzi hufiki popote, ni kujilipua tu kutetea haki.
 
Nimefanikiwa kuona clip ya mkutano wa Makonda katika Wilaya ya Longido kwenye Shule ya Wasichana wa Mama Samia. Kwanza nimpongeze Mwalimu Mkuu wa Shule hiyo kwa taarifa nzuri na matumizi mazuri ya fedha katika ujenzi wa shule hiyo. Staili ya Makonda katika ziara yake inatakiwa kukemewa. Kwanza, mtalaam anapoeleza mradi au suala linaloulizwa anatakiwa akae kimya mpaka mwisho wa maelezo ya suala husika. Kila mtalaam akiendelea kueleza yeye anaingilia kati kwa maswali yasiyokuwa na tija. Pili, udhalilishaji anoufanya kwa Wataalam unatakiwa kukemewa. Ziara zake nyingi anawadhalilisha watalaam mfano Mkurugenzi wa Manispaa ya Arusha, Meneja wa TARURA Mkoa wa Arusha na yule Dada aliyekuwa anatoa maelezo mazuri na kumueleza kuwa ana mke mzuri kuliko yeye. Hivi ni vitendo vinavyodhalilisha sana. Mpe nafasi mtalaam aeleze mpaka mwisho ndo uanze kumuuliza maswali na siyo kila mara kuingilia kati katika maelezo yake. Anayeteua tunakupa angalizo hili.
Mke mwenyewe anayetambia kashindwa kumtia mimba hadi wachina wamemsaidia kwa kumkamua mbegu na kwenda kuzirutubisha kwenye maabara ndiyo maana Keagan ana macho kama mfilipino. Huyu mshamba dawa yake wataalamu wote mkoani Arusha wasusie kwenye hiyo mikutano yake.
 
Nimefanikiwa kuona clip ya mkutano wa Makonda katika Wilaya ya Longido kwenye Shule ya Wasichana wa Mama Samia. Kwanza nimpongeze Mwalimu Mkuu wa Shule hiyo kwa taarifa nzuri na matumizi mazuri ya fedha katika ujenzi wa shule hiyo. Staili ya Makonda katika ziara yake inatakiwa kukemewa. Kwanza, mtalaam anapoeleza mradi au suala linaloulizwa anatakiwa akae kimya mpaka mwisho wa maelezo ya suala husika. Kila mtalaam akiendelea kueleza yeye anaingilia kati kwa maswali yasiyokuwa na tija. Pili, udhalilishaji anoufanya kwa Wataalam unatakiwa kukemewa. Ziara zake nyingi anawadhalilisha watalaam mfano Mkurugenzi wa Manispaa ya Arusha, Meneja wa TARURA Mkoa wa Arusha na yule Dada aliyekuwa anatoa maelezo mazuri na kumueleza kuwa ana mke mzuri kuliko yeye. Hivi ni vitendo vinavyodhalilisha sana. Mpe nafasi mtalaam aeleze mpaka mwisho ndo uanze kumuuliza maswali na siyo kila mara kuingilia kati katika maelezo yake. Anayeteua tunakupa angalizo hili.
Wakati mwingine Pro chadema muwe mnatumia akili.mkuu wa mkoa ni mwenyekiti wa usalama wa mkoa .kwa anakuwa na data zote kilichofanyika,na kinachoendelea na kitakachoendelea.
 
Back
Top Bottom