wilsonwizzo3
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 625
- 2,704
hahah watu wanamiyeyusho sana,hua wamekariri taarifa ya rais inatakiwa ipewe kipaumbele,,wakati ni upuuzi tuSasa TV station zote wangerusha hiyo habari mwanzoni ungetazama vipi zote kwa wakati mmoja???
acheni waandishi watimize majukumu yao,,usilazimishe wote waripot blabla za anaupiga mwingi,,Tanzania sio nchi ya kondoo kiasi hichoHuna taarifa Aloyce Nyanda anaomba nauli kwa polepole ili aende Malawi akapate habari za udaku za kuitukana serikali kwa kuwa anajua polepole ni mropokaji?
Watani za Aloyce huwa wanamuita kamongo kwa kuzingatia fiziki yake
Haya umeyaweka kwa Nia gani ?Aloyce Nyanda ni mmoja ya waandishi waliofaidi fedha haramu za Sabaya, na mara kadhaa alitumiwa tiketi za ndege kwenda Arusha kufanya naye mahojiano, na akilipwa na Sabaya badala ya startv. Baada ya mahojiano, walikunywa pombe na
acheni waandishi watimize majukumu yao,,usilazimishe wote waripot blabla za anaupiga mwingi,,Tanzania sio nchi ya kondoo kiasi hicho
Punguza mahaba, yatajupubguzia uwezo wa kusaka noti.Hujaelewa nini? Au ndio mbuzi umegoma kwenda?
Wewe bwege anzisha kituo chako! Naona mna chuki sana na watu wa kanda ya ziwa! Mbona Dira ya dunia ilizungumzia sana hata Star tv taarifa yao ya habari ilirusha pia!Television zote nchi nzima habari ya kwanza ni bwawa la Mwalimu Nyerere kujazwa maji. Ilikuwa shangwe na vigelegele nchi nzima kumpongeza.
Ni star tv tu ndio walirusha habari hiyo kama ya mwisho, ishara ya wazi ya chuki kubwa waliyo nayo dhidi ya SSH.
Wahusika wanamtumia Alloyce Nyanda kama kiongozi wa mashambulizi dhidi ya awamu ya sita, na waandishi wote wa kituo hicho Wana maelekezo ya kualika watu wa kuitukana serikali kwa mfululizo.
Aloyce Nyanda ni mmoja ya waandishi waliofaidi fedha haramu za Sabaya, na mara kadhaa alitumiwa tiketi za ndege kwenda Arusha kufanya naye mahojiano, na akilipwa na Sabaya badala ya startv. Baada ya mahojiano, walikunywa pombe na kuzunguka na wanawake.
Hivi karibuni kituo hicho kilitumika kutakatisha mambo ya halmashauri ya wilaya ya ukerewe yaliyojaa uovu
Huyo mjinga Mkubwa, achana nae! Kwanza analazimishwa kuangalia Star TV?Nilitegemea utawapongeza startv kurusha mwisho hiyo taarifa maana imesaidia wengi ambao huwa tunachelewa dakika za mwanzo za taarifa kujua kilichojili hii leo
Kwani ina umuhimu gani kuzindua kitu nTelevision zote nchi nzima habari ya kwanza ni bwawa la Mwalimu Nyerere kujazwa maji. Ilikuwa shangwe na vigelegele nchi nzima kumpongeza.
Ni star tv tu ndio walirusha habari hiyo kama ya mwisho, ishara ya wazi ya chuki kubwa waliyo nayo dhidi ya SSH.
Wahusika wanamtumia Alloyce Nyanda kama kiongozi wa mashambulizi dhidi ya awamu ya sita, na waandishi wote wa kituo hicho Wana maelekezo ya kualika watu wa kuitukana serikali kwa mfululizo.
Aloyce Nyanda ni mmoja ya waandishi waliofaidi fedha haramu za Sabaya, na mara kadhaa alitumiwa tiketi za ndege kwenda Arusha kufanya naye mahojiano, na akilipwa na Sabaya badala ya startv. Baada ya mahojiano, walikunywa pombe na kuzunguka na wanawake.
Hivi karibuni kituo hicho kilitumika kutakatisha mambo ya halmashauri ya wilaya ya ukerewe yaliyojaa uovu
sasa hapo kosa liko wapi ndugu mwandishi! uhuru wa habari utakuwa na maana gani kama tunataka habari gani iwe yangapi kurushwa kama unavyotaka?Television zote nchi nzima habari ya kwanza ni bwawa la Mwalimu Nyerere kujazwa maji. Ilikuwa shangwe na vigelegele nchi nzima kumpongeza.
Ni star tv tu ndio walirusha habari hiyo kama ya mwisho, ishara ya wazi ya chuki kubwa waliyo nayo dhidi ya SSH.
Wahusika wanamtumia Alloyce Nyanda kama kiongozi wa mashambulizi dhidi ya awamu ya sita, na waandishi wote wa kituo hicho Wana maelekezo ya kualika watu wa kuitukana serikali kwa mfululizo.
Aloyce Nyanda ni mmoja ya waandishi waliofaidi fedha haramu za Sabaya, na mara kadhaa alitumiwa tiketi za ndege kwenda Arusha kufanya naye mahojiano, na akilipwa na Sabaya badala ya startv. Baada ya mahojiano, walikunywa pombe na kuzunguka na wanawake.
Hivi karibuni kituo hicho kilitumika kutakatisha mambo ya halmashauri ya wilaya ya ukerewe yaliyojaa uovu
Ndiyo shida ya kutanguliza chama kuliko maendeleo ya nchi.Television zote nchi nzima habari ya kwanza ni bwawa la Mwalimu Nyerere kujazwa maji. Ilikuwa shangwe na vigelegele nchi nzima kumpongeza.
Ni star tv tu ndio walirusha habari hiyo kama ya mwisho, ishara ya wazi ya chuki kubwa waliyo nayo dhidi ya SSH.
Wahusika wanamtumia Alloyce Nyanda kama kiongozi wa mashambulizi dhidi ya awamu ya sita, na waandishi wote wa kituo hicho Wana maelekezo ya kualika watu wa kuitukana serikali kwa mfululizo.
Aloyce Nyanda ni mmoja ya waandishi waliofaidi fedha haramu za Sabaya, na mara kadhaa alitumiwa tiketi za ndege kwenda Arusha kufanya naye mahojiano, na akilipwa na Sabaya badala ya startv. Baada ya mahojiano, walikunywa pombe na kuzunguka na wanawake.
Hivi karibuni kituo hicho kilitumika kutakatisha mambo ya halmashauri ya wilaya ya ukerewe yaliyojaa uovu
Raisi anabonyeza kitufe cha kujaza maji kwenye bwawa? Nayo hii ni habari? Ilitakiwa isirushwe kabisa halafu ni upotevu wa fedha.Usinipangie, kama kituo kinapingana na maslahi ya taifa, tunakianika
Kwahiyo wakimkimbia wewe inakuhusu nini?.Hiyo online TV ambayo una subscriber wawili.
Siasa za Mwanza zimefanyiwa realignment, bosi wa startv alidhani bila yeye hakuna mwanza.
Sasa ana mtangazaji mmoja tu wa taarifa ya habari saa mbili usiku, namuona karibu wiki tatu, watumishi wamemkimbia
Kwani wakimkimbia wewe inakuhusu nini?.Hiyo online TV ambayo una subscriber wawili.
Siasa za Mwanza zimefanyiwa realignment, bosi wa startv alidhani bila yeye hakuna mwanza.
Sasa ana mtangazaji mmoja tu wa taarifa ya habari saa mbili usiku, namuona karibu wiki tatu, watumishi wamemkimbia
Huyo jamaa inaonekana dish limeyumba.hajawai kuandika kitu cha maana.kwa akili zake ndogo hapo kaona kaandika bonge la mada kumbe ujinga tu.Mbona hueleweki. Siasa za Mwanza na watumishi kukimbia wapi na wapi? Hebu kuwa na akili basi
Empty setTelevision zote nchi nzima habari ya kwanza ni bwawa la Mwalimu Nyerere kujazwa maji. Ilikuwa shangwe na vigelegele nchi nzima kumpongeza.
Ni star tv tu ndio walirusha habari hiyo kama ya mwisho, ishara ya wazi ya chuki kubwa waliyo nayo dhidi ya SSH.
Wahusika wanamtumia Alloyce Nyanda kama kiongozi wa mashambulizi dhidi ya awamu ya sita, na waandishi wote wa kituo hicho Wana maelekezo ya kualika watu wa kuitukana serikali kwa mfululizo.
Aloyce Nyanda ni mmoja ya waandishi waliofaidi fedha haramu za Sabaya, na mara kadhaa alitumiwa tiketi za ndege kwenda Arusha kufanya naye mahojiano, na akilipwa na Sabaya badala ya startv. Baada ya mahojiano, walikunywa pombe na kuzunguka na wanawake.
Hivi karibuni kituo hicho kilitumika kutakatisha mambo ya halmashauri ya wilaya ya ukerewe yaliyojaa uovu