Mnyuke Jr
JF-Expert Member
- Jul 3, 2021
- 4,472
- 6,391
My all time comedian professor HamoNamkubali sana Mca Tricky
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
My all time comedian professor HamoNamkubali sana Mca Tricky
Yuko vizuri sana "in my book " halafu anajua kuimbaMy all time comedian professor Hamo
Namuonaga kawaida tu toka akiwa cheka tu! Naemkubali ni huyu jamaa decomic
Hahahaha hiyo intro yake kwanza anaanza kwa kuimba kwanza, halafu anapenda nyimbo za Bongoflava na reggaeYuko vizuri sana "in my book " halafu anajua kuimba
MC Jessey, Captain nani yule sijui, Chemutai, Eric Ormond hahahaaa hawa jamaa ni next level aisee..Nina comedian wangu wachache na sio wote na slang zao ndo kitu huwa napenda sana
Nikiwa na stress naingia zangu YouTube Churchill show, siku imeisha hiyo but comedians wa bongo ni kama wanatumia nguvu kubwa sana kuchekeshaMC Jessey, Captain nani yule sijui, Chemutai, Eric Ormond hahahaaa hawa jamaa ni next level aisee..
Tunaruka kila jumamosi SAA tatu usiku na marudio kila jumatatu SAA nane mchana ukiwa na dstv channel number 144 ,,karibu sana tupeni sapoti WATUBAKISiku na muda wa hicho kipindi na Mimi nimuone
MC jessey? Mkuu hongera sana kama anakuhekesha.MC Jessey, Captain nani yule sijui, Chemutai, Eric Ormond hahahaaa hawa jamaa ni next level aisee..
Comedian wa bongo mpaka wacheke ndio na wewe ujue kua hiyo sehemu ni ya kuchekaNikiwa na stress naingia zangu YouTube Churchill show, siku imeisha hiyo but comedians wa bongo ni kama wanatumia nguvu kubwa sana kuchekesha
Jamaa alinichekesha sana yani deo uwa ananichekesha sana jinsi anavyounga mambo yake na yakamake senseLast week ilikua "Mbele za mademu" school ilikua ukiazibiwa mbele za mademu unakaza unajifanya stick haziumi unaonyesha umwamba, ukiadhibiwa mbele ya masela wenzio unalia kishenzi na kulalamika. Hata yesu alipoadhibiwa na pilato kwa kua kulikua na mademu alikaza, akabeba msalaba alipokua njiani akawaona wanawake akakaza akawaambia msinililie mimi lilieni vizazi vyenu na watoto ila alipotokea Simon Yesu akaanguka oyaaa simoni nisaidie msalaba mzito hahahahahahahahahah
Mkuu tumkazie, hamna kucheka!Dunia ipo kwenye hali mbaya sana upande wa furaha. Watu hawana furaha kabisa. Kumeibuka wachekeshaji wengi mno ambao kwa hapa Bongo wanaboa kupitiliza. Idris Sultan ni mfano hai wa mchekeshaji anayelazimisha mambo ili tucheke.
Point kali sana vizaz jeur ndo tutaelewaStand up comedy is meant for middle class people mimi wauswazi utanichekesha nini nicheke
Prof hua ananiacha hoi sanaHuwa nikitaka stand up comedy naenda Churchill show Kenya hapa bongo wanapiga story jukwaani na sio kuchekesha
Labda ipo kwenye noti ya buku mbiliPicha iko wapi sasa? Khaaaah