Mimibaba
JF-Expert Member
- Jul 1, 2009
- 4,557
- 1,294
Mkuu enzi hizo kulikuwa na heshima ya taaluma zote. Stan Katabalo na Mfanyakazi waliji tofautisha sana kwenye uandishi wake. Mkono wa kifo chake yupo pia Abrahaman Kinana akina JK, Ndolanga and the likes kwa Loliondo Gate.
Mimi naomba tumkumbuke kila tukikumbuka kama mwandishi JASIRI ambaye labda kama hakuwa wa kwanza basi mmoja wa wawili bora.
Nawakumbusha tu miaka ya 60 alitokea mwandishi na mtangazaji mwingine (Marehemu Melek Kangero) alimkosoa sana Mwl. Nyerere akapata life Ban ya ajira kwenye ofisi yo yote ndani na nje ya Tanganyika.
Watawala wetu watateseka sana na ukandamizaji wa Fikra
Mimi naomba tumkumbuke kila tukikumbuka kama mwandishi JASIRI ambaye labda kama hakuwa wa kwanza basi mmoja wa wawili bora.
Nawakumbusha tu miaka ya 60 alitokea mwandishi na mtangazaji mwingine (Marehemu Melek Kangero) alimkosoa sana Mwl. Nyerere akapata life Ban ya ajira kwenye ofisi yo yote ndani na nje ya Tanganyika.
Watawala wetu watateseka sana na ukandamizaji wa Fikra