Unataka kuskia watu wanaojua kuchana?...skiliza verse ya jcole hapaAisee... Jaribu kutuliza akili..
[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]Unataka kuskia watu wanaojua kuchana?...skiliza verse ya jcole hapa
Bonge moja la kende. Litahit sana maana wanaogongewa ni wengi sana sikuhizi.Inawezekana huyu msanii ana bahati mbaya sana katika upande huu wa mahusiano. Ni kweli au kazi tu!?
Tizama wimbo huu mkali kabisa..
View attachment 2536704
Bushoke nae karejea vizuri kabisa.
Either way, jamaa huwa anaimba mambo ambayo yana reflect uhalisia wa mahusiano mengi yalivyo siku hizi.Kinachomponza ufupi na maneno mengi π!!!
Akiacha hizo tabia atapata mwanamke wa kudumu nae.
Yeah itakuwa hitAlafu kuna ile kampeni inaendelea... Nafikiri watafarijika sana kwa ngoma hili..
Kama yote anayoyaimba yanareflect mapito yake. Basi naye hana budi kujichunguza..Either way, jamaa huwa anaimba mambo ambayo yana reflect uhalisia wa mahusiano mengi yalivyo siku hizi.
Uaminifu ulishazikwa. Kaburi limeota majani tukapalilie tufanye mpango wa kulijengea.
kwahiyo mfano wa nyimbo nzuri mpaka uwe wa mambele??,wimbo ni mzuri tu ila tatizo niweweUnataka kuskia watu wanaojua kuchana?...skiliza verse ya jcole hapa
Kabisa..
Lakini si nasikia saivi yuko settled! Au kimewaka tena..