Star Tv wameingia vitani dhidi ya awamu ya sita? Habari ya SSH kuzindua uingiaji maji Stiglers ilirushwa ya mwisho, Alloyce Nyanda atumika

Star Tv wameingia vitani dhidi ya awamu ya sita? Habari ya SSH kuzindua uingiaji maji Stiglers ilirushwa ya mwisho, Alloyce Nyanda atumika

chiembe

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2015
Posts
16,859
Reaction score
28,112
Television zote nchi nzima habari ya kwanza ni bwawa la Mwalimu Nyerere kujazwa maji. Ilikuwa shangwe na vigelegele nchi nzima kumpongeza.

Ni star tv tu ndio walirusha habari hiyo kama ya mwisho, ishara ya wazi ya chuki kubwa waliyo nayo dhidi ya SSH.

Wahusika wanamtumia Alloyce Nyanda kama kiongozi wa mashambulizi dhidi ya awamu ya sita, na waandishi wote wa kituo hicho Wana maelekezo ya kualika watu wa kuitukana serikali kwa mfululizo.

Aloyce Nyanda ni mmoja ya waandishi waliofaidi fedha haramu za Sabaya, na mara kadhaa alitumiwa tiketi za ndege kwenda Arusha kufanya naye mahojiano, na akilipwa na Sabaya badala ya startv. Baada ya mahojiano, walikunywa pombe na kuzunguka na wanawake.

Hivi karibuni kituo hicho kilitumika kutakatisha mambo ya halmashauri ya wilaya ya ukerewe yaliyojaa uovu
 
hii habari imekaa kiudakuudaku
ilitakiwa ukaiandike kule kwenye jukwaa la celebrities
Huna taarifa Aloyce Nyanda anaomba nauli kwa polepole ili aende Malawi akapate habari za udaku za kuitukana serikali kwa kuwa anajua polepole ni mropokaji?

Watani za Aloyce huwa wanamuita kamongo kwa kuzingatia fiziki yake
 
Television zote nchi nzima habari ya kwanza ni bwawa la Mwalimu Nyerere kujazwa maji. Ilikuwa shangwe na vigelegele nchi nzima kumpongeza.

Ni star tv tu ndio walirusha habari hiyo kama ya mwisho, ishara ya wazi ya chuki kubwa waliyo nayo dhidi ya SSH.

Wahusika wanamtumia Alloyce Nyanda kama kiongozi wa mashambulizi dhidi ya awamu ya sita, na waandishi wote wa kituo hicho Wana maelekezo ya kualika watu wa kuitukana serikali kwa mfululizo.

Aloyce Nyanda ni mmoja ya waandishi waliofaidi fedha haramu za Sabaya, na mara kadhaa alitumiwa tiketi za ndege kwenda Arusha kufanya naye mahojiano, na akilipwa na Sabaya badala ya startv. Baada ya mahojiano, walikunywa pombe na kuzunguka na wanawake.

Hivi karibuni kituo hicho kilitumika kutakatisha mambo ya halmashauri ya wilaya ya ukerewe yaliyojaa uovu

Vijana mnashida Sana Aisee

Sasa kama taarifa ilikuwa inafanyiwa uhariri mpaka muda wa news ulitaka news isiwepo kusubiri hiyo habari?

Mnapenda Sana kuwatengenezea watu maugomvi

Ile ni TV binafsi ina sheria zake, au unadhan Ile ni TBC?
 
Television zote nchi nzima habari ya kwanza ni bwawa la Mwalimu Nyerere kujazwa maji. Ilikuwa shangwe na vigelegele nchi nzima kumpongeza.
Ohooo! Huu ujinga ulitamalaki sana enzi za ibilisi hatutaki ujirudie tena awamu hii. Huku ni kuingiliaa Uhuru wa vyombo vya habari.

Kwahiyo ulitaka kila chombo cha habari kiirushe hii habari kama habari kuu.

Tena afadhali StarTV warirusha mwishoni mm online TV yangu wala sijaiweka kabisa hii habari.

Leteni za kuleta tuanze kuwachana.
 
Sasa TV station zote wangerusha hiyo habari mwanzoni ungetazama vipi zote kwa wakati mmoja???
Nilikuwa naangalia star tv, lakini habari za vibaka wa Geita zikawa na umuhimu kuliko mradi huo wa kihistoria
 
Mbona kama mnafosi wakati yeye mwenyewe ajiwezi kabisa...
 
Ohooo! Huu ujinga ulitakalaki sanaenzi za ibilisi hatutaki urudie tena awamu hii. Huku ni kuingiliaa Uhuru wa vyombo vya habari.

Kwahiyo ulitaka kila chombo cha habari kiirushe hii habari kama habari kuu.

Tena afadhali StarTV warirusha mwishoni mm online TV yangu wala sijaiweka kabisa hii habari.

Leteni za kuleta tuanze kuwachana.
Hiyo online TV ambayo una subscriber wawili.

Siasa za Mwanza zimefanyiwa realignment, bosi wa startv alidhani bila yeye hakuna mwanza.

Sasa ana mtangazaji mmoja tu wa taarifa ya habari saa mbili usiku, namuona karibu wiki tatu, watumishi wamemkimbia
 
Television zote nchi nzima habari ya kwanza ni bwawa la Mwalimu Nyerere kujazwa maji. Ilikuwa shangwe na vigelegele nchi nzima kumpongeza.

Ni star tv tu ndio walirusha habari hiyo kama ya mwisho, ishara ya wazi ya chuki kubwa waliyo nayo dhidi ya SSH.

Wahusika wanamtumia Alloyce Nyanda kama kiongozi wa mashambulizi dhidi ya awamu ya sita, na waandishi wote wa kituo hicho Wana maelekezo ya kualika watu wa kuitukana serikali kwa mfululizo.

Aloyce Nyanda ni mmoja ya waandishi waliofaidi fedha haramu za Sabaya, na mara kadhaa alitumiwa tiketi za ndege kwenda Arusha kufanya naye mahojiano, na akilipwa na Sabaya badala ya startv. Baada ya mahojiano, walikunywa pombe na kuzunguka na wanawake.

Hivi karibuni kituo hicho kilitumika kutakatisha mambo ya halmashauri ya wilaya ya ukerewe yaliyojaa uovu
Je! Kama wangeacha kuirusha kabisa habari hiyo, si ungetapika kabisa!?

Acha vyombo binafsi vijipangie utaratibu wao wenyewe wa kurusha matangazo yao, hoja kama yako ikiwa peleka huko TBC na Channel Ten.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Television zote nchi nzima habari ya kwanza ni bwawa la Mwalimu Nyerere kujazwa maji. Ilikuwa shangwe na vigelegele nchi nzima kumpongeza.

Ni star tv tu ndio walirusha habari hiyo kama ya mwisho, ishara ya wazi ya chuki kubwa waliyo nayo dhidi ya SSH.

Wahusika wanamtumia Alloyce Nyanda kama kiongozi wa mashambulizi dhidi ya awamu ya sita, na waandishi wote wa kituo hicho Wana maelekezo ya kualika watu wa kuitukana serikali kwa mfululizo.

Aloyce Nyanda ni mmoja ya waandishi waliofaidi fedha haramu za Sabaya, na mara kadhaa alitumiwa tiketi za ndege kwenda Arusha kufanya naye mahojiano, na akilipwa na Sabaya badala ya startv. Baada ya mahojiano, walikunywa pombe na kuzunguka na wanawake.

Hivi karibuni kituo hicho kilitumika kutakatisha mambo ya halmashauri ya wilaya ya ukerewe yaliyojaa uovu
startv ni kituo binafsi hakipati ruzuku kutoka serikalini. usiwapangie kipi cha kurusha..ulazima wa kutangaza hayo uko kwa TBC
 
Kwanza tukio lenyewe ni ulimbukeni,yani issue ya kujaza maji kwenye bwawa mpaka Rais!!???
Siku nikiwa Rais nitakuwa kama Mkapa mambo madogo dogo kama hayo unawaachia Ma naibu waziri.
 
Hiyo online TV ambayo una subscriber wawili.

Siasa za Mwanza zimefanyiwa realignment, bosi wa startv alidhani bila yeye hakuna mwanza.

Sasa ana mtangazaji mmoja tu wa taarifa ya habari saa mbili usiku, namuona karibu wiki tatu, watumishi wamemkimbia
Mbona hueleweki. Siasa za Mwanza na watumishi kukimbia wapi na wapi? Hebu kuwa na akili basi
 
Back
Top Bottom