Staili ya Makonda katika ziara yake inatakiwa kukemewa

Staili ya Makonda katika ziara yake inatakiwa kukemewa

Mke mwenyewe anayetambia kashindwa kumtia mimba hadi wachina wamemsaidia kwa kumkamua mbegu na kwenda kuzirutubisha kwenye maabara ndiyo maana Keagan ana macho kama mfilipino. Huyu mshamba dawa yake wataalamu wote mkoani Arusha wasusie kwenye hiyo mikutano yake.
Kama ni kumdhalilisha yule mwanamche ,wewe hapo umefanya nini hapo kwa mkuu wa mkoa?
 
Nimefanikiwa kuona clip ya mkutano wa Makonda katika Wilaya ya Longido kwenye Shule ya Wasichana wa Mama Samia. Kwanza nimpongeze Mwalimu Mkuu wa Shule hiyo kwa taarifa nzuri na matumizi mazuri ya fedha katika ujenzi wa shule hiyo. Staili ya Makonda katika ziara yake inatakiwa kukemewa. Kwanza, mtalaam anapoeleza mradi au suala linaloulizwa anatakiwa akae kimya mpaka mwisho wa maelezo ya suala husika. Kila mtalaam akiendelea kueleza yeye anaingilia kati kwa maswali yasiyokuwa na tija. Pili, udhalilishaji anoufanya kwa Wataalam unatakiwa kukemewa. Ziara zake nyingi anawadhalilisha watalaam mfano Mkurugenzi wa Manispaa ya Arusha, Meneja wa TARURA Mkoa wa Arusha na yule Dada aliyekuwa anatoa maelezo mazuri na kumueleza kuwa ana mke mzuri kuliko yeye. Hivi ni vitendo vinavyodhalilisha sana. Mpe nafasi mtalaam aeleze mpaka mwisho ndo uanze kumuuliza maswali na siyo kila mara kuingilia kati katika maelezo yake. Anayeteua tunakupa angalizo hili.
Nimegundua, sisi Watanzania tuna nidhamu ya woga sana! Hivi akikudhalilisha
hivyo ukagoma kutoa maelezo inakuwaje? Huu ujinga kwangu sitaupa nafasi hata siku moja! Wataalam nao wajiamini bwana akikudhalilisha mnabishana naye yeye siyo Mungu kwamba utakufa
 
Wakati mwingine Pro chadema muwe mnatumia akili.mkuu wa mkoa ni mwenyekiti wa usalama wa mkoa .kwa anakuwa na data zote kilichofanyika,na kinachoendelea na kitakachoendelea.
Siyo Pro Chadema tu hata wanaccm wenye akili timamu hawapendezwi na staili hii ya kishenzi ndiyo maana aliondolewa uenezi.
 
Halafu jambo la kushangaza mbona yule jamaa mwenye kampuni ya Tours na mwenyekiti alikuwa anamsikiliza karibu saa nzima kama baba yake bila kuingilia hata mara moja mpaka wakati mwingine akaona anaemwelezea hajui kitu mradi katega kichwa tu
Yule mdada pamoja na kufokewa ila mwisho alipumua na kuanza kumwaga fact mpaka akijiona bogus jamaa

Viongozi wengine wanajiona kila kitu wanajua
 
Mke mwenyewe anayetambia kashindwa kumtia mimba hadi wachina wamemsaidia kwa kumkamua mbegu na kwenda kuzirutubisha kwenye maabara ndiyo maana Keagan ana macho kama mfilipino. Huyu mshamba dawa yake wataalamu wote mkoani Arusha wasusie kwenye hiyo mikutano yake.
Kwa hio unahisi hizo mbegu zilikuwa za kifilipino
 
Hawa ndio wachelewesha maendeleo.
Ni waoga tokana na maovu wanayofanya wanapoona kiongozi ana msimamo wanaanza majungu kutetea wezi wenzao kwa sababu wanajua na wao ni hawana tofauti.

Hii nchi usisikilize fisi wala kenge, lala nao mbele kwa mbele wakikuua na sumu aje mwingine analala nao mbele kwa mbele hadi ushenzi utokomee.

Ukiogopa hawa washenzi hufiki popote, ni kujilipua tu kutetea haki.

Nchi inahitaji viongozi wenye weledi, hekima, maono, na misimamo thabiti. Bahati mbaya Makonda hana sifa hata moja kati ya hizo. Ndiyo maana hata wakati waawamu ya 5 ali-opt kuwa kiongozi wa kundi la wauaji na wapotezaji watu. To hell hooligan Makonda and the likes.
 
Unawaita vilaza kwa vile wewe huna ajira unawaonea wivu! Yaani Injinia wa TARURA unamsemaje ni kilaza?
Ni vilaza tu.kwa miundombinu ya barabara za Arusha zilivyo za hovyo .Mimi sihitaji ajira na kama unataka nikuajiri leta cv yako niitathimini kama itanifaa nikuajiri
 
Wakati mwingine Pro chadema muwe mnatumia akili.mkuu wa mkoa ni mwenyekiti wa usalama wa mkoa .kwa anakuwa na data zote kilichofanyika,na kinachoendelea na kitakachoendelea.
Yule mtaalamu alijieleza vizuri ila basi tu Makonda hakumpenda. Kumwambia mwanamke Kama yale sio utu. Tukubali kiongozi anapokosea.
 
Nakazia, watumishi wengi ujanja ujanja na wizi wa mali za umma.

Ndio wengine wapo hapa vyeti feki na wanaishi kwa kuiba hivyo habari kama hizo huwa zinawatia pressure.

Makonda aendelee kupiga pale pale.
Kwanini msiwakamate?. Kumdhalilisha mtu kisa ni mtumishi wa umma sio sahihi. Kama amekosea mkamateni mumpeleke mahakamani au msimamisheni kazi. Lakini kuanza kuingilia uzuiri na ubaya wa mtumishi sio sahihi.
 
Nasema kweli ndg, zangu. MAKONDA HANA ADABU. Wewe chukulia yule dada anaye mumewe palepale (tuseme mimi ni mume wa yule dada mzuri ndo maana nimemuoa). Halafu anakuja mpuuzi mmoja ati anasema kuwa mke wake mzuri kulilo mke wangu!!!. Pumbaaavu kabisa. TUHESHIMIANE.
Kwan Makonda alisemaz Mke wake ni mzuri kuliko yule dada??.

Alisema Maneno hayo au unamlisha??.


Alichosema.... ..... Halafu Nina Mke ......na ni mzuri.....




Wewe ni kajinga, huko shule mnakoenda Kusoma, Huwa mnasomea ujinga??.
 
Nimefanikiwa kuona clip ya mkutano wa Makonda katika Wilaya ya Longido kwenye Shule ya Wasichana wa Mama Samia. Kwanza nimpongeze Mwalimu Mkuu wa Shule hiyo kwa taarifa nzuri na matumizi mazuri ya fedha katika ujenzi wa shule hiyo. Staili ya Makonda katika ziara yake inatakiwa kukemewa. Kwanza, mtalaam anapoeleza mradi au suala linaloulizwa anatakiwa akae kimya mpaka mwisho wa maelezo ya suala husika. Kila mtalaam akiendelea kueleza yeye anaingilia kati kwa maswali yasiyokuwa na tija. Pili, udhalilishaji anoufanya kwa Wataalam unatakiwa kukemewa. Ziara zake nyingi anawadhalilisha watalaam mfano Mkurugenzi wa Manispaa ya Arusha, Meneja wa TARURA Mkoa wa Arusha na yule Dada aliyekuwa anatoa maelezo mazuri na kumueleza kuwa ana mke mzuri kuliko yeye. Hivi ni vitendo vinavyodhalilisha sana. Mpe nafasi mtalaam aeleze mpaka mwisho ndo uanze kumuuliza maswali na siyo kila mara kuingilia kati katika maelezo yake. Anayeteua tunakupa angalizo hili.
Makonda ni mwendawazimu
 
Back
Top Bottom