Stamina anaimba hisia za kujeruhiwa kwa mapenzi kwa hisia kali sana

Stamina anaimba hisia za kujeruhiwa kwa mapenzi kwa hisia kali sana

Niliona clip moja anasema kwamba baada ya kuachana n Mkewe akapata Msichana mwingine Tegeta ndiyo aliyekuwa anampa support akabahatika kupata naye mtoto ,ila kwasasa washaachana na huyo msichana.

Nadhani kwenye mapenzi jamaa atakuwa ana shida zake ambazo zinashindwa kuvumilika in long run.
Zitakuwa zipi hizo?
 
Kama yote anayoyaimba yanareflect mapito yake. Basi naye hana budi kujichunguza..

WHY ALWAYS HIM!???🤣🤣🤣
Msanii ana namna mbali mbali za kufikisha ujumbe anaokusudia. Yaweza kuwa anatumia "personification" (kujivisha yeye uhalisia wa mambo) lakini in reality sio kuwa yeye ndio yamemtokea.

Ni style ya mtu tu. Kila msanii ana style yake ya kufikisha ujumbe.

Nb: Sijui kama neno "personification" nimelitumia sahihi. Wajuzi mtanirekebisha ila nadhani nilichokusudia kusema kimeeleweka.
 
Hawa wanaume wenzetu wafupi huwa wana matatizo sana kuna chalii yangu mfupi nae kazi kujilizaliza kisa mapenzi wanateseka na demu mmoja kichizi yani
Sasa huyu mwamba kashaachana na mke wake ila kila siku anaimba nyimbo zenye maudhui yaleyale ya kusalitiwa

Udhaifu huo
 
Hawa wanaume wenzetu wafupi huwa wana matatizo sana kuna chalii yangu mfupi nae kazi kujilizaliza kisa mapenzi wanateseka na demu mmoja kichizi yani
Sasa huyu mwamba kashaachana na mke wake ila kila siku anaimba nyimbo zenye maudhui yaleyale ya kusalitiwa

Udhaifu huo
😂😂😂😂 yan wanaume wafupi nyie wana changamoto nyingiiii
 
Hawa wanaume wenzetu wafupi huwa wana matatizo sana kuna chalii yangu mfupi nae kazi kujilizaliza kisa mapenzi wanateseka na demu mmoja kichizi yani
Sasa huyu mwamba kashaachana na mke wake ila kila siku anaimba nyimbo zenye maudhui yaleyale ya kusalitiwa

Udhaifu huo
Ni mke yupi anayemreffer hapa... Mana alioa tena karibuni!??
 
Back
Top Bottom