Nakubaliana na wewe mkuu. Nakumbuka enzi za gazeti MOTOMOTO!
there you are,but wengi hawalikumbuki hilo gazeti sababu walishalogwa na uhuru mzalendo na mfanyakazi kipindi hicho.naamini kama ni mpenzi wa riwaya unaikumbuka ya george mwakingili ikiitwa''kinywa cha mauti''r.i.p katabalo.wema hawatakuwa na amani katika ulimwengu huu.Nakubaliana na wewe mkuu. Nakumbuka enzi za gazeti MOTOMOTO!
Mkuu naikumbuka hiyo riwaya. Enzi hizo pia kulikuwepo na akina Charles Charles mwandishi ambaye naye sijui yupo ila makala zake zilikuwa moto wa kuotea mbali.there you are,but wengi hawalikumbuki hilo gazeti sababu walishalogwa na uhuru mzalendo na mfanyakazi kipindi hicho.naamini kama ni mpenzi wa riwaya unaikumbuka ya george mwakingili ikiitwa''kinywa cha mauti''r.i.p katabalo.wema hawatakuwa na amani katika ulimwengu huu.
aminia babaake.Mkuu naikumbuka hiyo riwaya. Enzi hizo pia kulikuwepo na akina Charles Charles mwandishi ambaye naye sijui yupo ila makala zake zilikuwa moto wa kuotea mbali.
Namkumbuka stan katabalo huyu jamaa aliandika mengi lakini kilichotamba zaidi kipindi anaandikia gazeti la mfanyakazi,ambapo ulikua ukitaka gazeti la mfanyakazi unaambiwa ununue na uhuru(GAZET.)Wana JF kuna mtu alikuwa anaitwa STAN KATABALO alikuwa mwandishi wa habari za kiuchunguzi wa gazeti la motomoto miaka ya 1992/93 kama mtanganyika unamkumbuka? nataka kujuwa alikuwa wa eneo gani la Tanganyika,alikuwa na familia etc watoto mke na ndg je wapo
Namkumbuka kwa kuandika kuhusu kashfa ya LOLIONDO(Loliondo gate) kipindi hicho nilikuwa darasa la 3 mkuu.NILIPENDA KUSOMA MAKALA ZAKE NA HATA NILIPOSIKIA KIFO CHAKE SIKWENDA SHULE SIKU 3 KWA HUDHUNI
Mkuu naikumbuka hiyo riwaya. Enzi hizo pia kulikuwepo na akina Charles Charles mwandishi ambaye naye sijui yupo ila makala zake zilikuwa moto wa kuotea mbali.
Siamini sana uchawi lakini kifo chake kinasemekana kulikuwa na mkono wa mtu.
Aliwasumbua sana jamaa na kashfa ya Loliondo na mpaka walitishia kumuua lakini hakuacha kuandika. Tulikuja kushtukia amekufa tayari lakini alikuwa ni mwandishi mahari ambaye akianza kuriporti tukio ni mwanzo mpaka mwisho. Lakini Ndolanga (mkurugenzi wa wanyama pori wakati ule na Rais Mstaafu Mwinyi) wanaweza kueleza kilichomkuta!!! Inawezekana alilishwa sumu bila kujua.
RIP Stan Katabaro. Hivi alikufa na gazeti lake la mfanyakazi? Mbona silioni wala kulisikia siku hizi?
Tiba
Napata tabu kumfikiria mwandishi wa Kitanzania mwenye ujasiri na anayefuata nyayo za mwandishi jasiri na mzalendo, Stan Katabalo aliyefariki/kuuwawa kwa kutetea ukweli, mzalendo halisi aliyeiibua kashfa ya Loliondo enzi ya utawala wa mzee Ruksa.
Mkuu umenikumbusha mbali, itachukua mda kumpata Stan Katabalo mwingine.
Napata tabu kumfikiria mwandishi wa Kitanzania mwenye ujasiri na anayefuata nyayo za mwandishi jasiri na mzalendo, Stan Katabalo aliyefariki/kuuwawa kwa kutetea ukweli, mzalendo halisi aliyeiibua kashfa ya Loliondo enzi ya utawala wa mzee Ruksa.
Mkuu umenikumbusha mbali, itachukua mda kumpata Stan Katabalo mwingine.
Mkuu umesema kweli, ni kazi ngumu kumpata mwandishi mwingine mahiri kama Stan Katabaro. Alikuwa akikomalia suala, mpaka auone mwisho wake. Gazeti la Mfanyakazi wakati huo lilikuwa ni hot cake kwani wengi tulipenda kusoma habari za Stan. Siku hizi si rahisi kumpata mwandishi jasiri kama yeye, hawa wa sasa au wanatishwa kwa maneno au wanapewa rushwa na kuacha kufuatilia masuala.
RIP Stan.
Tiba
Wana JF kuna mtu alikuwa anaitwa STAN KATABALO alikuwa mwandishi wa habari za kiuchunguzi wa gazeti la motomoto miaka ya 1992/93 kama mtanganyika unamkumbuka? nataka kujuwa alikuwa wa eneo gani la Tanganyika,alikuwa na familia etc watoto mke na ndg je wapo