Starehe yako kubwa ni ipi?

Starehe yako kubwa ni ipi?

"Kugegeduanaa gegeduu" in diamond voice song baikoko[emoji94]
 
Kula , kuongea na wapendwa wangu , na safari
 
Acha kudanganya watu wewe... Sadaka ya kuteketeza mnyama Kwa njia ya kumuomba MUNGU inajibu haraka kuliko udhaniavyo, rejea sadaka ya Gidion baada ya MUNGU kumtokea kumpa kazi ya kuwakomboa wana Israel mikononi mwa wa Midian, rejea sadaka ya NUHU baada ya kutoka kwenye safina, tena hiyo inasema baada ya sadaka kuteketea ule Moshi ulipokua ukipanda juu, MUNGU akasikia vizuri ile harufu ya ule moshi wa sadaka, akashuka kumpa maagizo NUHU.
Unajua kusoma kweli mkuu?

Soma tena nilichoandika
 
Kupata bia tatu mfululizo za Kilimanjaro zile.kubwa kila siku

Au kvant kubwa kuparua mwenye week end
 
Back
Top Bottom